Inashangaza hawa jamaa wao wanasema eti admission letters znachukuliwa chuon,kwan kulikua kuna ugumu gani kama mngeziweka kwenye mtandao ili kila mtu aweze kuzipata kiurahc kama vyuo vingne walivyofanya?wengine huku inatuwia vigumu kujua ni kiasi gani cha pesa tunazotakiwa kuja nazo hapo mjini bana!

Reply With Quote



Follow Us Here