Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      MUIKOMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 388
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Wana bodi hamjambo?
      Kwa wataalam waliopitia level hii ya FTC ninomba kujua kama mdogo wangu anaweza kupata chuo cha kuendelea na elimu juu kwani ana B moja ya mathematic, C tatu, D moja na F moja ya FTC in highway engineering kutoka D.I.T mwaka 2002. Alishindwa kusuppliment kutokana na kupitiliza muda wa miaka 3 ambayo ilikuwa maximum duration ya kusup. Naombeni ushauri wenu, nifanyaje ili aendelee na elimu zaidi. Mods nisameheni kwani najua wengi wanapita jukwaa la siasa. Mbarikiwe sana

    2. Miaka 50

    3. #2
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,436
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14534
      Likes Given
      22033

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Ukishakuwa na F hata moja tu, tayari unakuwa huna FTC. Hapo kusonga mbele inakuwa kagota kwakuwa hata cheti chenyewe anakuwa hajapewa.

    4. #3
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,970
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Asprin
      Ukishakuwa na F hata moja tu, tayari unakuwa huna FTC. Hapo kusonga mbele inakuwa kagota kwakuwa hata cheti chenyewe anakuwa hajapewa.
      Ni kweli bado hajawa Fundi mchundo aliyekamilika.

    5. #4
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      925

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Kweli hii elimu hawakuwa wanatutendea haki lakini aombe private universities anaweza pata maana kunajamaa zangu walipata. Ila kwa kifupi huyo sio fundi mchundo na pole sana maana alikuwa anakigezo kimoja cha mathematics kupata B tatizo ni hiyo F

    6. #5
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      925

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      cheti amepataje? ila kwa DIT naona sijui inakuwaje wanapta vyeti maana kunajamaa yangu nilimuona anacheti lakini ana F ya somo moja. kwa vyuo kama MTC (MIST) na Arusha tech. kama hujaclear hupati cheti

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MUIKOMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 388
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwanaweja
      cheti amepataje? ila kwa DIT naona sijui inakuwaje wanapta vyeti maana kunajamaa yangu nilimuona anacheti lakini ana F ya somo moja. kwa vyuo kama MTC (MIST) na Arusha tech. kama hujaclear hupati cheti
      Mkuu cheti hana, ni result slip toka baraza
      la mitihani

    9. #7
      Mnyalu-DSM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 87
      Rep Power : 403
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Kama kaamua kurudi kwenye kusaka elimu, basi afanye private candidate Form VI.Najua mpaka kwenda DIT ni kwamba alifanya vizuri paper ya F IV.Mimi ndivyo nilivyofanya na nikajoin UDSM.Asikate tamaa,bado future ipo.

    10. #8
      the locksman's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 360
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      kweli kabisa FTC ukiwa na F moja tu unaacha mchundo.ila mwambie ajiandae aende ST.JOSEPH watu kama hao wanawapokea,unasoma semester moja wanaita BRIDGE COURSE akifaulu anajoin chuo kama kawa.asikate tamaa,anaweza kwenda hata leo wakampokea ingawa kachelewa kidogo

    11. #9
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,436
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14534
      Likes Given
      22033

      Default

      Quote By Mnyalu-DSM
      Kama kaamua kurudi kwenye kusaka elimu, basi afanye private candidate Form VI.Najua mpaka kwenda DIT ni kwamba alifanya vizuri paper ya F IV.Mimi ndivyo nilivyofanya na nikajoin UDSM.Asikate tamaa,bado future ipo.
      Ushauri kuntu huu. Aufanyie kazi. Hamna shortcut nyingine.

    12. #10
      Cheche Mtungi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th November 2010
      Location : POPOTE NIPO
      Posts : 737
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Quote By MUIKOMA
      Wana bodi hamjambo?
      Kwa wataalam waliopitia level hii ya FTC ninomba kujua kama mdogo wangu anaweza kupata chuo cha kuendelea na elimu juu kwani ana B moja ya mathematic, C tatu, D moja na F moja ya FTC in highway engineering kutoka D.I.T mwaka 2002. Alishindwa kusuppliment kutokana na kupitiliza muda wa miaka 3 ambayo ilikuwa maximum duration ya kusup. Naombeni ushauri wenu, nifanyaje ili aendelee na elimu zaidi. Mods nisameheni kwani najua wengi wanapita jukwaa la siasa. Mbarikiwe sana
      Jaribu UDSM kozi kama Bussiness Administration wanakuchukua!!

    13. #11
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 709
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: Kwa waliopitia level ya FTC naombeni msaada wenu kielimu

      Ftc hivi bado ipo?
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...