Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Mao ze dong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2012
      Location : Arusha Tanzania
      Posts : 387
      Rep Power : 415
      Likes Received
      62
      Likes Given
      6

      Default Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      Jamani naombeni wale wa udom tueleweshane kuhusu hili hasa wale mliopo dom ambao ni rahisi kupata habar za chuo coz wengine tupo nje ya tz na kupitia humu tunapata habar zote

      UTATA
      1.Kuna fendha iliyotakiwa kulipwa as direct cost kabla ya tr 30,ambayo ni 182500 je pesa hii kwa mtu aliyepata 100% atahitaj kuilipa?
      2.katika hiyo direct cost hamna hela ya hostel kama walivyoorodhesha,je ela ya hostel 130000 tunailipa sisi au inakua included kwenye ela kutoka bodi?
      3.kama haipo kwenye ela kutoka bodi,je tutaijumlisha kwenye ile 182500?
      4.katika direct cost kuna ela ya matibabu kama 122000 kama sikosei,je ela hii inalipwa hata kama mtu unakitambulisho cha afya(NHIF)?
      5.je kama huna kitambulisho cha afya,utalazimika kukata kitambulisho na kulipa hiyo ada ya matibabu?
      6.je kwa waliopata mkopo mf asilimia 50 na kwenye maelezo yao wanasema ulipe nusu ya tution fee,mf kwa mtu wa mil 1 atatakiwa kulipa 500000 je atalipa hiyo ela as 500000 au atalipa 250000 kutokana na mkopo aliopata,yaani 50%?
      7.je hela ya tuition fee ina deadline au unaweza lipa siku yoyote kabla ya kuwasili chuo?
      8.kwa aliye na nambazao pia akinisaidia siyo mbaya
      9.je ile laki mbili ya library unapewa pamoja na ela ya chakula?
      10.inachukua muda gan kabla ya kuapokea loan?
      Naomba msaada kwa unaefaham moja ya vitu hivyo.nimepata 3777500 na fee yangu ni 1.2mil hapa sijajua natakiwa kujilipia sh ngap kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko kuhusu iyo ela ya hostel kama inatoka kwetu au bodi.kwa mnaoendelea na masomo mnaweza kutusaidia pia

    2. Miaka 50

    3. #2
      jackson george's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Location : morogoro
      Posts : 51
      Rep Power : 348
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      iyo direct fees aiusiani na loan u hav to pay it even u got 100

    4. #3
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      We umethink kweli ngoja tusubiri wanajukwaa vipi ilycalpse we unahabar gan?

    5. #4
      gbrother's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 476
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      Kaka heading yako co cri imeshi2a mioyo ya wa2, jaribu kufikilia mara 3 b4 haujapost, sory kama nitakuwa nimekukwaza, ila ndio uhalisia huo,

      ngoja wanaudom waje wakusaidie maana hizo number zinazokusumbua hatujui za nini, labda kama ungetoa ufafanuzi vizuri

    6. #5
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      Nitakujibu kadiri ya uelewa wangu ingawa me mwenyewe ndio tunaenda kuanza wote.
      1. Direct cost zimetofautiana kidogo ila kwa collage ya Humanity and Social Science ni 282500 ambayo inatakiwa ilipwe kabla ya Sept 30 pia haijalishi una mkopo kiasi gani iwe 0% au 100% unatakiwa uilipe.

      Kuhusu bima ya afya nadhani tukifika chuo ndio tutapewa utaratibu kwasababu chuo kinatakiwa kikudhamini.

      Kuhusu hela ya loan kuwahi au kuchelewa hilo sijui but admission letter imesisitiza kujiandaa pesa ya matumizi wakati unasubiri boo yaweza kua wiki 2.

      Kuhusu utaratibu wa ulipaji mfano ada yako ni 800,000 na loan wamekulipia 50% utatakiwa kuilipa hiyo 50% nyingine eidha yote yaani laki 4 au 1st Semista ukalipa laki 2 na 2nd Semista ukamalizia laki 2.

      Mambo mengine itabidi ufanye mazoea ya kutembelea The University of Dodoma mara kwa mara pia kama kuna vikwazo PM tafadhari.
      Ahsante.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,173
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default

      Quote By Kiny
      We umethink kweli ngoja tusubiri wanajukwaa vipi ilycalpse we unahabar gan?
      Ha ha ha ha kaka mimi ni IPYCALYPSE nadhani next time utaandika poa.
      But tuko pamoja sana mkuu Kiny

    9. #7
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 598
      Likes Received
      220
      Likes Given
      186

      Default Re: Utata kuhusu loan allocation kwa udom tu

      [QUOTE=Ipycalypse;4668703] Kuhusu hela ya loan kuwahi au kuchelewa hilo sijui but admission letter imesisitiza kujiandaa pesa ya matumizi wakati unasubiri boo yaweza kua wiki 2.

      Hapo kwenye red (nafikiri ulikuwa na maana ya BOOM na siyo BOO), inaweza kuwa wiki 2 au zaidi kwahiyo inahitaji kuwa na fedha ya ziada.
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...