
By
enoc
kaka samahan ctaendelea kukujbu mana kwanza umejaza ma2c kchwan na hauna point zenye mashko na pil katka swala zma la vyuo vinavotoa degree za afya hapa nchin hauna ufaham wa kutosha mana kcmc hakuna pharmacy na pharmacy yenye cutoff ndogo zaid haipo st.john pia hako ka chuo cha saut songea hakana pharmacy huo n ushahd tosha kwamba wewe hujawai kusoma pcb ila umejaza kchwa chako majvuno yasio na msing ya kuropoka napenda kukutaharf kua kama kwel ndo uko hv ww c weakthinker na wache 2 wenzako wanao elewa kama hapo juu ndo 2badlshane mawazo na ufund. Hauna adh ya kuchangia hil jambo mkuu tafakar, kua na aibu, jfunze kutokurupukia mada, na jshangae pale unapo 2mia ma2c na majvuna af unayejbzana naye ana2mia hoja zenye hekima. Nanukuu "anaye jiona anajua kumbe hajui yeye n mpumbayu" wakuu hii n nukuu c kua nmem2kana mkuu hapa. Nawaslsha
Follow Us Here