Wanajamvi naomba kuuliza hivi kama umekua admitted katika Chuo chochote kile ni lazima u-confirm kwenye akaunti yako ya TCU na kama usipo confirm ni nini kinaweza tokea? Naomba msaada wa maelezo tafadhali.
Wanajamvi naomba kuuliza hivi kama umekua admitted katika Chuo chochote kile ni lazima u-confirm kwenye akaunti yako ya TCU na kama usipo confirm ni nini kinaweza tokea? Naomba msaada wa maelezo tafadhali.
Follow Us Here