Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

    Report Post
    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112
    Results 221 to 230 of 230
    1. #1
      Musa17's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 78
      Rep Power : 360
      Likes Received
      5
      Likes Given
      5

      Default Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika wao kwa theory ni noma. Hili pia limethibitishwa na mwanafunzi wa UDSM aliyewahi kukutana field na wanafunzi wa D.I.T na alikiri kuona utofauti mkubwa. Unakubaliana na hili?
      Last edited by Musa17; 23rd August 2012 at 05:46.

    2. RukaaJuu Final

    3. GP
      #221
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 919
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      ila MAFUNDI MCHUNDO wengi lugha ya kiingereza mnapata shida sana, humjui!. kuna mdada mmoja namfahamu ni injinia kwa sasa, akikuandikia report kwa kiingereza utaomba Yesu Kristo, Maria na Yosefu washuke leo!.

    4. #222
      MR.P's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 27th August 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      6

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Hii mada siyo ya msingi kama aliyeileta ana mtazamo wa kiushindani zaidi, ila kama lengo ni kuelimishana hapo naweza toa mtazamo wangu..tatizo ni watu kushindwa kutofautisha malengo ya mafunzo husika/kozi,kwani huwezi kucompare mtu wa UDSM or DIT.Mfumo wa elimu ktk chuo cha UDSM unamuandaa Engineer ambaye ni good designer,researcher and problems solver wakati engineer wa DIT ameandaliwa kuwa implimenter of designs.watu wote hawa ni muhimu and huwezi anza kutafuta nan zaidi ya mwenzake kwani kila mtu ni mzuri ktk nyanja aliyoandaliwa.

      Kwa baadhi ya nchi za wenzetu unakuta chuo kimoja kinatoa the same course but kwa malengo tofauti..kwa mfano katika nchi ya Algeria(university of science and technology H.Boumediene) kozi ya civil engineering inatolewa kwa system mbili tofauti,Licence en génie civil academique( bachelor of sc. academic in civil eng)hii inamuaanda engineer amabaye ni designer,researcher and problems solver na Licence en génie civil appliqué(bachelor of applied civil eng.) hii inamuandaa engineer ambaye ni gd implementer yaani mtendaji..sasa ukisema uanze linganisha nani zaidi ktk hizo kozi mbili nitakuona wa ajabu sana....au kwa kesi kama hii how will u compare these two courses tena within the same university???
      All in all uzuri wa mtu ktk field yake ni juhudi zake mwenyewe usipofanya juhudi binafsi ktk kujiendeleza na kutegemea jina la chuo utakuwa unapotea.hata hivyo ktk ajira hawaangalii jina la chuo bali personal potential.
      Bukyanagandi likes this.

    5. #223
      mayounger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By mr.p
      hii mada siyo ya msingi kama aliyeileta ana mtazamo wa kiushindani zaidi, ila kama lengo ni kuelimishana hapo naweza toa mtazamo wangu..tatizo ni watu kushindwa kutofautisha malengo ya mafunzo husika/kozi,kwani huwezi kucompare mtu wa udsm or dit.mfumo wa elimu ktk chuo cha udsm unamuandaa engineer ambaye ni good designer,researcher and problems solver wakati engineer wa dit ameandaliwa kuwa implimenter of designs.watu wote hawa ni muhimu and huwezi anza kutafuta nan zaidi ya mwenzake kwani kila mtu ni mzuri ktk nyanja aliyoandaliwa.

      Kwa baadhi ya nchi za wenzetu unakuta chuo kimoja kinatoa the same course but kwa malengo tofauti..kwa mfano katika nchi ya algeria(university of science and technology h.boumediene) kozi ya civil engineering inatolewa kwa system mbili tofauti,licence en génie civil academique( bachelor of sc. Academic in civil eng)hii inamuaanda engineer amabaye ni designer,researcher and problems solver na licence en génie civil appliqué(bachelor of applied civil eng.) hii inamuandaa engineer ambaye ni gd implementer yaani mtendaji..sasa ukisema uanze linganisha nani zaidi ktk hizo kozi mbili nitakuona wa ajabu sana....au kwa kesi kama hii how will u compare these two courses tena within the same university???
      All in all uzuri wa mtu ktk field yake ni juhudi zake mwenyewe usipofanya juhudi binafsi ktk kujiendeleza na kutegemea jina la chuo utakuwa unapotea.hata hivyo ktk ajira hawaangalii jina la chuo bali personal potential.
      bhaaassss......

    6. #224
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      716
      Likes Given
      1475

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Quote By Musa17
      Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika wao kwa theory ni noma. Hili pia limethibitishwa na mwanafunzi wa UDSM aliyewahi kukutana field na wanafunzi wa D.I.T na alikiri kuona utofauti mkubwa. Unakubaliana na hili?
      Mkuu kumbuka mtu mwenye background ya theory zaidi ana uwezo mkubwa ku-grasp mambo ya practical haraka sana, kwa hiyo in a long run tofauti zao ni negligible.
      MR.P likes this.

    7. #225
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      716
      Likes Given
      1475

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Quote By GP
      ila MAFUNDI MCHUNDO wengi lugha ya kiingereza mnapata shida sana, humjui!. kuna mdada mmoja namfahamu ni injinia kwa sasa, akikuandikia report kwa kiingereza utaomba Yesu Kristo, Maria na Yosefu washuke leo!.
      Sijuhi una maana gani unaposema fundi mchundo! Tangu lini fundi mchundo kaitwa injinia, kuandika kingereza kiufasaha hakina umuhimu wowote katka mabo ya ufundi na tekinolojia - labda nikuhukize swali: Ni Wachina, Warusi, Wajapan, Wajerumani wangapi wanajuwa kuzungumza/kuandika kingereza - je nchi zao zimekwazika kwa sababu ya kutomudu lugha ya KINGEREZA, wako wapi kitekinolojia na kiufundi kama kweli kingereza kina umuhimu wowote!

    8. Miaka 50

    9. GP
      #226
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 919
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Quote By Bukyanagandi
      Sijuhi una maana gani unaposema fundi mchundo! Tangu lini fundi mchundo kaitwa injinia
      mafundi mchundo wengi wa bongo hupenda sana, teno mno, kujiita mainjia, mfano mmoja mzuri ni Stella Manyanya, yule ni fundi mchundo ila anajiita injinia, hata ERB hamjulikani lakini mwajiita mainjinia.
      Quote By Bukyanagandi
      kuandika kingereza kiufasaha hakina umuhimu wowote katka mabo ya ufundi na tekinolojia
      Quote By Bukyanagandi
      labda nikuhukize swali: Ni Wachina, Warusi, Wajapan, Wajerumani wangapi wanajuwa kuzungumza/kuandika kingereza - je nchi zao zimekwazika kwa sababu ya kutomudu lugha ya KINGEREZA, wako wapi kitekinolojia na kiufundi kama kweli kingereza kina umuhimu wowote!
      mkuu usilinganishe TANZANIA na hizo nchi ulizozitaja, ni sawa na KICHUGUU na MLIMA!!!!, sisi kiswahili chenyewe cha kuungaunga kutoka mara kwa waarabu mara kwa wabantu mara sijui wapi. wao teknolojia na ufundi wanatumia lugha zao, hata ukienda kusoma huko lazma ujifunze lugha zao, sisi hiyo imetushinda, COMPUTER tunaita KOMPYUTA, SHIRT tunasema SHATI, itakua ngumu sana kuendelea kiteknolojia kwa kutohoa lugha za watu.
      Quote By Bukyanagandi
      ,,,,, kama kweli kingereza kina umuhimu wowote!
      kiongozi, kwakua tunatumia lugha za watu (kingereza), inamaana kina umuhimu sana!. ndio maana wenzetu wakenya na waganda wanakuja bongo kukamata kazi kubwa na nzuri zenye mishahara minono kwa kuongea kingereza murua tu, sisi wabongo na broken zetu tunaishia kuwa wafagiaji na watu wachini zaidi. STUKA mpwa!.
      M4C

    10. #227
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      716
      Likes Given
      1475

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Quote By GP
      mafundi mchundo wengi wa bongo hupenda sana, teno mno, kujiita mainjia, mfano mmoja mzuri ni Stella Manyanya, yule ni fundi mchundo ila anajiita injinia, hata ERB hamjulikani lakini mwajiita mainjinia. mkuu usilinganishe TANZANIA na hizo nchi ulizozitaja, ni sawa na KICHUGUU na MLIMA!!!!, sisi kiswahili chenyewe cha kuungaunga kutoka mara kwa waarabu mara kwa wabantu mara sijui wapi. wao teknolojia na ufundi wanatumia lugha zao, hata ukienda kusoma huko lazma ujifunze lugha zao, sisi hiyo imetushinda, COMPUTER tunaita KOMPYUTA, SHIRT tunasema SHATI, itakua ngumu sana kuendelea kiteknolojia kwa kutohoa lugha za watu. kiongozi, kwakua tunatumia lugha za watu (kingereza), inamaana kina umuhimu sana!. ndio maana wenzetu wakenya na waganda wanakuja bongo kukamata kazi kubwa na nzuri zenye mishahara minono kwa kuongea kingereza murua tu, sisi wabongo na broken zetu tunaishia kuwa wafagiaji na watu wachini zaidi. STUKA mpwa!.
      Mkuu nakuomba u-revisit nilicho andika, wewe una uhakika gani kwamba Stella Manyaya ajakuwa registerd kama Professional Engineer - wewe kama an individual una mamlaka gani ya kupingana na ERB, Board hii ina vigezo vyake vya kupandisha Technician mwenye Advanced Diploma kuwa full fredged Engineer; ili alifanyiki Tanzania tu hata Ulaya linafanyika baada ya muhusika kufanya mitihani inayo husika na fani yake, sasa tatizo linatoka wapi?

      Kuna tatizo fulani ambalo baadhi ya watanzania tunalo sana, yaani kuna watu wanafikili wakiwa wamesoma Chuo Kikuu fulani yeye zaidi wengine walio somea kwingine si lolote si chochote - nimewahi kuona malumbano humu baadhi ya madaktari wakisema madaktari waliosoma Ulaya ya Mashariki na Uchina hawana lolote, chuo cha maana ni Chuo Kikuu cha DSM, na hili kwa bahati mbaya aliko-confined kwa madaktari tu, hata kwa mainjinia wanapata msuko suko sana - kisa kasoma Ulaya Mashariki - kasumba ya kijinga tu; nchi kama ya kwetu ambayo inashindwa kuhunda hata sindano leo hii wanadhalau Nchi za Ulaya ya Mashariki na Uchina?

      Hivi ujuhi Kingereza kama kiswahili kilivyo nacho kimeazima maneno mengi kutoka lugha za: Kifaransa, Kilatini, Kigriki na Kijerumani! Narudi kusisitiza kwamba kuzungumza kingereza kwa ufasaha hakuna maana yoyote katika fani ya ufundi/Enginering, Wakenya unao wasifia humu tumesoma nao lakini sikuona kama ufasaha wao wa kuzungumza Kingereza kulikuwa kuna wasaidia sana katika masomo ya Engineering (sitaki kusema mengi hapa). Kama kuna Wakenya au Waganda wameajiliwa Tanzania itakuwa ni kwenye fani nyingine sio za kiufundi/Engineering.
      Last edited by Bukyanagandi; 3rd September 2012 at 17:05.

    11. #228
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 923
      Likes Received
      716
      Likes Given
      1475

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Quote By GP
      ila MAFUNDI MCHUNDO wengi lugha ya kiingereza mnapata shida sana, humjui!. kuna mdada mmoja namfahamu ni injinia kwa sasa, akikuandikia report kwa kiingereza utaomba Yesu Kristo, Maria na Yosefu washuke leo!.
      Wewe umewahi kusoma report zilizo andikwa na baadhi ya wahitimu wa Chuo Kikuu cha DSM na kwingineko nchini TANZANIA!!!!!!!!!! Sio kwamba hawajuhi wanacho andika tatizo ni kujieleza, na tatizo hilo aliko more pronounced kwa group hilo tu vile vile Watanzania tulio wengi linatukumba, sasa mimi nashindwa kuelewa kwanini huko obsessed na mafundi MCHUNDO.

    12. #229
      mayounger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Bukyanagandi
      Sijuhi una maana gani unaposema fundi mchundo! Tangu lini fundi mchundo kaitwa injinia, kuandika kingereza kiufasaha hakina umuhimu wowote katka mabo ya ufundi na tekinolojia - labda nikuhukize swali: Ni Wachina, Warusi, Wajapan, Wajerumani wangapi wanajuwa kuzungumza/kuandika kingereza - je nchi zao zimekwazika kwa sababu ya kutomudu lugha ya KINGEREZA, wako wapi kitekinolojia na kiufundi kama kweli kingereza kina umuhimu wowote!
      A truly great thinker.......

    13. #230
      Drama.abk's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 353
      Likes Received
      1
      Likes Given
      21

      Default Re: Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

      Sasa Wadau kwa mmi wa 1st year ninayeenda kupiga Bsc in Electronic science & Communication, nitegemee kupata nini from hapo UDSM? Au ndo ualimu approching after next 4 years?

    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...