Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 29 of 29
    1. #1
      Mpatanishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Location : Sinza Dar es salaam
      Posts : 1,428
      Rep Power : 9198
      Likes Received
      253
      Likes Given
      52

      Default Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Wana Jf.
      Katika kuonesha kwamba walimu tumechoshwa na kupuuzwa na serikali sasa tumeamua kutumia Silaha ya mwisho ili matokeo yake iwe funzo kwa serikali hii dhaifu kama msg inavyosomeka hapa chini.

      Ndugu mwalimu: Katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala D, mwandae katika kiwango cha F kwasababu hata akipata A juhudi zako ni sawa na bure. HII NDIO SILAHA YETU YA MWISHO. Tuma msg hii kwa walimu wengine.

      Nimepokea msg hii ambayo imeonekana kusambazwa kwa kasi kwa walimu wengi mana nimeipata kutoka kwa walimu tofauti tofauti.

      Haya sasa KAZI IMEANZA je dhaifu atakubali kutusikiliza au kwa silaha hii pia atakwenda mahakamani?!
      Last edited by Mpatanishi; 17th August 2012 at 19:09.


    2. #21
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,206
      Rep Power : 875
      Likes Received
      310
      Likes Given
      123

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Quote By Mpatanishi View Post
      Usijali mkuu hilo linafanyika vizuri sana.
      silaha hizi zitakuwa mkuki wa moyono kwa ccm huku kizazi cha sasa kukosa elimu bora
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    3. #22
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,403
      Rep Power : 685
      Likes Received
      237
      Likes Given
      12

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!

    4. #23
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,403
      Rep Power : 685
      Likes Received
      237
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Mpatanishi View Post
      Wana Jf.
      Katika kuonesha kwamba walimu tumechoshwa na kupuuzwa na serikali sasa tumeamua kutumia Silaha ya mwisho ili matokeo yake iwe funzo kwa serikali hii dhaifu kama msg inavyosomeka hapa chini.

      Ndugu mwalimu: Katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala D, mwandae katika kiwango cha F kwasababu hata akipata A juhudi zako ni sawa na bure. HII NDIO SILAHA YETU YA MWISHO. Tuma msg hii kwa walimu wengine.

      Nimepokea msg hii ambayo imeonekana kusambazwa kwa kasi kwa walimu wengi mana nimeipata kutoka kwa walimu tofauti tofauti.

      Haya sasa KAZI IMEANZA je dhaifu atakubali kutusikiliza au kwa silaha hii pia atakwenda mahakamani?!
      Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!

    5. #24
      Mpatanishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Location : Sinza Dar es salaam
      Posts : 1,428
      Rep Power : 9198
      Likes Received
      253
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Nzowa Godat View Post
      Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!
      ww kweli dhaifu. Na bado mtasema yote mwaka huu.

    6. #25
      MWAMTOBE's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 354
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Taifa linaloenda kuandaliwa kwa mising hii ni taifa la ajabu sana. Kama walimu na juhudi zote za kuwafanya wanafunzi wafaulu bado wanafeli, ke walimu wakianza juhudi za kufelisha si ndo basi hakuna umuhimu wa shule?EE MUNGU UTUREHEMU KWA MAANA HATUJUI TULITENDALO NA UTUPE HEKIMA YAKO.AMINA


    7. #26
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Sawa, mwandae apate F ili akanunue leseni class C awe dereva wa basi na asiweze kusoma hata alama za barabarani asababishe ajali ya basi alilokubeba mwalimu wake bil nauli.
      Bottomline - kuzzalisha kizazi cha wajinga ni kujikomoa menyewe.
      "To greed, all nature is insufficient"

    8. #27
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 369
      Rep Power : 436
      Likes Received
      45
      Likes Given
      5

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Chonde chonde walimu msifanye mambo hayo , jueni kuwa mtaji wa ccm kuendelea kutawala ni ujinga na umaskini wetu.

    9. #28
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 593
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Mi naona siku zote wamegoma, wanafunzi wanamaliza Std 7 hawajui kusoma wala kuandika,

    10. #29
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,581
      Rep Power : 722
      Likes Received
      182
      Likes Given
      0

      Default Re: Walimu waamua kutumia silaha ya mwisho.

      Nimeona kwa walimu watatu.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...