Jamani,za asubuhi wana jf.samahani minimwanafunzi wa kidato cha sita,nlikuwa nauliza,kwa wale wanaojua qualification anazotakiwa kuwanazo mtu anaetaka kusoma chuo kozi ya Bsc in accounts &finance,wengine wanasema uwe na div 1.6 mzumbe,au ardhi unversty,naomba kujulishwa

Reply With Quote

Follow Us Here