Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Elimu (Education Forum)


Jukwaa la Elimu (Education Forum) Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 17th June 2009, 06:13 PM   #1
Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys
Next Level Next Level is online now 17th June 2009, 06:13 PM

Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.

Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.

Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!

Anything you remember here?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.

 
Next Level's Avatar
Next Level
JF Premium Member
Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,548
Thanks: 378
Thanked 518 Times in 318 Posts
Views: 2431
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Next Level For This Useful Post:
De Novo (19th February 2010), samvande2002 (19th February 2010)
  #2  
Old 17th June 2009, 07:07 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,548
Thanks: 378
Thanked 518 Times in 318 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Kuna ukame hivi wa POND boys hapa JF......Can't be!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #3  
Old 17th June 2009, 09:30 PM
SSAMBALI SSAMBALI is offline
SSAMBALI has no status.
Senior Member
Points: 78,833, Level: 100 Points: 78,833, Level: 100 Points: 78,833, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Posts: 51
Thanks: 29
Thanked 8 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
SSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enoughSSAMBALI will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

NL,
Nilifika shuleni pale mwaka 1991 kuchukua form za kujiunga na shule hiyo kwani mtoto wa dada yangu (Dr sasa wa mifugo) alikuwa anahamia hapo kutoka Forodhani sec. Nilichukua basi moja lenye kichwa cha roli kutoka Ilala hadi nikawa nimefika pale kwenye kituo cha mabasi (Pugu Sec.) na pana miti mirefuuu. Nikaangaza kulia na kushoto kama nilivyoelekezwa. Nikarudi nyuma kidogo na kuingia upande wa kushoto kama waenda Dar (Kulia kama waenda Kisarawe). Nikaingia hadi sehemu palipo majengo na kuanza kuangaza angaza mtu yeyote nimuulize ilipo shule ya Pugu. Nikamuona mama mmoja na kumuuliza, kama anafahamu shule ya secondary ya Pugu ilipo. Mama hakuamini na akaanza kucheka. Mie sikuelewa kisa cha kucheka ni nini hasa? Mama akaniangalia na kusema "baba, hapa ulipo ndiyo Pugu Sec." Sikuamini macho yangu kama kweli hii ndiyo Pugu Sec. Hata kambi za JKT nilizopitia zilikuwa na nafuu. Yale majengo yalikuwa yamechoka na nikawa naona kama vile yapo pale tangu JKN ni mwalimu na hawajafanyia upanuzi au matengenezo makubwa yoyote.

Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....
Reply With Quote
  #4  
Old 17th June 2009, 09:39 PM
Mtu wa Kawaida Mtu wa Kawaida is offline
Mtu wa Kawaida has no status.
JF Premium Member
Points: 78,284, Level: 100 Points: 78,284, Level: 100 Points: 78,284, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 182
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
NL,
Nilifika shuleni pale mwaka 1991 kuchukua form za kujiunga na shule hiyo kwani mtoto wa dada yangu (Dr sasa wa mifugo) alikuwa anahamia hapo kutoka Forodhani sec. Nilichukua basi moja lenye kichwa cha roli kutoka Ilala hadi nikawa nimefika pale kwenye kituo cha mabasi (Pugu Sec.) na pana miti mirefuuu. Nikaangaza kulia na kushoto kama nilivyoelekezwa. Nikarudi nyuma kidogo na kuingia upande wa kushoto kama waenda Dar (Kulia kama waenda Kisarawe). Nikaingia hadi sehemu palipo majengo na kuanza kuangaza angaza mtu yeyote nimuulize ilipo shule ya Pugu. Nikamuona mama mmoja na kumuuliza, kama anafahamu shule ya secondary ya Pugu ilipo. Mama hakuamini na akaanza kucheka. Mie sikuelewa kisa cha kucheka ni nini hasa? Mama akaniangalia na kusema "baba, hapa ulipo ndiyo Pugu Sec." Sikuamini macho yangu kama kweli hii ndiyo Pugu Sec. Hata kambi za JKT nilizopitia zilikuwa na nafuu. Yale majengo yalikuwa yamechoka na nikawa naona kama vile yapo pale tangu JKN ni mwalimu na hawajafanyia upanuzi au matengenezo makubwa yoyote.

Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....
Mkuu mbona kipindi hicho hii shule ilikuwa imeshafanyiwa ukarabati wa nguvu na DANIDA na ilikuwa inaonekana ni bomba?? Wewe ulizia miaka ya nyuma ktk ya miaka ya 1980 hv jinsi ilivyokuwa imechoka.
__________________
Tabia ni kama ngozi hauwezi kuibadili....
Reply With Quote
  #5  
Old 17th June 2009, 10:03 PM
Jephta2003's Avatar
Jephta2003 Jephta2003 is offline
Jephta2003 has no status.
Member
Points: 72,235, Level: 100 Points: 72,235, Level: 100 Points: 72,235, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 18
Thanks: 8
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 0
Jephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Kweli mkuu umenikumbusha mbali sana,those time tulikuwa tunapandia chai maharage mwisho wa lami,believe me ukioga maji ya Pondi lazima utoke na Fungus!!!
Reply With Quote
  #6  
Old 17th June 2009, 10:42 PM
Kwetunikwetu's Avatar
Kwetunikwetu Kwetunikwetu is online now
Kwetunikwetu is doing fine
JF Senior Expert Member
Points: 365,887, Level: 100 Points: 365,887, Level: 100 Points: 365,887, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sun Dec 2007
Location: Kwetu uswahilini
Posts: 797
Thanks: 1
Thanked 71 Times in 55 Posts
Rep Power: 24
Kwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Kuna ukame hivi wa POND boys hapa JF......Can't be!

Mzee unauliza makofi polisi??? Unategemea Pugu boys wasiwemo JF ili iweje tena mkuu! Tupo pamoja
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate
Reply With Quote
  #7  
Old 17th June 2009, 11:04 PM
Lole Gwakisa's Avatar
Lole Gwakisa Lole Gwakisa is online now
Lole Gwakisa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 224,611, Level: 100 Points: 224,611, Level: 100 Points: 224,611, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Wed Nov 2008
Posts: 1,179
Thanks: 289
Thanked 274 Times in 137 Posts
Rep Power: 24
Lole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

HA HA HA HA HAAAAAA!!!! NEXT LEVEL.
At least we now have something in common!
Nilikuwa Pugu in 1975 High School.
It was a very challenging place.Chakula hamna, maji hamna na tarehe sitaishau ni 5/5/1975 wanafunzi wote tuliandamana kwa mguu toka Pugu hadi kwa Mkuu wa Wilaya Mama Kunambi kuprotest hali mbaya ya maisha pale shuleni.
Marehemu Mama Kunambi alituonea huruma sana na akakodi maba si ya UDA kuturudisha shuleni.
Kwa miezi kadhaa baada ya hapo chakula na na maji yalirudi kwa fujo!!
Mwalimu Mkuu aliyejulikana kama Mbise wakati huo alitushukuru kwa undertones kwa kuwezesha tatizo kujulikana na hatua kuchuliwa haraka.
Vile vile hivyo mwaka huo 1975, Mozambique ilipata uhuru wake na tulisherehekea sana na kwa fujo kubwa na kikundi cha ngoma ya sindimba ya kimakonde toka Gongo la Mboto!!!!

Last edited by Lole Gwakisa; 18th June 2009 at 08:05 AM..
Reply With Quote
  #8  
Old 18th June 2009, 09:12 AM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,548
Thanks: 378
Thanked 518 Times in 318 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Mzee unauliza makofi polisi??? Unategemea Pugu boys wasiwemo JF ili iweje tena mkuu! Tupo pamoja
Ha!ha!ha! KK Niliona jiiiiiiiiiiiiiii kajua pengine Pond boys wako vijiwe vingine, kumbe mazee mpo......safi sana! Life there was very terrible kwa kweli!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #9  
Old 18th June 2009, 09:16 AM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,548
Thanks: 378
Thanked 518 Times in 318 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Kweli mkuu umenikumbusha mbali sana,those time tulikuwa tunapandia chai maharage mwisho wa lami,believe me ukioga maji ya Pondi lazima utoke na Fungus!!!
Ha!ha! mkuu...bora hata ukiibahatisha hiyo chai maharage tena nayo ilikuwa inaishia pale siku hizi wanaita Mwisho wa lami.......then you walk kupitia sehemu fulani walikuwa wanapaita Bagdad.....kulikuwa na wavuta bangi......wanataka uwaachia hata mia kama huna wanavua hata kiatu!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #10  
Old 18th June 2009, 09:22 AM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100 Points: 175,514, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,548
Thanks: 378
Thanked 518 Times in 318 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
HA HA HA HA HAAAAAA!!!! NEXT LEVEL.
At least we now have something in common!
Nilikuwa Pugu in 1975 High School.
It was a very challenging place.Chakula hamna, maji hamna na tarehe sitaishau ni 5/5/1975 wanafunzi wote tuliandamana kwa mguu toka Pugu hadi kwa Mkuu wa Wilaya Mama Kunambi kuprotest hali mbaya ya maisha pale shuleni.
Marehemu Mama Kunambi alituonea huruma sana na akakodi maba si ya UDA kuturudisha shuleni.
Kwa miezi kadhaa baada ya hapo chakula na na maji yalirudi kwa fujo!!
Mwalimu Mkuu aliyejulikana kama Mbise wakati huo alitushukuru kwa undertones kwa kuwezesha tatizo kujulikana na hatua kuchuliwa haraka.
Vile vile hivyo mwaka huo 1975, Mozambique ilipata uhuru wake na tulisherehekea sana na kwa fujo kubwa na kikundi cha ngoma ya sindimba ya kimakonde toka Gongo la Mboto!!!!
Ha!ha!ha!ha! LG......True! true kabisa......kumbe na weye ni ex Pugu Boy? Safi mkubwa.....!

Mkuu hapo kny bold ....that challenge is there to live mkuu......mpaka leo hii ukienda pale Pugu, vijana bado wana matatizo ya maji, chakula na sasa uchakavu wa majengo.......sijui kwa nini serikali haifanyii kitu ile shule aisee!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Next Level For This Useful Post:
samvande2002 (19th February 2010)
Reply

Bookmarks

Tags
aka, boys, pond, pugu, school, secondary


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Bethwell Mbugua: Watanzania walipigwa changa la macho? Kichuguu Celebrities Forum 22 31st May 2009 01:20 PM
Law School of Tanzania Mdau Jukwaa la Sheria (The Law Forum) 20 13th May 2009 12:22 PM
Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu? popo Jukwaa la Siasa 304 6th April 2009 01:23 AM
Kwanini wanasiasa wetu hawamuenzi Erasto Mpemba? Asha Abdala Habari na Hoja mchanganyiko 31 28th November 2007 05:59 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 03:04 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com