Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bora kufeli au kukosa mkopo???

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Rebo's's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 348
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Bora kufeli au kukosa mkopo???

      Habari zenu wadau mnaofurahia kupata mkopo na mnaosikitika? Mi nipo kwa wanaosikitika japo sio wengi sana ila naungana nao sababu na mi nimekosa mkopo! Jamani maumivu ni makali sana bora ningefeli2 sahv ningeshajpanga ktambo. Sjw hata la kufanya coz mi ni mtoto wa mkulima. 2peana hata ushaur!


    2. #2
      Wi-Fi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : 6°49′24″ S 39°16′10″ E
      Posts : 1,180
      Rep Power : 692
      Likes Received
      331
      Likes Given
      195

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      mimi nimekuelewa lakini pangilia lugha vizuri ili upate ushauri kwa watu wengine pia.. kukosa mkopo ni maumivu sana kama ulitegemea kupata na ukawa umekosa lakini usikate tamaa kwani unaweza jipanga ukatafuta pesa then ukasoma next time vyuo vipo tu tena utasoma kitu roho inapenda

    3. #3
      mshangi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th September 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      jaribu kuwa mvumilivu kwan maisha safari ndefu if not 2day may be 2morow

    4. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      kuwa mvumilizu ..mchuma janga hula na wa kwao ,,hivi unafikiri kuwa watu wote duniani wamesoma kwa mikopo/? una div ngapi? tuwasiliane tuone jinsi ya kukusaidia kama kweli umefaulu
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    5. #5
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      Nacho weza kukushauri ni kwamba usikate tamaa mapema pia kumbuka kufaulu kwanza mikopo ngio inafuatia, so jaribu kuchangisha ndugu jamaa na marafiki ili upate kusoma, kama ikishindikana mtafute mbunge wa jimbo lako na umuelezee hali halisi ya kifedha ulio nayo nina uhakika atakusaidia


    6. #6
      Rebo's's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 348
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Saint Ivuga View Post
      kuwa mvumilizu ..mchuma janga hula na wa kwao ,,hivi unafikiri kuwa watu wote duniani wamesoma kwa mikopo/? una div ngapi? tuwasiliane tuone jinsi ya kukusaidia kama kweli umefaulu
      nina div two ndg yangu ya 11.

    7. #7
      JOH MCHESHI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 346
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      for real inauma,mi sioni haja ya mtu kupata 100% wakati wengine wanakosa kabisa ni bora tungegawana shida ila wote wanasoma ila mungu anamipango yake mkuu mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguliwa na hiz ndo challenge za maisha mkuu so usikate tamaa!

    8. #8
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,767
      Rep Power : 726
      Likes Received
      480
      Likes Given
      353

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      Wewe ni shujaa, rafiki zako na majirani wanajua kuwa ulifanya vizuri sema sasa ni ukiritimba wa serikali yetu na ahadi kedekede
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    9. #9
      Rebo's's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 348
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      namwachia mungu!

    10. #10
      Mr Penal Code's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Location : morogoro Tanzania
      Posts : 402
      Rep Power : 430
      Likes Received
      31
      Likes Given
      1

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      pole.ndugu but usikate tamaa..Mapema.

    11. #11
      paul kitereja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 141
      Rep Power : 381
      Likes Received
      17
      Likes Given
      154

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      kaka pole sana na wala usikate tamaa!! mimi nw naingia mwaka wa pili na mwaka jana nilikosa mkopo ilihali nilipata division 1 ya 9 na form 4 nikapata div 1 form 4 na nilisoma shule za serikali!! na maisha yangu yanaendelea chuon kama kawaida, cha msingi we jipange usome!

    12. #12
      Rebo's's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 348
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By paul kitereja View Post
      kaka pole sana na wala usikate tamaa!! mimi nw naingia mwaka wa pili na mwaka jana nilikosa mkopo ilihali nilipata division 1 ya 9 na form 4 nikapata div 1 form 4 na nilisoma shule za serikali!! na maisha yangu yanaendelea chuon kama kawaida, cha msingi we jipange usome!
      Ahsante sana kaka nawengine wote mnaoendelea kunipa moyo na ushauri. Napenda kusema kwamba nyinyi ndo rafiki zangu waukweli kwani rafiki zangu wameanza kukaa mbali nami coz nimekosa boom! Ila ntafuata ushauri wenu. Thanx all!

    13. #13
      snagyguy's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 344
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Bora kufeli au kukosa mkopo???

      pole sana kaka tuko pamoja hata mi nimekosa ilhali nimepata div 2 ya 12 ila amini mungu bado yupo upande wetu. hivi nasikiasikia tu kuna batch 2 ila sijaipata hata mimi pia unaweza kujaribu hlssf maana huwezi jua.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...