| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 2431
|
||||||||||||
| The Following 2 Users Say Thank You to Next Level For This Useful Post: | ||
De Novo (19th February 2010), samvande2002 (19th February 2010) | ||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kuna ukame hivi wa POND boys hapa JF......Can't be!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM. |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
NL,
Nilifika shuleni pale mwaka 1991 kuchukua form za kujiunga na shule hiyo kwani mtoto wa dada yangu (Dr sasa wa mifugo) alikuwa anahamia hapo kutoka Forodhani sec. Nilichukua basi moja lenye kichwa cha roli kutoka Ilala hadi nikawa nimefika pale kwenye kituo cha mabasi (Pugu Sec.) na pana miti mirefuuu. Nikaangaza kulia na kushoto kama nilivyoelekezwa. Nikarudi nyuma kidogo na kuingia upande wa kushoto kama waenda Dar (Kulia kama waenda Kisarawe). Nikaingia hadi sehemu palipo majengo na kuanza kuangaza angaza mtu yeyote nimuulize ilipo shule ya Pugu. Nikamuona mama mmoja na kumuuliza, kama anafahamu shule ya secondary ya Pugu ilipo. Mama hakuamini na akaanza kucheka. Mie sikuelewa kisa cha kucheka ni nini hasa? Mama akaniangalia na kusema "baba, hapa ulipo ndiyo Pugu Sec." Sikuamini macho yangu kama kweli hii ndiyo Pugu Sec. Hata kambi za JKT nilizopitia zilikuwa na nafuu. Yale majengo yalikuwa yamechoka na nikawa naona kama vile yapo pale tangu JKN ni mwalimu na hawajafanyia upanuzi au matengenezo makubwa yoyote. Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui.... |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
__________________
Tabia ni kama ngozi hauwezi kuibadili.... |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kweli mkuu umenikumbusha mbali sana,those time tulikuwa tunapandia chai maharage mwisho wa lami,believe me ukioga maji ya Pondi lazima utoke na Fungus!!!
|
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mzee unauliza makofi polisi??? Unategemea Pugu boys wasiwemo JF ili iweje tena mkuu! Tupo pamoja
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
HA HA HA HA HAAAAAA!!!! NEXT LEVEL.
At least we now have something in common! Nilikuwa Pugu in 1975 High School. It was a very challenging place.Chakula hamna, maji hamna na tarehe sitaishau ni 5/5/1975 wanafunzi wote tuliandamana kwa mguu toka Pugu hadi kwa Mkuu wa Wilaya Mama Kunambi kuprotest hali mbaya ya maisha pale shuleni. Marehemu Mama Kunambi alituonea huruma sana na akakodi maba si ya UDA kuturudisha shuleni. Kwa miezi kadhaa baada ya hapo chakula na na maji yalirudi kwa fujo!! Mwalimu Mkuu aliyejulikana kama Mbise wakati huo alitushukuru kwa undertones kwa kuwezesha tatizo kujulikana na hatua kuchuliwa haraka. Vile vile hivyo mwaka huo 1975, Mozambique ilipata uhuru wake na tulisherehekea sana na kwa fujo kubwa na kikundi cha ngoma ya sindimba ya kimakonde toka Gongo la Mboto!!!! Last edited by Lole Gwakisa; 18th June 2009 at 08:05 AM.. |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ha!ha!ha! KK Niliona jiiiiiiiiiiiiiii kajua pengine Pond boys wako vijiwe vingine, kumbe mazee mpo......safi sana! Life there was very terrible kwa kweli!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM. |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ha!ha! mkuu...bora hata ukiibahatisha hiyo chai maharage tena nayo ilikuwa inaishia pale siku hizi wanaita Mwisho wa lami.......then you walk kupitia sehemu fulani walikuwa wanapaita Bagdad.....kulikuwa na wavuta bangi......wanataka uwaachia hata mia kama huna wanavua hata kiatu!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM. |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Mkuu hapo kny bold ....that challenge is there to live mkuu......mpaka leo hii ukienda pale Pugu, vijana bado wana matatizo ya maji, chakula na sasa uchakavu wa majengo.......sijui kwa nini serikali haifanyii kitu ile shule aisee!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 03:04 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||