Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kuhusu bodi ya mikopo elimu ya juu.

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 381
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default kuhusu bodi ya mikopo elimu ya juu.

      habari wana jamvi. . ,jamani naomba kujua kuhusu hili,mwaka jana udom kulitokea mambo ya mgomo ambyo yaliyotufanya tukae nyumbani kwa muda mrefu sana,baadae tuliitwa kuendelea na masomo lakn mambo hayakwenda poa,nikaamua kutulia kuomba chuo tena mwaka ulifuata,nimeomba tena mwaka huu,nimechaguliwa tena udom koz tofauti,sasa naomba kujua kama kuna uwezekano wa kupata mkopo tena,tafadhali wanajamvi naomba mawazo yenu. . . . . . .karibuni


    2. #2
      Raphael9's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 380
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Vyuo 2mepata thanx...but vp? Mkopo?

      Najua wengi 2likuwa 2nahamu na vyuo na wengi we2 2mepata kifuatacho ni kusubiri hzo % hapa ndo insue jamani! HOJA MEZANI

    3. #3
      Geezzle's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th July 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 370
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: kuhusu bodi ya mikopo elimu ya juu.

      Ulilipa 25% ya hela ambayo ulkwishapewa na bod,sambamba na kusmamshiwa mkopo wako wa awali?!vngnevo si rahc kupata mkopo tena!

    4. #4
      tan 90's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 381
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Geezzle
      Ulilipa 25% ya hela ambayo ulkwishapewa na bod,sambamba na kusmamshiwa mkopo wako wa awali?!vngnevo si rahc kupata mkopo tena!
      duuh kw hyo hapo ni kujisomesha 2.

    5. #5
      p_prezdaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Some Where Interior
      Posts : 277
      Rep Power : 468
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: kuhusu bodi ya mikopo elimu ya juu.

      Kama ulipewa mkopo alafu uaingimitini bila taarifa mwaka huu uwezekano wa kupata mkopo huko mdogo sana lakini kama kulikuwa na taarifa unaweza kupata
      ''If You Are Always Telling The Truth You Need To Remember Nothing''


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...