Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Mtaalam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 1,298
      Rep Power : 859
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      Habari za Weekend waTanzania wenzangu,

      Natumaini mwaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa Taifa letu.

      Nimekua nikifuatilia jinsi wadogo zetu wanavyotaabika na masuala ya kutafuta na kupata vyuo nyumbani Tanzania, wengine hufanikiwa na wengine hushindwa na kuishia kulazimika kupoteza mwaka mzima wa masomo ama kulazimika kufanya course ambazo hawakutwahi fikiria kuja zifanya kwenye maisha yao.

      Kwa wale wote wenye kuhitaji kufuatilia namna za kupata vyuo nchi za nje hasa Uingereza, Marekani, Finland, India, France na Uholanzi wanaweza wasiliana nami kwa barua pepe [email protected] tayari kwa kupata msaada wa hapa na pale na pia kusaidiwa kupata admission kwa ajili yao ama ndugu zao wataabikao kwa course mbalimbali ziwe za masomo ya biashara, udaktari, masomo ya kompyuta, ama u engineer.

      Naomba hii iwe kwa wale walio serious tu...

      Wenu katika ujenzi wa Taifa.
      Mtaalam
      Kila nafsi itaonja mauti and then tutajibu juu ya matendo yetu siku ile ikifika!!!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      jamii01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : STREET
      Posts : 913
      Rep Power : 620
      Likes Received
      279
      Likes Given
      172

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      MJINI SHULE...Mbona nimekutumie e mail yangu haujanijibu?anyway weekend njema

    4. #3
      axel fowly's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 107
      Rep Power : 362
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      Quote By Mtaalam
      Habari za Weekend waTanzania wenzangu,

      Natumaini mwaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa Taifa letu.

      Nimekua nikifuatilia jinsi wadogo zetu wanavyotaabika na masuala ya kutafuta na kupata vyuo nyumbani Tanzania, wengine hufanikiwa na wengine hushindwa na kuishia kulazimika kupoteza mwaka mzima wa masomo ama kulazimika kufanya course ambazo hawakutwahi fikiria kuja zifanya kwenye maisha yao.

      Kwa wale wote wenye kuhitaji kufuatilia namna za kupata vyuo nchi za nje hasa Uingereza, Marekani, Finland, India, France na Uholanzi wanaweza wasiliana nami kwa barua pepe [email protected] tayari kwa kupata msaada wa hapa na pale na pia kusaidiwa kupata admission kwa ajili yao ama ndugu zao wataabikao kwa course mbalimbali ziwe za masomo ya biashara, udaktari, masomo ya kompyuta, ama u engineer.

      Naomba hii iwe kwa wale walio serious tu...

      Wenu katika ujenzi wa Taifa.
      Mtaalam
      funguka humu humu mkuu kwa msaada wa wengi...

    5. #4
      Mtaalam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 1,298
      Rep Power : 859
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      check your inbox jamii01!
      ni kweli mjini shule ni muhimu, nguvu mwake mashambani...!
      hivyo tuitafute shule kwa bidii zote na nguvu zote
      Kila nafsi itaonja mauti and then tutajibu juu ya matendo yetu siku ile ikifika!!!

    6. #5
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 595
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      hao waliosoma nje ya nchi wamelifanyia nini taifa? Zaidi ya madudu kama ya product za chuo kikongwe tz? Kumbuka hata nape,chenge,masha pia walisoma nje

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mtaalam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 1,298
      Rep Power : 859
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      Quote By kingxvi
      hao waliosoma nje ya nchi wamelifanyia nini taifa? Zaidi ya madudu kama ya product za chuo kikongwe tz? Kumbuka hata nape,chenge,masha pia walisoma nje
      mkuu kingxvi, heshima kwako!

      sio kila jambo katika ulimwengu wetu lahitaji kuhusishwa na siasa na pia siko kisiasa na ndio maana nikaleta habari hii kwenye jukwaa la elimu.

      asante kwa mchango wako lakini ni vyema tukajitahidi kuwa positive thinkers zaidi kuliko kuzoea negativity kwenye kila kitu.
      Kila nafsi itaonja mauti and then tutajibu juu ya matendo yetu siku ile ikifika!!!

    9. #7
      Mtaalam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 1,298
      Rep Power : 859
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      axel fowly... Nitafungaje kiujumla wakati needs za kila mtu zi tofauti tofauti?

    10. #8
      Dickson Alex's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 358
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      tatizo ni kwenye kuwa sponsored na process nzima za accomodation pindi 2takapokuwa huko nje...wengine wazazi wetu hawana uwezo wa kutosha kifedha.

    11. #9
      Chiya Chibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Penye Oxygen
      Posts : 441
      Rep Power : 486
      Likes Received
      102
      Likes Given
      12

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      kumbe bado upo hapa, nimekutumia email (Udaktar)

    12. #10
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,322
      Rep Power : 615
      Likes Received
      117
      Likes Given
      140

      Default Re: Kwa wanaohitaji Vyuo nje ya nchi

      Quote By kingxvi
      hao waliosoma nje ya nchi wamelifanyia nini taifa? Zaidi ya madudu kama ya product za chuo kikongwe tz? Kumbuka hata nape,chenge,masha pia walisoma nje
      hata wewe ulisema umesoma nje!!! NA WEWE UMELIFANYIA NINI TAIFA??

    13. #11
      Mtaalam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 1,298
      Rep Power : 859
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...