Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Elimu (Education Forum)


Jukwaa la Elimu (Education Forum) Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 17th June 2009, 06:13 PM  
Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys
Next Level Next Level is offline 17th June 2009, 06:13 PM

Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.

Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.

Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!

Anything you remember here?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.

 
Next Level's Avatar
Next Level
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Views: 2477
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Next Level For This Useful Post:
De Novo (19th February 2010), samvande2002 (19th February 2010)
  #21  
Old 18th June 2009, 04:46 PM
Giro's Avatar
Giro Giro is offline
Giro has no status.
Senior Member
Points: 96,956, Level: 100 Points: 96,956, Level: 100 Points: 96,956, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Feb 2009
Location: I'm the diamond in the dirt, that ain't been found
Posts: 98
Thanks: 2
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
Giro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enoughGiro will become famous soon enough
Thumbs up Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!

Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.
__________________
You're not to be so blind with patriotism that you can't face reality. Wrong is wrong, no matter who does it or says it.
Reply With Quote
  #22  
Old 18th June 2009, 04:48 PM
samvande2002's Avatar
samvande2002 samvande2002 is offline
samvande2002 is still perfect after all these yrs
Senior Member
Points: 64,087, Level: 100 Points: 64,087, Level: 100 Points: 64,087, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Fri Mar 2009
Location: pretoria, R.S.A
Posts: 101
Thanks: 5
Thanked 15 Times in 14 Posts
Rep Power: 22
samvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enoughsamvande2002 will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

pugu ni noma...
Reply With Quote
  #23  
Old 18th June 2009, 05:02 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.
Giro.....umevunja mbavu zangu mpaka noma kweli! Kwenye mboga, maandazi, diet ....namkumbuka mama mmoja alikuwa anaitwa Mama Pendo....du kale Kapendo...machizi walikuwa wanakamendea kweli!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #24  
Old 18th June 2009, 05:36 PM
kizimkazi kizimkazi is offline
kizimkazi has no status.
Senior Member
Points: 61,420, Level: 100 Points: 61,420, Level: 100 Points: 61,420, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 50
Thanks: 1
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
kizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enoughkizimkazi will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

sasa hakuna hata anaesema kasoma mwaka gani? labda mmesoma na wanetu,semeni mlisoma miaka gani pugu
Reply With Quote
  #25  
Old 18th June 2009, 06:11 PM
mr kiroboto's Avatar
mr kiroboto mr kiroboto is offline
mr kiroboto a wiseman
Senior Member
Points: 81,484, Level: 100 Points: 81,484, Level: 100 Points: 81,484, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: Chanika
Posts: 218
Thanks: 16
Thanked 10 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
mr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enoughmr kiroboto will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

nilipita o'level pale.namkumbuka mwalimu Nampanda,jamaa alikuwa anafundisha kiswahili pia alikuwa mwalimu wa michezo,jamaa anamatusi kama alivyo Juma WASIWASI.

pugu palikuwa poa tatizo maji machafu,mbu kibao.Ila haina noma mazee tumemaliza kikauzukauzu hivyohivyo.
Reply With Quote
  #26  
Old 20th June 2009, 09:00 AM
stanmokiwa stanmokiwa is offline
stanmokiwa has no status.
Senior Member
Points: 72,451, Level: 100 Points: 72,451, Level: 100 Points: 72,451, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 60
Thanks: 1
Thanked 5 Times in 3 Posts
Rep Power: 21
stanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enoughstanmokiwa will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
pugu ni noma...
Mimi nilihamia pale mwaka 1993 nikiwa form 4, nilisoma mwaka mmoja lakini ilikuwa kama miaka 10. Nakumbuka siku ya kwanza nilipofika pale baada ya chakula niliona kila mmoja anatoa dumu la maji ya kunywa kutoka katika locker lake, kwa siku hii nilipewa maji na rafiki yangu tuliyesoma nae primary school. Then after ilibidi kila jioni baada ya chakula kwenda kunywa maji mwisho wa lami (imagine that distance), jumamosi yake nami nilitoka nyumbani Dar na dumu langu la maji. Yaani ilikuwa ukipanda basi siku ya jumapili kutoka Dar kila mwanafunzi na galon ya maji ya kunywa. IT WAS TERRIBLE!!!!....!!

Nawakumbuka baadhi tuliokaa nao pale Ujamaa 5 or 3 kama sikosei, bweni lililokuwa linakaa wajanja ambao walikuwa na special attention, nawakumbuka jamaa wawili walikuwa wanaitwa WACHINA nimesahau majina yao. Nawakumbuka Peter Shija, Michael Nandonde, David Mahalu.......,

Kama hapa jamvin yupo aliyemaliza f4 mwaka 1993 naomba tukumbushane majina.
Reply With Quote
  #27  
Old 21st June 2009, 02:36 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
sasa hakuna hata anaesema kasoma mwaka gani? labda mmesoma na wanetu,semeni mlisoma miaka gani pugu
Mkuu....1998 / 2000!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #28  
Old 24th June 2009, 04:43 PM
Jephta2003's Avatar
Jephta2003 Jephta2003 is offline
Jephta2003 has no status.
Member
Points: 72,235, Level: 100 Points: 72,235, Level: 100 Points: 72,235, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 18
Thanks: 8
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 0
Jephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enoughJephta2003 will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
sasa hakuna hata anaesema kasoma mwaka gani? labda mmesoma na wanetu,semeni mlisoma miaka gani pugu

Teh teh teh!!!,Mkuu mie nilikuwa pale A level PCM 2000-2003,Bweni la Ujamaa 5
Reply With Quote
  #29  
Old 24th June 2009, 05:23 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Teh teh teh!!!,Mkuu mie nilikuwa pale A level PCM 2000-2003,Bweni la Ujamaa 5
Ha!ha!h!ha! Naona tuliwaachia uwanja pale......! Zetu zilikuwa pale Maendeleo 3!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #30  
Old 24th June 2009, 11:11 PM
De Novo's Avatar
De Novo De Novo is offline
De Novo !
JF Premium Member
Points: 275,337, Level: 100 Points: 275,337, Level: 100 Points: 275,337, Level: 100
Activity: 58% Activity: 58% Activity: 58%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Dar - Tz
Posts: 4,232
Thanks: 1,380
Thanked 1,404 Times in 855 Posts
Rep Power: 30
De Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
NL,


Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....
Mh... ina maana hukuonyeshwa kanisa, maabara na pale tulipokuwa tunafuga ng'ombe?? au kule dispensary???

Attending Iloru, Tambaza and Upanga... i still fancy Pugu kuliko hizo nyingine
DOCEBIT VOS OMNIA!!!!!!!!!
__________________
I am on the move...
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aka, boys, pond, pugu, school, secondary


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Bethwell Mbugua: Watanzania walipigwa changa la macho? Kichuguu Celebrities Forum 22 31st May 2009 01:20 PM
Law School of Tanzania Mdau Jukwaa la Sheria (The Law Forum) 20 13th May 2009 12:22 PM
Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu? popo Jukwaa la Siasa 304 6th April 2009 01:23 AM
Kwanini wanasiasa wetu hawamuenzi Erasto Mpemba? Asha Abdala Habari na Hoja mchanganyiko 31 28th November 2007 05:59 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:38 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com