Jukwaa la Elimu (Education Forum)Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs
Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.
Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.
Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!
Anything you remember here?
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!
Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.
__________________ You're not to be so blind with patriotism that you can't face reality. Wrong is wrong, no matter who does it or says it.
Umesahau na wale kina mama wauza maji,mbogamboga na samaki,bweni la mapinduzi.Mbu kibao vijana wanapiga msuli wamevaa soksi na wamejifunika neti noma sana.Mabagala noma ana speed tofauti na umbo lake jamaa anakula ndumu yule,wakati anakukimbiza utasia akisema "Kijana ongeza speed na kuovateki".Pugu boy ukimuona ameingiza mkono katika mfuko wa suruali usifikiri anakupa pesa anajikuna fangasi.Nzoi mzee wa Physics jaribu kumwita teacher class ukitaka kumuliza swali utasikia "nani Teacher hivi ndivyo mnavyowanyea wazazi wenu?" "baba unafikiri hapa mnazi mmoja" akiwa anamana umesoma tution mnazi mmoja then unataka kum challenge.Currently Pugu Kuna geti na kaukuta ka kiushikaji.
Giro.....umevunja mbavu zangu mpaka noma kweli! Kwenye mboga, maandazi, diet ....namkumbuka mama mmoja alikuwa anaitwa Mama Pendo....du kale Kapendo...machizi walikuwa wanakamendea kweli!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
nilipita o'level pale.namkumbuka mwalimu Nampanda,jamaa alikuwa anafundisha kiswahili pia alikuwa mwalimu wa michezo,jamaa anamatusi kama alivyo Juma WASIWASI.
Mimi nilihamia pale mwaka 1993 nikiwa form 4, nilisoma mwaka mmoja lakini ilikuwa kama miaka 10. Nakumbuka siku ya kwanza nilipofika pale baada ya chakula niliona kila mmoja anatoa dumu la maji ya kunywa kutoka katika locker lake, kwa siku hii nilipewa maji na rafiki yangu tuliyesoma nae primary school. Then after ilibidi kila jioni baada ya chakula kwenda kunywa maji mwisho wa lami (imagine that distance), jumamosi yake nami nilitoka nyumbani Dar na dumu langu la maji. Yaani ilikuwa ukipanda basi siku ya jumapili kutoka Dar kila mwanafunzi na galon ya maji ya kunywa. IT WAS TERRIBLE!!!!....!!
Nawakumbuka baadhi tuliokaa nao pale Ujamaa 5 or 3 kama sikosei, bweni lililokuwa linakaa wajanja ambao walikuwa na special attention, nawakumbuka jamaa wawili walikuwa wanaitwa WACHINA nimesahau majina yao. Nawakumbuka Peter Shija, Michael Nandonde, David Mahalu.......,
Kama hapa jamvin yupo aliyemaliza f4 mwaka 1993 naomba tukumbushane majina.
sasa hakuna hata anaesema kasoma mwaka gani? labda mmesoma na wanetu,semeni mlisoma miaka gani pugu
Mkuu....1998 / 2000!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Teh teh teh!!!,Mkuu mie nilikuwa pale A level PCM 2000-2003,Bweni la Ujamaa 5
Ha!ha!h!ha! Naona tuliwaachia uwanja pale......! Zetu zilikuwa pale Maendeleo 3!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
Nilionyeshwa Ofisi na kuchukua form zangu na kurudi zangu mjini. Sikuamini kama ile inaweza kuwa secondary, tena PUGU (Pugu jina kubwa). Anyway, mliosoma hapo msijione kuwa nawatukaneni. Nimekuja kukata tamaa zaidi baada ya kuona lile bweni lililomliza Naibu waziri wa Elimu, mama nani sijui....
Mh... ina maana hukuonyeshwa kanisa, maabara na pale tulipokuwa tunafuga ng'ombe?? au kule dispensary???
Attending Iloru, Tambaza and Upanga... i still fancy Pugu kuliko hizo nyingine
DOCEBIT VOS OMNIA!!!!!!!!!