Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 167
    1. #1
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.

      Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.

      Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!

      Anything you remember here?
      Jimbi likes this.
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Kuna ukame hivi wa POND boys hapa JF......Can't be!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    4. #3
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 199
      Rep Power : 591
      Likes Received
      32
      Likes Given
      197

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      NL,
      Nilifika shuleni pale mwaka 1991 kuchukua form za kujiunga na shule hiyo kwani mtoto wa dada yangu (Dr sasa wa mifugo) alikuwa anahamia hapo kutoka Forodhani sec. Nilichukua basi moja lenye kichwa cha roli kutoka Ilala hadi nikawa nimefika pale kwenye kituo cha mabasi (Pugu Sec.) na pana miti mirefuuu. Nikaangaza kulia na kushoto kama nilivyoelekezwa. Nikarudi nyuma kidogo na kuingia upande wa kushoto kama waenda Dar (Kulia kama waenda Kisarawe). Nikaingia hadi sehemu palipo majengo na kuanza kuangaza angaza mtu yeyote nimuulize ilipo shule ya Pugu. Nikamuona mama mmoja na kumuuliza, kama anafahamu shule ya secondary ya Pugu ilipo. Mama hakuamini na akaanza kucheka. Mie sikuelewa kisa cha kucheka ni nini hasa? Mama akaniangalia na kusema "baba, hapa ulipo ndiyo Pugu Sec." Sikuamini macho yangu kama kweli hii ndiyo Pugu Sec. Hata kambi za JKT nilizopitia zilikuwa na nafuu. Yale majengo yalikuwa yamechoka na nikawa naona kama vile yapo pale tangu JKN ni mwalimu na hawajafanyia upanuzi au matengenezo makubwa yoyote.

      Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....

    5. #4
      Mtu wa Kawaida's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd May 2008
      Posts : 185
      Rep Power : 602
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By SSAMBALI
      NL,
      Nilifika shuleni pale mwaka 1991 kuchukua form za kujiunga na shule hiyo kwani mtoto wa dada yangu (Dr sasa wa mifugo) alikuwa anahamia hapo kutoka Forodhani sec. Nilichukua basi moja lenye kichwa cha roli kutoka Ilala hadi nikawa nimefika pale kwenye kituo cha mabasi (Pugu Sec.) na pana miti mirefuuu. Nikaangaza kulia na kushoto kama nilivyoelekezwa. Nikarudi nyuma kidogo na kuingia upande wa kushoto kama waenda Dar (Kulia kama waenda Kisarawe). Nikaingia hadi sehemu palipo majengo na kuanza kuangaza angaza mtu yeyote nimuulize ilipo shule ya Pugu. Nikamuona mama mmoja na kumuuliza, kama anafahamu shule ya secondary ya Pugu ilipo. Mama hakuamini na akaanza kucheka. Mie sikuelewa kisa cha kucheka ni nini hasa? Mama akaniangalia na kusema "baba, hapa ulipo ndiyo Pugu Sec." Sikuamini macho yangu kama kweli hii ndiyo Pugu Sec. Hata kambi za JKT nilizopitia zilikuwa na nafuu. Yale majengo yalikuwa yamechoka na nikawa naona kama vile yapo pale tangu JKN ni mwalimu na hawajafanyia upanuzi au matengenezo makubwa yoyote.

      Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....
      Mkuu mbona kipindi hicho hii shule ilikuwa imeshafanyiwa ukarabati wa nguvu na DANIDA na ilikuwa inaonekana ni bomba?? Wewe ulizia miaka ya nyuma ktk ya miaka ya 1980 hv jinsi ilivyokuwa imechoka.
      Tabia ni kama ngozi hauwezi kuibadili....

    6. #5
      Jephta2003's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2008
      Posts : 250
      Rep Power : 624
      Likes Received
      36
      Likes Given
      212

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Kweli mkuu umenikumbusha mbali sana,those time tulikuwa tunapandia chai maharage mwisho wa lami,believe me ukioga maji ya Pondi lazima utoke na Fungus!!!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,208
      Rep Power : 824
      Likes Received
      80
      Likes Given
      3

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By Next Level
      Kuna ukame hivi wa POND boys hapa JF......Can't be!

      Mzee unauliza makofi polisi??? Unategemea Pugu boys wasiwemo JF ili iweje tena mkuu! Tupo pamoja
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    9. #7
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      HA HA HA HA HAAAAAA!!!! NEXT LEVEL.
      At least we now have something in common!
      Nilikuwa Pugu in 1975 High School.
      It was a very challenging place.Chakula hamna, maji hamna na tarehe sitaishau ni 5/5/1975 wanafunzi wote tuliandamana kwa mguu toka Pugu hadi kwa Mkuu wa Wilaya Mama Kunambi kuprotest hali mbaya ya maisha pale shuleni.
      Marehemu Mama Kunambi alituonea huruma sana na akakodi maba si ya UDA kuturudisha shuleni.
      Kwa miezi kadhaa baada ya hapo chakula na na maji yalirudi kwa fujo!!
      Mwalimu Mkuu aliyejulikana kama Mbise wakati huo alitushukuru kwa undertones kwa kuwezesha tatizo kujulikana na hatua kuchuliwa haraka.
      Vile vile hivyo mwaka huo 1975, Mozambique ilipata uhuru wake na tulisherehekea sana na kwa fujo kubwa na kikundi cha ngoma ya sindimba ya kimakonde toka Gongo la Mboto!!!!
      Last edited by Lole Gwakisa; 18th June 2009 at 08:05.

    10. #8
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By kwetunikwetu
      Mzee unauliza makofi polisi??? Unategemea Pugu boys wasiwemo JF ili iweje tena mkuu! Tupo pamoja
      Ha!ha!ha! KK Niliona jiiiiiiiiiiiiiii kajua pengine Pond boys wako vijiwe vingine, kumbe mazee mpo......safi sana! Life there was very terrible kwa kweli!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    11. #9
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By jephta2003
      Kweli mkuu umenikumbusha mbali sana,those time tulikuwa tunapandia chai maharage mwisho wa lami,believe me ukioga maji ya Pondi lazima utoke na Fungus!!!
      Ha!ha! mkuu...bora hata ukiibahatisha hiyo chai maharage tena nayo ilikuwa inaishia pale siku hizi wanaita Mwisho wa lami.......then you walk kupitia sehemu fulani walikuwa wanapaita Bagdad.....kulikuwa na wavuta bangi......wanataka uwaachia hata mia kama huna wanavua hata kiatu!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    12. #10
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By Lole Gwakisa
      HA HA HA HA HAAAAAA!!!! NEXT LEVEL.
      At least we now have something in common!
      Nilikuwa Pugu in 1975 High School.
      It was a very challenging place.Chakula hamna, maji hamna na tarehe sitaishau ni 5/5/1975 wanafunzi wote tuliandamana kwa mguu toka Pugu hadi kwa Mkuu wa Wilaya Mama Kunambi kuprotest hali mbaya ya maisha pale shuleni.
      Marehemu Mama Kunambi alituonea huruma sana na akakodi maba si ya UDA kuturudisha shuleni.
      Kwa miezi kadhaa baada ya hapo chakula na na maji yalirudi kwa fujo!!
      Mwalimu Mkuu aliyejulikana kama Mbise wakati huo alitushukuru kwa undertones kwa kuwezesha tatizo kujulikana na hatua kuchuliwa haraka.
      Vile vile hivyo mwaka huo 1975, Mozambique ilipata uhuru wake na tulisherehekea sana na kwa fujo kubwa na kikundi cha ngoma ya sindimba ya kimakonde toka Gongo la Mboto!!!!
      Ha!ha!ha!ha! LG......True! true kabisa......kumbe na weye ni ex Pugu Boy? Safi mkubwa.....!

      Mkuu hapo kny bold ....that challenge is there to live mkuu......mpaka leo hii ukienda pale Pugu, vijana bado wana matatizo ya maji, chakula na sasa uchakavu wa majengo.......sijui kwa nini serikali haifanyii kitu ile shule aisee!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    13. #11
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,208
      Rep Power : 824
      Likes Received
      80
      Likes Given
      3

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Hivi pale Baghdad siku hizi vipi, bado wauza mafuta na wapiga ndumu wapo?
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    14. #12
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By kwetunikwetu
      Hivi pale Baghdad siku hizi vipi, bado wauza mafuta na wapiga ndumu wapo?
      Wale masela nilipita pale last year sikuwaona......kilichokuwa kinawaweka pale ilikuwa pia dili za kupakia mchango kule mtoni upande wa kushoto ukiwa unapanda skonga......!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    15. #13
      wakunyumba's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      nimefurahi sana kusikia baghdad!!!!! niliacha kiatu pale masela waliomba hela ya ndumu na mimi nikawa hata 100 ya kupanda gari za chanika sina, pia kwa wale waliokuwepo till 2000 wanakumbuka jamaa mmoja alikua anaitwa Mabagala? anakukimbiza hata ukiwa uchi.

    16. #14
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By wakunyumba
      nimefurahi sana kusikia baghdad!!!!! niliacha kiatu pale masela waliomba hela ya ndumu na mimi nikawa hata 100 ya kupanda gari za chanika sina, pia kwa wale waliokuwepo till 2000 wanakumbuka jamaa mmoja alikua anaitwa Mabagala? anakukimbiza hata ukiwa uchi.
      Kwi!Kwi!Kwi!Kwi!Kwi!....mama weee! ha!ha!ha!....umemaliza mbavu zangu Wakunyumba!

      Pale Bagdad washkaji walishanichukuliaga madikodiko....niliDROP kwenda street kufuata maji ya kunywa....maza mmoja kanifungia madikodiko....kufika pale washkaji wakamind kabidi niwaachie...kabakia najilamba vidole tu!

      Umenikumbusha mabags....ha!ha!ha!...huya jamaa alikuwa navituko sana...eti akiwakuta mmelala wawili kitanda kimoja anaomba cheti cha ndoa....ha!ha! mibangi ilikuwa inamsumbua sana!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    17. #15
      Amosam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Posts : 156
      Rep Power : 559
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Unawakumbuka walimu wafuatao?Mabagara,Wajimira,Nzo i,Msungu(marehemu),Secondmaste r Swai(marehemu),Headmaster Mtera,Mama Mukuru,Mzee Mukuru,Makono(marehemu),Teti,M kwiche,Grace Chuma,Mamiro,Mama Mtera,Mbulanya,Godfrey Wasiwasi,Kaunda(mwalimu wa michezo 1984-1988),Mzava,Chamuriro,Mugyabus o(marehemu),Bakari Mbonde(Ex-Rufiji Mp)n.k Orodha yao ni wengi sana,waliotangulia mbele ya haki Mungu awaweke mahari panapostaili, aaaammmmmmiiiiiiiiiinnnn.

    18. #16
      Amosam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Posts : 156
      Rep Power : 559
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Kila asubuhi mkondo mmoja lazima kuchota maji ya kupikia kila mwanafunzi ndoo sita kutoka Pondi,na jioni darasa lingine nalo huchukua nafasi.Kweli tunahaki ya kupata maisha tuliyonayo,Pugu wee acha tuuuuu.

    19. #17
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By Amosam
      Unawakumbuka walimu wafuatao?Mabagara,Wajimira,Nzo i,Msungu(marehemu),Secondmaste r Swai(marehemu),Headmaster Mtera,Mama Mukuru,Mzee Mukuru,Makono(marehemu),Teti,M kwiche,Grace Chuma,Mamiro,Mama Mtera,Mbulanya,Godfrey Wasiwasi,Kaunda(mwalimu wa michezo 1984-1988),Mzava,Chamuriro,Mugyabus o(marehemu),Bakari Mbonde(Ex-Rufiji Mp)n.k Orodha yao ni wengi sana,waliotangulia mbele ya haki Mungu awaweke mahari panapostaili, aaaammmmmmiiiiiiiiiinnnn.
      Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!

      Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    20. #18
      Milindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2009
      Posts : 219
      Rep Power : 564
      Likes Received
      45
      Likes Given
      253

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Aksante kwa kutukumbusa mambo ya DOCEBIT VOS OMNIA,Naomba wadau wa kilatini watukumbushe maana yake,Kilichonifurahisha mbali na kukosa maji ni Muhogo wa mzee wa shamba na sitantasahau siku ambayo mzee wa shamba alimcheza ngoma mwanae,Mchiriku mpaka asubuhi ilikuwa raha sana na kitu kingine ni siku ambayo Mkuu wa shule alikuja Morning assemble na kutangaza namna hii ninanukuu.""Nimeenda wizarani,hamna pesa na shule inafungwa kuanzia leo sababu hakuna chakula"" Ilikuwa may katikati tukalrudi nyumbani na na shule ikafunguliwa July mwishoni.
      Ilikuwa shida sana.

    21. #19
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Quote By Milindi
      Aksante kwa kutukumbusa mambo ya DOCEBIT VOS OMNIA,
      PONDUS DEUS MEUM.....unalikumbuka na hili?
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    22. #20
      Kwetunikwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd December 2007
      Location : Kwetu uswahilini
      Posts : 1,208
      Rep Power : 824
      Likes Received
      80
      Likes Given
      3

      Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

      Juma Wasiwasi vipi yupo? mara ya mwisho nilisikia alikuwa anasoma Open University or UDSM. Jamaa alikuwa na misemo ya kutukana, aliniboa pale alipochukua TV ya shule akaweka nyumbani kwake.....watu walipiga kelele lakini jamaa wapi harudishi.....kelele zilipofika mbinguni akaona noma akairudisha
      Hardly a shoemaker goes barefoot..!

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Bwiru Boys Technical School Alumni
      By TinyMonster in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 29th July 2011, 20:43
    2. Best boys secondary schools
      By Bacardi in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 19th July 2011, 19:23
    3. TABORA SCHOOL(TABORA BOYS AND GIRLS)a.k.a Vipaji/THE HEAD OF TANZANIA..Mpo?
      By Da vincci in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 8
      Last Post: 13th October 2010, 16:21
    4. Boys will be boys
      By Kimbweka in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 10th June 2010, 16:39
    5. Vipi wakuu Same Boys Sec School
      By Lubaluka in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 7
      Last Post: 12th July 2009, 15:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...