Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Mr Anold's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 382
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

      Habari za asubuhi wana Jf, nimeulizwa swali mara tatu sasa na wanafunzi na wazazi wao wakitaka kujua kama ni kweli kwamba mtihani wa kidato cha sita 2013 utafanyika mwezi may(5) kama ilivyokuwa miaka ya 2004 na kabla. Jibu ni kwamba "SIJUI" JE WADAU KUNA TETESI KAMA HIZO? Naomba mwenye majibu yaliyothibitishwa atujuze.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mr Anold's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 382
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default Re: Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

      Kuna tetesi kwamba watajiunga na JKT kwa kipindi cha miezi mitatu baada ya kumaliza kidato cha sita.

    4. #3
      Rweye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 2,674
      Rep Power : 949
      Likes Received
      414
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

      Nashauri hata Wassira arudishwe Jkt ili apate uzalendo wa nchi yake

    5. #4
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 595
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Re: Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

      last weekend nilimkuta naibu waziri mr Philip Mulugo kwenye duka moja la madawa pale sinza vatcan nikamuuliza kuhusu hilo jambo,alinipasha kwa mwakani hana uhakika.pia alilalama ya kwamba dr kawamba(undergraduate frm udsm) ndiye aliyeshikilia bango hiyo hoja bila kutazama ni vipi wanafunzi na vyuo vitasalimika
      Mr Anold likes this.

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By kingxvi
      last weekend nilimkuta naibu waziri mr Philip Mulugo kwenye duka moja la madawa pale sinza vatcan nikamuuliza kuhusu hilo jambo,alinipasha kwa mwakani hana uhakika.pia alilalama ya kwamba dr kawamba(undergraduate frm udsm) ndiye aliyeshikilia bango hiyo hoja bila kutazama ni vipi wanafunzi na vyuo vitasalimika
      hapa sijakuelewa mdau,,,,,,why he call him self Dr?????

    7. Miaka 50

    8. #6
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 595
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Bajabiri
      hapa sijakuelewa mdau,,,,,,why he call him self Dr?????
      first degree amechukulia udsm bt masters na phd ndo amechukulia u.k

    9. #7
      Mjanja Wa Town's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Location : Anywhere
      Posts : 79
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Mtihani wa kidato cha sita 2013 kufanyika "may"

      Mi nadhani huu utaratibu mpya wataanza nao form six wa 2014.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...