Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 50
    1. #1
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 612
      Rep Power : 462
      Likes Received
      110
      Likes Given
      7

      Cool KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      siku ya leo nataka kuvunja mzizi wa fitina maana humu ndani yametokea mabishano na mada kuhusu
      1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao.....
      2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo

      kusema kweli chuo ni chuo....ili mradi kinatambuliwa na serikali na tcu.....kitu muhimu katika kusoma elimu ya
      chuo kikuu ni baada ya kuhitimu uweze kupata ajira ambayo itakuwezesha kuendesha maisha yako...ya badae

      so usije ukakariri....kwamba eti mimi nasoma chuo flani ni bola kuliko mwengine cha umuhimu ni kumuomba mungu
      upate michongo wa kazi,,,,,usijidanganye eti ya kwamba kisa nimesoma maarufu eti nikimaliza chuo napata kazi hapo hapo kitu kama hichi hakuna............na huu ni wosia wangu........kwani watu wengi tukiwa vyuoni tunadanganyana sana

      na mwisho nawahusia ndugu zangu.......ombeni sana mungu mpate michongo ya kazi....mtaani ni kugumu sana
      Baro, LORDVILLE, elmshash and 1 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      KENET's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 242
      Rep Power : 394
      Likes Received
      56
      Likes Given
      75

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Quote By Jemsi
      vijana wngu,nimesha tafuta vijana wa kazi TBS,kwa njia ya interview lakini wengi ni wenye first clas lakin wanakosa nafac,sababu ni kwamba pamoja na cheti,tunakuuliza maswali mengi sana,tunaangalia uvaaji wako,vyeti vyako vya nyuma na extra experience,so unakuta ni mzuri kimasomo lakini hana ujuzi mzuri wa kazi,sasa vijana jitahidini kufaham kila kitu na msaidiane sio kusemana,usimzarau ucyemjua.
      Kuna Makampuni mengine yanahitaji fresh graduate na mengine graduate ambao wana uzoefu kazini.Sasa wewe ujiangalia uko upande gani.

    4. #22
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,314
      Rep Power : 613
      Likes Received
      116
      Likes Given
      139

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      nahisi ile ligi NGUMU HUMU JF inataka anza tena...mh...

    5. #23
      Mao ze dong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2012
      Location : Arusha Tanzania
      Posts : 387
      Rep Power : 415
      Likes Received
      62
      Likes Given
      6

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      You do have a point zawadi machibia kasoma st john(iliyokua mazengo)lakini saii yupo bbc anakula bata kila cku jion yupo hewan,wangap wamesoma hiyo mass com kwenye vyuo vinavyotambiwa na wanavuta ndala,any way chuo chochote ni mchongo

    6. #24
      Gaza and Israel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Location : The West Bank
      Posts : 589
      Rep Power : 489
      Likes Received
      114
      Likes Given
      53

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Shule ni kazi au ajira? Let us change our Minds. Mimi binafsi nimesoma, nlivyomaliza nikapata ajira ya serikali lakini sasa natafuta kazi kwa maana hali ya kuajiriwa nimechoka. Twende shule na tushuriane jinsi ya kutengeneza kazi na sio ajira. Muda upo tusiangalie chuo wala mshahara maana vyote ni utumwa.
      Shukrani
      "Tanzania has every Thing in Nature, Except Valid Technology and Politics"

    7. #25
      manoah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 6,944
      Rep Power : 12929
      Likes Received
      2610
      Likes Given
      10001

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Harvard university, Yale university then University of Dar es salaam, Dodoma University na Dar Es Salaa Institute of Technology unadhani yupi atapewa kipaumbele? kuna vyuo ni lulu madogo acheni kujijaza upumbavu.........

    8. Study Abroad

    9. #26
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,077
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By Jemsi
      vijana wngu,nimesha tafuta vijana wa kazi TBS,kwa njia ya interview lakini wengi ni wenye first clas lakin wanakosa nafac,sababu ni kwamba pamoja na cheti,tunakuuliza maswali mengi sana,tunaangalia uvaaji wako,vyeti vyako vya nyuma na extra experience,so unakuta ni mzuri kimasomo lakini hana ujuzi mzuri wa kazi,sasa vijana jitahidini kufaham kila kitu na msaidiane sio kusemana,usimzarau ucyemjua.
      acha kufariji watu, haya mambo ya kupata ajira kuna usanii mwingi sana nyuma yake....hapa nawaza kujiajiri tu.

    10. #27
      Sine r Winters's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 364
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By John lau
      wewe utakuwa umechaguliwa teku ndio maana halafu unajifananisha na watu wa mzumbe ,na sua au umeenda udom chuo cha kata
      We acha kumeza chuo kikubwa afrika ya kati na mashariki unaxema chuo cha kata na km ndivyo cha wilaya,mkoa ni vp hvyo.

    11. #28
      DR. RICHARD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 372
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Binafsi huwa sipendi sana kuchangia maada kama hii maana kunawatu walibatizwa kwa majina ya vyuo vyao, yaani wao jina tu kwao faahari mi ndo nadhani vijana tunakosea sana, mtu anaenda chuoni anabweteka tu hata hakazi msuli kisa kafika kwenye chuo ambacho pengine kweke ni bora, pili hivi inamaana wote waliomaliza kwenye hivyo vyuo ambavyo tunafikiri si bora wote hawana ajira kwa sababu tu vyuo vyao si bora?Vile vile je waliosoma vyou ambavyo vinasemekama kuwa bora wote wanakazi mitaani?Na je? vipi kuhusiana na feedback kutoka kwa jamii (yaani performance yao hawa watu wawili kazini ipi ipo juu?Na mishahara yao je inatofautiana kulingana na chuo?je? nini kazi ya TCU katika hili ina maana haifanyi kazi yoyoteBinafsi nikifikiria haya huo simwelewi vizuri huyu anayesema chuo fulani ni bora sana kuliko kingine na kitukingne ni kwamba mambo yanabadilika ubora wa chuo fulani wa miaka ya 90s unaweza ukakuta sio wa leo halafu nyie mkakalili tu kwamba chuo hiki bora.

    12. #29
      Triple G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 312
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      65
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By ze duduz
      najivunia kuwa mwanasua tea kozi ya kiume BVM
      mkuu kuwa makini na BVM ni muziki.Jitahidi kucheza according to the rythm.

    13. #30
      Ramsay mcholo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th August 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      M huku hapanihusu

    14. #31
      mnoel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 53
      Rep Power : 350
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ze duduz
      najivunia kuwa mwanasua tea kozi ya kiume BVM
      we doctor wa ngombe 2, hakuna cha koz ya kiume wala nini!

    15. #32
      JPM605's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 355
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Sasa dudu kila mtu akianza kutambia programme anayoenda kuisoma...,sipati picha jf itakuwa na sura gani. Kama ni kujivunia allocation ni vyema uifanyie moyoni kwako tu. Binafsi na wadau wengine tunaliona hili kama sio la kiukomavu. Nawasilisha!!

    16. #33
      mayounger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By mathematics
      vipi wewe umepangwa "magulumbasi university" kwahiyo hapa unajifariji na kutafuta wa kukuunga mkono?!
      watu wengine bana!nadhan una mgando wa mawazo....

    17. #34
      nipeukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 318
      Rep Power : 407
      Likes Received
      117
      Likes Given
      80

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      Quote By C programming
      siku ya leo nataka kuvunja mzizi wa fitina maana humu ndani yametokea mabishano na mada kuhusu
      1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao.....
      2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo

      kusema kweli chuo ni chuo....ili mradi kinatambuliwa na serikali na tcu.....kitu muhimu katika kusoma elimu ya
      chuo kikuu ni baada ya kuhitimu uweze kupata ajira ambayo itakuwezesha kuendesha maisha yako...ya badae

      so usije ukakariri....kwamba eti mimi nasoma chuo flani ni bola kuliko mwengine cha umuhimu ni kumuomba mungu
      upate michongo wa kazi,,,,,usijidanganye eti ya kwamba kisa nimesoma maarufu eti nikimaliza chuo napata kazi hapo hapo kitu kama hichi hakuna............na huu ni wosia wangu........kwani watu wengi tukiwa vyuoni tunadanganyana sana

      na mwisho nawahusia ndugu zangu.......ombeni sana mungu mpate michongo ya kazi....mtaani ni kugumu sana
      hapa aisee watu wanaweza kuongea meeeengi saaana na hasa wale ambao ni kama "wamechomwa sindano" za vyuo vyao...anyway.

      mbavu zangu zinazidi kuuma pale ninapoona wanajamvi waliochaguliwa kuingia kwenye vyuo flani wanavyotamba kuhusu majina ya vyuo walivyopangiwa...cha msingi Mwenyezi Mungu awafanikishe kuweza kupambana na drama za vyuoni, wasome kwa bidii na kukabiliana vyema na roho za supplementary na pepo la discontinuation likae mbali...AMEN!

      Kuchaguliwa kwenye chuo ni moja, kudumu chuoni na kugraduate ni suala lingine, kufanikisha lyf after graduation ni suala lingine kabisaaaa. suala ni kwamba, hata usome "under the mango tree polytechnic college" kama kinatambulikia na taasisi zinazosimamia elimu nchini na at the end of the day maarifa uliyopata hapo yanakupa uwezo kupambana na challenge za kimaisha ikiwemo za kifedha...then good to go!
      to be a professional liar one needs a great deal of memory,since u don't have that just take the easy way out......TELL THE TRUTH

    18. #35
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,243
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      941
      Likes Given
      182

      Default

      Daaa hapo harvard kuna mshikaji wangu wa kitaa hapa mikocheni anasoma hapo
      Quote By manoah
      Harvard university, Yale university then University of Dar es salaam, Dodoma University na Dar Es Salaa Institute of Technology unadhani yupi atapewa kipaumbele? kuna vyuo ni lulu madogo acheni kujijaza upumbavu.........

    19. #36
      Senyora Benito's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th August 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 343
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mnoel
      we doctor wa ngombe 2, hakuna cha koz ya kiume wala nini!
      naona hadi ajira ushapata sio?

    20. #37
      Senyora Benito's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th August 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 343
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      wake up pipo cku hzi kupata kazi ni kwa kujuana.in short u shud have godfathers.xaxa we jitape unaxoma chuo kzur cjui kozi nzur alafu uone utakavyo hangaika na degree yako mitaani

    21. #38
      ze duduz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 590
      Rep Power : 472
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By JPM605
      Sasa dudu kila mtu akianza kutambia programme anayoenda kuisoma...,sipati picha jf itakuwa na sura gani. Kama ni kujivunia allocation ni vyema uifanyie moyoni kwako tu. Binafsi na wadau wengine tunaliona hili kama sio la kiukomavu. Nawasilisha!!
      wakubwa kama nimewakosea naombeni samahani it's was just a typing error sio kama nimedharau kozi nyingne samahanini sana wakubwa !!

    22. #39
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,618
      Rep Power : 919
      Likes Received
      574
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By ze duduz
      wakubwa kama nimewakosea naombeni samahani it's was just a typing error sio kama nimedharau kozi nyingne samahanini sana wakubwa !!
      dogo acha uongo, typing error!! Sema thinking error.

    23. #40
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,957
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: KUSEMA KWELI CHUO NI CHUO....CHA UMUHIMU NI KUPATA AJIRA....soma wosia huu

      imekutach nini, wew kipumpu?

      Quote By mayounger
      watu wengine bana!nadhan una mgando wa mawazo....

    24. Miaka 50
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...