inasemekana ukimya wa heslb ni kutokana na kucheleweshwa kwa pesa toka wizarani ingawa bajeti ilishapitishwa lakini kuna kigugumizi wizarani,
inasemekana ukimya wa heslb ni kutokana na kucheleweshwa kwa pesa toka wizarani ingawa bajeti ilishapitishwa lakini kuna kigugumizi wizarani,
siasa...ufisadi...kufisadi ela za loni...kuvua magamba....THE ROTTEN SYSTEM...let see what will happen there after!!!
kwani shida ni nini hasa?
Life is never easy; it is always simple - Mantesh
@ 'amanayor'
Hizo zako ni za 'chini ya kapeti' Kinachofahamika ni kwamba:
HESLB imetoa muda mpaka 29/8 waliokuwa na mapungufu au dosari kwenye form zao za maombi ya mkopo warekebishe.So tunawasikilizia baada ya hapo.
Follow Us Here