Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Elimu (Education Forum)


Jukwaa la Elimu (Education Forum) Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 17th June 2009, 06:13 PM  
Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys
Next Level Next Level is online now 17th June 2009, 06:13 PM

Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.

Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high school...(form 5 to 6), ningependa tujikumbushe mambo mbalimbali kuhusu shule ile ambayo ina historia ndefu sana kwa Taifa letu. Ni shule ambayo viongozi wetu mbalimbali walishapitia pale kama wanafunzi au walimu kama vile Mwal. Nyerere, Mkapa (kama sikosei) na wengine wengi tu.

Kwa kuanza kabisa mimi nakumbuka wakati tukisoma pale, maji yalikuwa upatikanaji wake wa shida sana, kulikuwa na wadudu wa malaria na tryphoid sana, kulikuwa na Fungus acha kabisa....yaani tulikuwa tunakamatwa na fungus kiasi cha kushindwa kutembea au kutembea as if one has STDs.....jamaa mtaani mpaka wakawa wanatuita FUNGUS BOYS Mabafu halikuwa haba sana na machafu...so option ilikuwa kwenda kuogea kule mtoni tulikuwa tunakuita POND....hence tukawa tunaitwa POND BOYS.....!

Anything you remember here?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.

 
Next Level's Avatar
Next Level
JF Premium Member
Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,553
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Views: 2449
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Next Level For This Useful Post:
De Novo (19th February 2010), samvande2002 (19th February 2010)
  #11  
Old 18th June 2009, 12:46 PM
Kwetunikwetu's Avatar
Kwetunikwetu Kwetunikwetu is offline
Kwetunikwetu is doing fine
JF Senior Expert Member
Points: 368,924, Level: 100 Points: 368,924, Level: 100 Points: 368,924, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Sun Dec 2007
Location: Kwetu uswahilini
Posts: 803
Thanks: 1
Thanked 74 Times in 58 Posts
Rep Power: 24
Kwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Hivi pale Baghdad siku hizi vipi, bado wauza mafuta na wapiga ndumu wapo?
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate
Reply With Quote
  #12  
Old 18th June 2009, 01:04 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,553
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Hivi pale Baghdad siku hizi vipi, bado wauza mafuta na wapiga ndumu wapo?
Wale masela nilipita pale last year sikuwaona......kilichokuwa kinawaweka pale ilikuwa pia dili za kupakia mchango kule mtoni upande wa kushoto ukiwa unapanda skonga......!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #13  
Old 18th June 2009, 02:43 PM
wakunyumba wakunyumba is offline
wakunyumba has no status.
Junior Member
Points: 52,252, Level: 100 Points: 52,252, Level: 100 Points: 52,252, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jun 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
wakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enoughwakunyumba will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

nimefurahi sana kusikia baghdad!!!!! niliacha kiatu pale masela waliomba hela ya ndumu na mimi nikawa hata 100 ya kupanda gari za chanika sina, pia kwa wale waliokuwepo till 2000 wanakumbuka jamaa mmoja alikua anaitwa Mabagala? anakukimbiza hata ukiwa uchi.
Reply With Quote
  #14  
Old 18th June 2009, 03:11 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,553
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
nimefurahi sana kusikia baghdad!!!!! niliacha kiatu pale masela waliomba hela ya ndumu na mimi nikawa hata 100 ya kupanda gari za chanika sina, pia kwa wale waliokuwepo till 2000 wanakumbuka jamaa mmoja alikua anaitwa Mabagala? anakukimbiza hata ukiwa uchi.
Kwi!Kwi!Kwi!Kwi!Kwi!....mama weee! ha!ha!ha!....umemaliza mbavu zangu Wakunyumba!

Pale Bagdad washkaji walishanichukuliaga madikodiko....niliDROP kwenda street kufuata maji ya kunywa....maza mmoja kanifungia madikodiko....kufika pale washkaji wakamind kabidi niwaachie...kabakia najilamba vidole tu!

Umenikumbusha mabags....ha!ha!ha!...huya jamaa alikuwa navituko sana...eti akiwakuta mmelala wawili kitanda kimoja anaomba cheti cha ndoa....ha!ha! mibangi ilikuwa inamsumbua sana!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #15  
Old 18th June 2009, 03:11 PM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Unawakumbuka walimu wafuatao?Mabagara,Wajimira,Nzoi,Msungu(marehemu),S econdmaster Swai(marehemu),Headmaster Mtera,Mama Mukuru,Mzee Mukuru,Makono(marehemu),Teti,Mkwiche,Grace Chuma,Mamiro,Mama Mtera,Mbulanya,Godfrey Wasiwasi,Kaunda(mwalimu wa michezo 1984-1988),Mzava,Chamuriro,Mugyabuso(marehemu),Bakari Mbonde(Ex-Rufiji Mp)n.k Orodha yao ni wengi sana,waliotangulia mbele ya haki Mungu awaweke mahari panapostaili, aaaammmmmmiiiiiiiiiinnnn.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Amosam For This Useful Post:
Lekanjobe Kubinika (19th February 2010)
  #16  
Old 18th June 2009, 03:15 PM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Kila asubuhi mkondo mmoja lazima kuchota maji ya kupikia kila mwanafunzi ndoo sita kutoka Pondi,na jioni darasa lingine nalo huchukua nafasi.Kweli tunahaki ya kupata maisha tuliyonayo,Pugu wee acha tuuuuu.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Amosam For This Useful Post:
Lekanjobe Kubinika (19th February 2010)
  #17  
Old 18th June 2009, 03:24 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,553
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Unawakumbuka walimu wafuatao?Mabagara,Wajimira,Nzoi,Msungu(marehemu),S econdmaster Swai(marehemu),Headmaster Mtera,Mama Mukuru,Mzee Mukuru,Makono(marehemu),Teti,Mkwiche,Grace Chuma,Mamiro,Mama Mtera,Mbulanya,Godfrey Wasiwasi,Kaunda(mwalimu wa michezo 1984-1988),Mzava,Chamuriro,Mugyabuso(marehemu),Bakari Mbonde(Ex-Rufiji Mp)n.k Orodha yao ni wengi sana,waliotangulia mbele ya haki Mungu awaweke mahari panapostaili, aaaammmmmmiiiiiiiiiinnnn.
Hapo kny bold sio Juma wasiwasi....mzee wa midevu na mtaalam wa Lugha na ushairi.....nywele zake alikuwa anapaka black....! Du hao marehemu hata sikuwa nimesikia habari hizo isipokuwa Msungu (RIP).....!

Kuna mwingine alikuwa anitwa Juma....huyu alikuwa anadeal na misosi.....ha!ha!ha! mtaalam wa mambo ya MNAZI....kazi kwelikweli!....Hujalipa ada....no Kidishi cha msosi!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #18  
Old 18th June 2009, 03:25 PM
Milindi Milindi is offline
Milindi has no status.
Member
Points: 63,394, Level: 100 Points: 63,394, Level: 100 Points: 63,394, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 13
Thanks: 1
Thanked 6 Times in 3 Posts
Rep Power: 0
Milindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enoughMilindi will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Aksante kwa kutukumbusa mambo ya DOCEBIT VOS OMNIA,Naomba wadau wa kilatini watukumbushe maana yake,Kilichonifurahisha mbali na kukosa maji ni Muhogo wa mzee wa shamba na sitantasahau siku ambayo mzee wa shamba alimcheza ngoma mwanae,Mchiriku mpaka asubuhi ilikuwa raha sana na kitu kingine ni siku ambayo Mkuu wa shule alikuja Morning assemble na kutangaza namna hii ninanukuu.""Nimeenda wizarani,hamna pesa na shule inafungwa kuanzia leo sababu hakuna chakula"" Ilikuwa may katikati tukalrudi nyumbani na na shule ikafunguliwa July mwishoni.
Ilikuwa shida sana.
Reply With Quote
  #19  
Old 18th June 2009, 03:38 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is online now
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100 Points: 176,099, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,553
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Quote:
View Post
Aksante kwa kutukumbusa mambo ya DOCEBIT VOS OMNIA,
PONDUS DEUS MEUM.....unalikumbuka na hili?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #20  
Old 18th June 2009, 04:20 PM
Kwetunikwetu's Avatar
Kwetunikwetu Kwetunikwetu is offline
Kwetunikwetu is doing fine
JF Senior Expert Member
Points: 368,924, Level: 100 Points: 368,924, Level: 100 Points: 368,924, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Sun Dec 2007
Location: Kwetu uswahilini
Posts: 803
Thanks: 1
Thanked 74 Times in 58 Posts
Rep Power: 24
Kwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enoughKwetunikwetu will become famous soon enough
Default Re: Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Juma Wasiwasi vipi yupo? mara ya mwisho nilisikia alikuwa anasoma Open University or UDSM. Jamaa alikuwa na misemo ya kutukana, aliniboa pale alipochukua TV ya shule akaweka nyumbani kwake.....watu walipiga kelele lakini jamaa wapi harudishi.....kelele zilipofika mbinguni akaona noma akairudisha
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aka, boys, pond, pugu, school, secondary


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Bethwell Mbugua: Watanzania walipigwa changa la macho? Kichuguu Celebrities Forum 22 31st May 2009 01:20 PM
Law School of Tanzania Mdau Jukwaa la Sheria (The Law Forum) 20 13th May 2009 12:22 PM
Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu? popo Jukwaa la Siasa 304 6th April 2009 01:23 AM
Kwanini wanasiasa wetu hawamuenzi Erasto Mpemba? Asha Abdala Habari na Hoja mchanganyiko 31 28th November 2007 05:59 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:12 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com