Jaman m nko admitted DUCE na nmepewa mil. 3.1 mkopo ila fee n mil. 1.3,ambayo n kama asilimia 57.9 hv!! Sasa hicho kiasi kinachobaki tunatakiwa kuwa nacho wakati wa kuripot au tutakipeleka semster Ya II?? Naomba msaada wa maelekezo juu ya hilo wanajamvi!

Reply With Quote
Follow Us Here