Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Risk vs Return's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 365
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      MUHIMBILI UNIVERSITY - MADAKTARI NA WATAFITI WA AFYA TUNAOMBA MSAADA WENU

      Wakuu naomba msaada wa tiba ya malaria sugu tangu ujana wangu hadi leo nakaribia 50yrs nimekuwa nauguwa na kutibu malaria kila mwezi, tangu wakati wa chroloquine, fansider, Halfan,Metakhafin, Amodiaquine, mseto,,,,dawa za asili mshana, mwarobaini, soku-masai, n.k kwa yeyote atakae niwezesha kukaa angalau kila baada ya mwaka mmoja naahidi kutoa zawadi nono shs 100,000 hadi shs 2,000,000.

      Hupima kuhakiki ni malaria kabla matibabu wadudu mara nyingi 3,4,5, pia namshukuru mungu sijawahi kulazwa kwa malaria, naomba msaada hata wa ushauri tu.

      Nimekuwa na mawazo kuwa immunity yangu kwa malaria ni very weak, sababu sijasumbuliwa na magonjwa mengine labda kdg tonslitis kwa mwaka x2, minyoo x3 kwa mwaka, Mafua ndio mara kwa mara kila dalili za malaria tu

      Swali langu je pana namna yeyote ya kuongeza immunity(kinga) ya mwili hasa dhidi ya malaria ?


    2. #2
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,851
      Rep Power : 29102
      Likes Received
      12273
      Likes Given
      4931

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      Pole sana. Sasa hii tiba yenye donge nono hairuhusiwi. Manake tutakufanya guinea pig tukujaribishie hadi uji wa cement!

      Kitu muhimu kwenye dozi huwa ni uzito wa mwili. Kama una kg zaidi ya 100, dose unayopewa inakuwa haikutoshi. Una uzito gani?
      Amoeba and Risk vs Return like this.

    3. #3
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,138
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      Unaweza kuishinda malaria kwa kufanya yafuatatyo.
      1. Fanya detoxification-unaweza kufanya mwenyewe au kwa kuwaona wajuzi
      2. Acha kutumia vyakula/vitu vyenye kuongeza sumu mwilini kama nyama nyekundu, bia, soda, chumvi, sukari mafuta yatokanayo na wanyama au ambayo yana cholestrol
      3. anza kutumia vyakula vya asili kama viazi vitamu, viazi mviringo, ndizi, mchicha etc
      4. Tumia karoti au tomato juice glass 1 mara tatu kwa siku
      5. kula matunda kwa wingi-orange, pawpaw, avocado, etc
      6. Badala ya sukari tumia asali
      7. neti ya mbu ni muhimu usiku
      8. dawa nzuri za malaria kwa sasa ni za mseto. na ikiwa wakati unaendelea na hiyo transition diet na ukaungua malaria tumia dawa mseto kwa ushauri wangu tumia :co-malafin
      Risk vs Return likes this.
      hopkingsclark

    4. #4
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,438
      Rep Power : 642
      Likes Received
      131
      Likes Given
      150

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      ivi si kuna jukwaa la JF DOCTOR!! huu uzi uko pahala pake kwel??? MODs vp???

    5. #5
      KANCHI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2011
      Posts : 999
      Rep Power : 593
      Likes Received
      93
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By LORDVILLE View Post
      ivi si kuna jukwaa la JF DOCTOR!! huu uzi uko pahala pake kwel??? MODs vp???
      MODs wamelala! Jamani.


    6. #6
      Risk vs Return's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 365
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      Quote By LORDVILLE View Post
      ivi si kuna jukwaa la JF DOCTOR!! huu uzi uko pahala pake kwel??? MODs vp???
      Bahati mbaya sanaa huko kwa JF DOCTORS watu hawa respond ndio maana tunajaribu hapa kwa nia nzuri tu wanafunzi wa MUHAS wachagie kupitia jukwaa la elimu, tunaomba msamaha

    7. #7
      Risk vs Return's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 365
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      Wakuu tunawashukuru wote waliotoa michango yao ya mawazo na ushauri lakini bado tunahitaji misaada hiyo zaidi na hasa ya kitaalam, TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU

    8. #8
      Silicon Valley's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 109
      Rep Power : 389
      Likes Received
      18
      Likes Given
      49

      Default Re: MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS

      Jamani mradi wa kutokomeza malaria haona tija ? umeishia wapi ? kwa wale wenzetu walioko maeneo yaliyonyunyizia dawa za huo mradi kuna mafanikio yeyote ? tunaomba taarifa tafadhali ili tuhamie huko ! ! !

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...