Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mkanganyiko TCU

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 556
      Likes Received
      73
      Likes Given
      244

      Default Mkanganyiko TCU

      Ukilog in kwenye website yao Kunatangazo lifuatalo: Dear Applicants,

      The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".If this button is active then make sure you click and start application process for the second round.But if the button is NOT active then you are not required to make any application for the second round.

      Cha kushangaza ni kuwa upande user area ni kweli hiyo button ya second round application haiko active lakini ukienda upande wa my profile hiyo button iko active na inakupa options za kuendelea kujaza kozi mpya. huu mkanganyiko wa nini nyie TCU na majina hamtaki kutoa ya waliochaguliwa?

    2. Miaka 50

    3. #2
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,323
      Rep Power : 615
      Likes Received
      117
      Likes Given
      141

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By KIDUNDULIMA
      Ukilog in kwenye website yao Kunatangazo lifuatalo: Dear Applicants,

      The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".If this button is active then make sure you click and start application process for the second round.But if the button is NOT active then you are not required to make any application for the second round.

      Cha kushangaza ni kuwa upande user area ni kweli hiyo button ya second round application haiko active lakini ukienda upande wa my profile hiyo button iko active na inakupa options za kuendelea kujaza kozi mpya. huu mkanganyiko wa nini nyie TCU na majina hamtaki kutoa ya waliochaguliwa?
      mkuu acha presha!! hata mimi jana ilintoke hivyo..sasa fanya hivi,,,eka code ya program yoyote afu uchek itasema nini?? kama itakuba au itakataa!!! jaribu afu tuendelee...

    4. #3
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 556
      Likes Received
      73
      Likes Given
      244

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By LORDVILLE
      mkuu acha presha!! hata mimi jana ilintoke hivyo..sasa fanya hivi,,,eka code ya program yoyote afu uchek itasema nini?? kama itakuba au itakataa!!! jaribu afu tuendelee...
      Mbona inakubali hasa hasa kwa kozi ambazo zimetangazwa kuwa zina slots zilizowazi.

    5. #4
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 453
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By KIDUNDULIMA
      Mbona inakubali hasa hasa kwa kozi ambazo zimetangazwa kuwa zina slots zilizowazi.
      bac aply kwa second round

    6. #5
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 556
      Likes Received
      73
      Likes Given
      244

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By QUALIFIED
      bac aply kwa second round
      ni appliy wakati nimepata UD tatizo lipo kwa wale ambao hawajui hata chuo walicho chaguliwa

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      elank54's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Posts : 427
      Rep Power : 477
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By KIDUNDULIMA
      ni appliy wakati nimepata UD tatizo lipo kwa wale ambao hawajui hata chuo walicho chaguliwa
      Hehe, kama umeshapata ud ...thread ako ilkua haina ulazima wa kuepo

    9. #7
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 556
      Likes Received
      73
      Likes Given
      244

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By elank54
      Hehe, kama umeshapata ud ...thread ako ilkua haina ulazima wa kuepo
      kuna ulazima hasa kwa wale ambao hawajui mstakabali wao mpaka sasa. Baadhi ya vyuo wameshatoa majina na TCU wametoa majina ya waliokosa na wale ambao wanamiss information lakini hawajatoja majina ya waliopata. hivyo unaweza kubaki na matumaini ya kupata wakati hujapata hata chuo kimoja

    10. #8
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,323
      Rep Power : 615
      Likes Received
      117
      Likes Given
      141

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By kidundulima
      ni appliy wakati nimepata ud tatizo lipo kwa wale ambao hawajui hata chuo walicho chaguliwa
      kwan una uhakika gan umepata ud? Ud au tcu washatangaza matokeo kwan?? Fanya hivi..kama jina liko kwenye list ya wanaotakiwa kuapply 2nd section just do it no way out!!! Ila kama halipo tulia..

    11. #9
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,323
      Rep Power : 615
      Likes Received
      117
      Likes Given
      141

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By KIDUNDULIMA
      kuna ulazima hasa kwa wale ambao hawajui mstakabali wao mpaka sasa. Baadhi ya vyuo wameshatoa majina na TCU wametoa majina ya waliokosa na wale ambao wanamiss information lakini hawajatoja majina ya waliopata. hivyo unaweza kubaki na matumaini ya kupata wakati hujapata hata chuo kimoja
      kumbuka hata wewe hujajua mustakabal wako mpaka sasa kwan ud au tcu hawajatangaza matokeo...anything can happen...

    12. #10
      QUALIFIED's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 515
      Rep Power : 453
      Likes Received
      28
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By LORDVILLE
      kumbuka hata wewe hujajua mustakabal wako mpaka sasa kwan ud au tcu hawajatangaza matokeo...anything can happen...
      sure mkuu

    13. #11
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,344
      Rep Power : 692
      Likes Received
      649
      Likes Given
      382

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By KIDUNDULIMA
      Mbona inakubali hasa hasa kwa kozi ambazo zimetangazwa kuwa zina slots zilizowazi.
      Mkuu unatakiwa uwe makini na kitu kimoja.Ufahamu kuwa kuingiza code ya program inakubali ila ukija kuclick save changes ndio itakupa jibu kuwa inakubali au inakataa.Kwahiyo kama ulingiza code tu ikakubali siyo jibu.Ni lazima uende kwenye kuclick save changes baada ya kuingiza code ndio ujue.Ikikubali kusave changes ujue ulikuwa hujachaguliwa ila ikigoma ndio ujue ulishachaguliwa na utapata ujumbe kuwa umechguliwa. Hii selection ya ud sio official mkuu kwahiyo usiiamini sana.
      Last edited by Salary Slip; 19th August 2012 at 16:46.

    14. #12
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,323
      Rep Power : 615
      Likes Received
      117
      Likes Given
      141

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By salary slip
      mkuu unatakiwa uwe makini na kitu kimoja.ufahamu kuwa kuingiza code ya program inakubali ila ukija kuclick save changes ndio itakupa jibu kuwa inakubali au umeshachaguliwa.kwahiyo kama ulingiza code tu ikakubali siyo jibu.ni lazima uende kwenye kuclick save changes ndio ujue.ikikubali kusave changes ujue ulikuwa hujachaguliwa ila ikigoma ndio ujue umechguliwa na utapata ujumbe kuwa umechguliwa. Hii selection ya ud sio official mkuu kwahiyo usiiamini sana.
      wazo zuri!!!!

    15. #13
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,023
      Rep Power : 7643
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By KIDUNDULIMA
      Ukilog in kwenye website yao Kunatangazo lifuatalo: Dear Applicants,

      The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those who did not apply or could not be admitted during first round are adviced to make application by clicking the button labeled "Application 2nd round".If this button is active then make sure you click and start application process for the second round.But if the button is NOT active then you are not required to make any application for the second round.

      Cha kushangaza ni kuwa upande user area ni kweli hiyo button ya second round application haiko active lakini ukienda upande wa my profile hiyo button iko active na inakupa options za kuendelea kujaza kozi mpya. huu mkanganyiko wa nini nyie TCU na majina hamtaki kutoa ya waliochaguliwa?
      Ndio maana mnafeli mitihani, nani kakwambia uende kwenye my profile. If the intention of TCU was to direct you to go there they should have said so explicitly. As long as you are not directed there do not go there!
      KIDUNDULIMA likes this.

    16. #14
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,175
      Rep Power : 640
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Dah poleni wakuu me nishaanza maandalizi. UDOM Oyeeeh!

    17. #15
      The Son's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 431
      Rep Power : 429
      Likes Received
      52
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By LORDVILLE
      ..kama jina liko kwenye list ya wanaotakiwa kuapply 2nd section[selection?] just do it no way out!!! Ila kama halipo tulia..
      Kijana YAHAYA A.YAHAYA yuko kwenye list ya waliokosa 1st selectio yet yuko kwenye ile ya waliochaguliwa UDOM.Unamshauri afanye nini?

    18. #16
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,344
      Rep Power : 692
      Likes Received
      649
      Likes Given
      382

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By CHUAKACHARA
      Ndio maana mnafeli mitihani, nani kakwambia uende kwenye my profile. If the intention of TCU was to direct you to go there they should have said so explicitly. As long as you are not directed there do not go there!
      Mkuu unachoongea ni kweli kabisa hata mimi nafahamu hivyo ila tatizo hii system ya TCU sio ya kuamini sana kwani tangu zoezi hili limeanza imekuwa haieleweki kwani kwa mfano inaweza kukuonyesha kuwa hauko eligible lakini ukweli ni kuwa uko eligible.Huu ni mfano mmoja tu ila kama na wewe uliomba kupitia utaratibu huu wa TCU utakuwa umejionea mambo mengi tu ila kama hukuomba huwezi kuelewa.

      Binafsi siwalaumu hata kidogo kwani hii system ina matatizo.TCU walitakiwa watoe majina ya waliochaguliwa ili watu wajue kwa uhakika.
      KIDUNDULIMA likes this.

    19. #17
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 556
      Likes Received
      73
      Likes Given
      244

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By CHUAKACHARA
      Ndio maana mnafeli mitihani, nani kakwambia uende kwenye my profile. If the intention of TCU was to direct you to go there they should have said so explicitly. As long as you are not directed there do not go there!
      sio kwamba nina akili nyingi na naweza kufaulu zaidi au kufelishwa kwa sababu ya wenye kutunga mntihani kutoyaelewa hata majibu ya maswali waliyotuga?

    20. #18
      MARCO JOHN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      18

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Jamani mimi naona time will tell kwasababu kuna mengi yanachanganya sana kuhusu hizi selection na tcu wenyewe cui kama ukiwauliza wztakujibu xo tusubiri>>>>>>>>
      KUKATA KICHWA YA KOBE YAHITAJI TAIMING.

    21. #19
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,023
      Rep Power : 7643
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By KIDUNDULIMA
      sio kwamba nina akili nyingi na naweza kufaulu zaidi au kufelishwa kwa sababu ya wenye kutunga mntihani kutoyaelewa hata majibu ya maswali waliyotuga?
      Mpendwa hujaambiwa uende kwenye my profile. Kwa nini unajipa instructions ambazo hujapewa? Fuata maelekezo. Wangesema kabisa kuwa ukisha login, nenda kwenye my profile, then if......................HAWAJA SEMA hivyo.

    22. #20
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,023
      Rep Power : 7643
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Mkanganyiko TCU

      Quote By Salary Slip
      Mkuu unachoongea ni kweli kabisa hata mimi nafahamu hivyo ila tatizo hii system ya TCU sio ya kuamini sana kwani tangu zoezi hili limeanza imekuwa haieleweki kwani kwa mfano inaweza kukuonyesha kuwa hauko eligible lakini ukweli ni kuwa uko eligible.Huu ni mfano mmoja tu ila kama na wewe uliomba kupitia utaratibu huu wa TCU utakuwa umejionea mambo mengi tu ila kama hukuomba huwezi kuelewa.

      Binafsi siwalaumu hata kidogo kwani hii system ina matatizo.TCU walitakiwa watoe majina ya waliochaguliwa ili watu wajue kwa uhakika.
      You might be correct but follow instructions. Pamoja na hayo TCU hawajatoa matokeo. haya wanayoweka humu watu ni mambo yasiyominika maana hayatoki kwenye authority. Sawa mtu anaweza akawa ameiba, kesho wakitoa list yao ukawa haumo huwezi kulalamika. Normally, and it is so, list haitolewi kwenye excels! By the way mimi sio mwanafunzi. nilimaliza form six way back in 1975. Nina wajukuu nawaangalizia kama wewe unavyofanya.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...