Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 35 of 35
    1. #1
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      habari wana jf. . . .kuna mtu ameniomba ushauri katika jambo hili,sasa nashndwa kumshauri kwa sababu sijawah kumuona mtu akifanya. . .ni kwamba huyu mtu anataka kusoma degree na diploma kwa wakati mmoja,na mambo yenyewe ni tofauti ambapo degree ni ya information system(udom) na diploma ni ya geology and mineral exploration(chuo cha madini) tena ktk institution tofauti mkoani dodoma. . . . .
      Naomba maoni yako tafadhali,asante.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      udom kuna evening class kwa watu wa bachelor? Sio wa masters na diploma tu?. . . . .msaada tafadhali kwa anayejua.

    4. #22
      steveslove's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 361
      Likes Received
      18
      Likes Given
      11

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      Quote By tan 90
      udom ina evening classes? Then utafanyaje ili uweze kusoma evening classes ikiwa si mfanyakazi?
      kwani ni lazima uwe mfanyakazi ndio usime evening? mbona TIA wanasoma na hawafanyi kazi? hapo inatakiwa coz moja iwe full tym, nyinge evening na kama anajiamini hamna oprtion ya evening, agawe kwenda degree 3 times, dip 2 times na kama anakichwa kizuri he/she cana make it

    5. #23
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,957
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      hahahahaha

      mkuu ndio huwa inakuwa hivyo, ulishawahi kufanya staili hiyo? yaan kuvuta bange huku unakta gogo?

      hahahah

      Quote By Bujibuji
      hiyo ndio raha ya kuvuta bange huku ukiwa unakata gogo

    6. #24
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,957
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      inawezekana kabisaa, hapo ni yeye mwenyewe kuweza kugawa muda wake, na kichwa chake kama kina sumaku nzuri hakuna tabu kabisa!

    7. #25
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mathematics
      inawezekana kabisaa, hapo ni yeye mwenyewe kuweza kugawa muda wake, na kichwa chake kama kina sumaku nzuri hakuna tabu kabisa!
      je mtu anaombaje evening class?

    8. Miaka 50

    9. #26
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By steveslove
      kwani ni lazima uwe mfanyakazi ndio usime evening? mbona TIA wanasoma na hawafanyi kazi? hapo inatakiwa coz moja iwe full tym, nyinge evening na kama anajiamini hamna oprtion ya evening, agawe kwenda degree 3 times, dip 2 times na kama anakichwa kizuri he/she cana make it
      kila chuo lazima kiwe na evening classes?. . . .kwa kozi kama information system udom,ina evening class?

    10. #27
      steveslove's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 361
      Likes Received
      18
      Likes Given
      11

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      Quote By tan 90
      kila chuo lazima kiwe na evening classes?. . . .kwa kozi kama information system udom,ina evening class?
      kwakweli cjajua ila si lazima kiwe na evening classes, my point wasi kama anajiamini anaweza soma coz zote kwa pamoja inspite of muda

    11. #28
      Nospah's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 371
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      Huyo ni noma! Watu wanasoma degree moja inawashinda huyo anataka na dip! Amenfurahisha sana!

    12. #29
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 810
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      kuna jamaa alisoma degree 2 kwa wakati mmoja na matokeo yake yupo mtaani huu sasa ni mwaka wa 4 anasugua bench c'se yupo shallow pande zote kila interview anashindwa
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    13. #30
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Narubongo
      kuna jamaa alisoma degree 2 kwa wakati mmoja na matokeo yake yupo mtaani huu sasa ni mwaka wa 4 anasugua bench c'se yupo shallow pande zote kila interview anashindwa
      ol i need to knw ni kwamba ataweza,au afanyekitu gani ili aweze? Hayo mambo mengne yatafuata baadae mkuu.

    14. #31
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      Quote By tan 90
      habari wana jf. . . .kuna mtu ameniomba ushauri katika jambo hili,sasa nashndwa kumshauri kwa sababu sijawah kumuona mtu akifanya. . .ni kwamba huyu mtu anataka kusoma degree na diploma kwa wakati mmoja,na mambo yenyewe ni tofauti ambapo degree ni ya information system(udom) na diploma ni ya geology and mineral exploration(chuo cha madini) tena ktk institution tofauti mkoani dodoma. . . . .
      Naomba maoni yako tafadhali,asante.
      Mshauri asome DIPLOMA IN GEOLOGY AND MINERAL EXPLORATION, na aachane na degree ya Information System.
      Ebenezer

    15. #32
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mgombezi
      Mshauri asome DIPLOMA IN GEOLOGY AND MINERAL EXPLORATION, na aachane na degree ya Information System.
      why mkuu,mi siyaelewi fresh haya mambo so its better ukanisaidia japo kutoa maelezo kidogo ili nipate uwanja mpana wa kumuelezea,thats why nimeleta humu ili nimpe mawazo mazuri.

    16. #33
      special agent's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 373
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      2b1ask1

    17. #34
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 376
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By special agent
      2b1ask1
      unamaana gani?

    18. #35
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 452
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default Re: kuna mtu anaweza kufanya hivi?

      mi naona achague moja anayopenda kufanya kama 1st priority then nyingine kama itawezekana afanye after 1st lakin swala la kupiga two in one itakua kama alivosema Bujibuji

    19. Study Abroad
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...