Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri wako kama una infor kuhusu hili.Thanks
Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri wako kama una infor kuhusu hili.Thanks
credit 3 anazo??? kama hana ukaze huko huko...then aje huku kupiga kaz!!!
Its depends on his results aweza pata
Tcu wanaangalia credt 3 za o-level pia,kama hakupata sijui kama watamchukua.
anasoma tu! mana inaonesha yeye ni kwa njia za panya zaidi! bongo hapa anasoma! wapo waliomaliza six na 4 zao, na chuo wanasoma na wengine wamemaliza na gpa nzuri tu! kama anayo pesa arudi bongo tu, tena skuizi kunavyuo vingi kupitiliza bora ingekuwa zamani nngemuwia ngumu kidogo! huyu wala sio ndugu yako ni wewe mwenyewe, so mkuu wewe rudi tu, vyuo vipo vya kumwaga huku.
MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina
atapata lakini atapata pale ZOOM COLLEGE MAGOMENI!!
Follow Us Here