Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      mkonya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

      wana JF mwenye information zozote kuhusu selection za hvyo vyuo naomba tujulishane

    2. Miaka 50

    3. #2
      king rockie ATL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 262
      Rep Power : 463
      Likes Received
      22
      Likes Given
      42

      Default Re: selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

      DUCE angalia kwenye link ya selection za UD zipo!

    4. #3
      mkonya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By king rockie ATL
      DUCE angalia kwenye link ya selection za UD zipo!
      poa king nimekuxoma

    5. #4
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default Re: selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

      Quote By mkonya
      wana JF mwenye information zozote kuhusu selection za hvyo vyuo naomba tujulishane
      Nyie watoto msisumbue hapa. Just be patient, TCU hawajatoa matokeo ya applications mlizozifanya. kama una pass nzuri why worry! Acha tabu ukumbini!

    6. #5
      mkonya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By CHUAKACHARA
      Nyie watoto msisumbue hapa. Just be patient, TCU hawajatoa matokeo ya applications mlizozifanya. kama una pass nzuri why worry! Acha tabu ukumbini!
      sa kilichokusumbua hapo nini kaka mi nimeulza tu na tcu yenyewe haiaminiki wa2 wanataka kujpanga mapema co unapewa matokeo leo then unaambiwa kesho nenda chuo kama umeona post yangu inakuzngua ungeipotezea tu.

    7. Study Abroad

    8. #6
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default Re: selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

      Quote By mkonya
      sa kilichokusumbua hapo nini kaka mi nimeulza tu na tcu yenyewe haiaminiki wa2 wanataka kujpanga mapema co unapewa matokeo leo then unaambiwa kesho nenda chuo kama umeona post yangu inakuzngua ungeipotezea tu.
      Mwanangu vipi umepata chuo. Si nilikwambi kuwa utulie mamlaka zinazohusika zitatoa rasmi. Sasa wametoa. Umepata?

    9. #7
      mkonya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By CHUAKACHARA
      Mwanangu vipi umepata chuo. Si nilikwambi kuwa utulie mamlaka zinazohusika zitatoa rasmi. Sasa wametoa. Umepata?
      mi nilipata udom ktambo ila nilikua namchekia sista'angu

    10. #8
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default Re: selection za mkwawa,makumira,duce na josiah kibira tusaidiane

      Quote By mkonya
      mi nilipata udom ktambo ila nilikua namchekia sista'angu
      Hongera, kozi gani. mimi nilikuwa namwangalizia mwanangu. Mimi nimemaliza form six 1975

    11. #9
      mkonya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 368
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By CHUAKACHARA
      Hongera, kozi gani. mimi nilikuwa namwangalizia mwanangu. Mimi nimemaliza form six 1975
      thnx nimepata petroleum engneering

    12. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...