Jukwaa la Elimu (Education Forum)Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs
Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.
Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.
Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!
Anything you remember here?
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Mh... ina maana hukuonyeshwa kanisa, maabara na pale tulipokuwa tunafuga ng'ombe?? au kule dispensary???
Hahahahaa....na kile kinyumba cha makumbusho ya nyerere?
Quote:
DOCEBIT VOS OMNIA!!!!!!!!!
I like this
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Wakuu nasikia yule aliyekuwa Headmaster pale (kati ya 96 to 2000) Bw. Myenge, na aliye wahi kuwa second master Mr. Mzava kipindi hicho hicho, walishafariki?
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Wakuu nasikia yule aliyekuwa Headmaster pale (kati ya 96 to 2000) Bw. Myenge, na aliye wahi kuwa second master Mr. Mzava kipindi hicho hicho, walishafariki?
__________________
"If silence is golden,speech is platinum.It dispels ignorance,ventilates grievances,stimulates curiosity and lessens the fundamental loneliness of the soul."
Ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!....................mba vu kwishney kabisa........!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!....................mba vu kwishney kabisa........!
Kweli JF kiboko, Enzi zile Mkuu hii misamiati hukuwa nayo.
Ngoja niconsult kamusi yangu.....kwi kwi kwiiii..
__________________
"If silence is golden,speech is platinum.It dispels ignorance,ventilates grievances,stimulates curiosity and lessens the fundamental loneliness of the soul."
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?
__________________ amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?
Dada anaitwa mkandawire, wote hawapo pale nilienda kusalimia one day!!!
Dada anaitwa mkandawire, wote hawapo pale nilienda kusalimia one day!!!
Mkandawire ni DADA? Mi namkumbuka yule Mkandawire majasiriamali......mzee wa machemistry......, alikuwa maarufu sana miaka ya 97 hadi 2003 hivi......?
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Kweli JF kiboko, Enzi zile Mkuu hii misamiati hukuwa nayo.
Ngoja niconsult kamusi yangu.....kwi kwi kwiiii..
H!ha!ha!ha!ha!ha!ha!...kama imekuchemsha hiyo....na je, tukikupiga ''DOCEBIT VOS OMNIA''......JF achana nayo, bado ubunge!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Habari wakuu, nashukuru mmenikumbusha fungus wa Pugu. I was there 92/94 PCB na nilikuwa Ujamaa 1. Hivi Charwe na yule dada wa Chemistry jina limenitoka wapo?
Sadly I heard that Charwe passed away from complication of a stroke. I was there as well 91/93 PCB palepale Ujamaa luckily as one of the leaders and hence a privilege of living in some sort of a "private" accommodation.
__________________ "Be not afraid of growing slowly, be only afraid of standing still." Old Chinese Proverb