Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 57 of 57
    1. #1
      enoc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 361
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Jaman kuna kachuo kameongezwa 2nd round selection n kabranch cha SAUT kako Songea kana doctor of medicine so kama pcb na cbg unaomba through tcu kwa walio kosa na kama ulshachagua chuo kngne unapga mshe ya kuhama mana cutoff itakua ndogo sana hata 2.5 unapata, kwa wale wa pcm unaomba directry kwa chuo.


    2. #41
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default

      Quote By enoc View Post
      hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
      Nimekupata mkuu!!

    3. #42
      enoc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 361
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By sifama View Post
      Ongeeni yote mnayoyaweza lakini heshima ya nani alifaulu sana au hakufaulu sana itaonekana pale ambapo utakuwa unahudumia jamii, na kufaulu sana au kufeli sana haimaanishi unauelewa mkubwa au mdogo kikubwa ni kuifahamu vizuri kazi unayoenda kuifanya na uwezo wa kuifanya watu wakakukubali
      good idea GT

    4. #43
      Narbie's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th August 2012
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Question Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Duh..kama wapo tayari kuchukua hata wenye 2.5,watu si watachukulia course ya medicine kama mzaha??

    5. #44
      Meljons's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 357
      Rep Power : 423
      Likes Received
      79
      Likes Given
      92

      Default

      Quote By majuto mperungu View Post
      doctor of
      medicine 2.5 simtauwa wagonjwa nyie
      mtihani sio kipimo cha kwamba hakuelewa miaka yote miwili shuleni.

    6. #45
      Bob Lee Swagger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 797
      Rep Power : 546
      Likes Received
      284
      Likes Given
      322

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Ipo haja serikali iweke chombo cha kusimamia vigezo vya udahili katika vyuo mbalimbali, vinginevyo tutaona mengi!!
      Victory loves preparation


    7. #46
      Bob Lee Swagger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 797
      Rep Power : 546
      Likes Received
      284
      Likes Given
      322

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Quote By enoc View Post
      hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
      Hapa pekundu ndipo panaponipa mashaka mkuu! Kwamba cut-off points sio muhimu tena?!
      Hii inanikumbusha serikali ilipoamua kufuta mitihani ya darasa la 4 na form 2, kwa kigezo cha kutaka watu wengi wafike darasa la 7 na form 4 eti kwa kuwa kukariri darasa kunakatisha vijana tamaa hivyo kuwafanya waache shule?!! Wote tu mashahidi wa matokeo yake!
      Victory loves preparation

    8. #47
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By enoc View Post
      kaka samahan ctaendelea kukujbu mana kwanza umejaza ma2c kchwan na hauna point zenye mashko na pil katka swala zma la vyuo vinavotoa degree za afya hapa nchin hauna ufaham wa kutosha mana kcmc hakuna pharmacy na pharmacy yenye cutoff ndogo zaid haipo st.john pia hako ka chuo cha saut songea hakana pharmacy huo n ushahd tosha kwamba wewe hujawai kusoma pcb ila umejaza kchwa chako majvuno yasio na msing ya kuropoka napenda kukutaharf kua kama kwel ndo uko hv ww c weakthinker na wache 2 wenzako wanao elewa kama hapo juu ndo 2badlshane mawazo na ufund. Hauna adh ya kuchangia hil jambo mkuu tafakar, kua na aibu, jfunze kutokurupukia mada, na jshangae pale unapo 2mia ma2c na majvuna af unayejbzana naye ana2mia hoja zenye hekima. Nanukuu "anaye jiona anajua kumbe hajui yeye n mpumbayu" wakuu hii n nukuu c kua nmem2kana mkuu hapa. Nawaslsha
      Let me end this kijana...kcmc pharmacy ulimi umeteleza...nimeondoka bongo kabla ya hata st john bado ni mazengo sekondari...mimi mdau wa afya sijikwezi huo ukweli...ulipoleta madai ya 2.5 kwenda md ulipingwa sio tu na mimi angalia mtu wa kwanza kukujibu alivyoonyesha mshangao....ndugu yangu 2.5 nenda clinical officer pale îfakara kwa manufaa ya taifa,kama ww mzuri kichwani utapanda 2 mpaka udaktari bingwa ila hatukubali wenye low points waende md hata kama uliumwa kipindi cha mtihani kwani hatuna njia nyingine ya kukupima...kama ndio hivyo bac wenye div 4 wote waende mlimani waseme wanataka udahili kwani kichwani wako wazuri....kipimo cha mtihani sio perfect 100% ila angalau kwa asilimia zaidi ya 95 tunaweza kuchambua uwezo wa mtahiniwa...pole sana kama kigezo hicho kimekutuapa nje...jaribu tena! Good luck

    9. #48
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By mdau kbt View Post
      enoc hapo umemaliza.kama aliyepata 1 olevel akapata 0 a level na aliyepata 3 o level ndiye aliye pata 1 alevel tuna shangaa nini sasa?
      aliyepata 3 olevel akapata 1 a.level huyo kichwa na hajawahi kufeli...aliyepata 1 olevel na 0 a.level huyo kuna walakini aidha alibweteka au aliiba mtihani o.level.....sasa nikwambie kama wewe mkuu wa chuo utamchukua wa div 0 kisa anajiamiani kuwa ni mzuri na hakuwa na bahati au yule mwenye div 1...usinipe jibu kaa nalo 4 future use

    10. #49
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By Meljons View Post
      mtihani sio kipimo cha kwamba hakuelewa miaka yote miwili shuleni.
      unataka tukupime vipi kuwa umeelewa....basi tusiangalie matokeo,tuwe tunauliza "umeelewa" ukijibu ndio unadahiliwa au sio?

    11. #50
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By Narbie View Post
      Duh..kama wapo tayari kuchukua hata wenye 2.5,watu si watachukulia course ya medicine kama mzaha??
      hizo points hata social sciences hawachukui ila mtu huyu anapewa mwili wa binadamu....mpaka tukome wenyewe wadanganyika

    12. #51
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By Bob Lee Swagger View Post
      Ipo haja serikali iweke chombo cha kusimamia vigezo vya udahili katika vyuo mbalimbali, vinginevyo tutaona mengi!!
      watoto wanamaliza sekondari hawajui kusoma ngoja na hawa wa 2.5 waende md baada ya miaka 10 tutatafutana wachawi

    13. #52
      enoc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 361
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Jaman wadau mnajua coz ya bachelor of vetelan medicin(BVM) kua n ngum sana kulko md? Kwa tanzania hyo coz hpo SUA na cutoff yake n 3.5 ka csahau ambayo n nusu ya hle ya md ya MUHAS ambayo n 7.5 hyo coz tz ndo ya kwanza kwa kua na wa2 weng wanaodisco na sap za maana hyo inafahamka kwa wote je kwann hawachukui wa2 wenye cutoff kubwa na kuendelea kwa7bu n ngum? Jbu n kwamba cuttof sio tja ila uwezo wako 2 ilmrad uwe na uwezo wakufaulu coz na uwezo utapatkana ka utamalza coz na kama ukdisco bac utakua hauna uwezo hucka. Jaman 2futen mawazo ya ki tz kwamba coz zenye cutoff kubwa ndo ngum mfano kama sheria n coz ya kwanza kwa ugum na inafuatiwa na bvm(bachelor vetelan medicin) lakn kwa kua kuna vyuo vng bac sheria hapa tz ina cutoff ndogo, kwahyo wadau swala la cutoff kubwa n kwa7bu ya uhaba wa vyuo na c ugum wa coz. Nawaslsha

    14. #53
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default

      Quote By enoc View Post
      Jaman wadau mnajua coz ya bachelor of vetelan medicin(BVM) kua n ngum sana kulko md? Kwa tanzania hyo coz hpo SUA na cutoff yake n 3.5 ka csahau ambayo n nusu ya hle ya md ya MUHAS ambayo n 7.5 hyo coz tz ndo ya kwanza kwa kua na wa2 weng wanaodisco na sap za maana hyo inafahamka kwa wote je kwann hawachukui wa2 wenye cutoff kubwa na kuendelea kwa7bu n ngum? Jbu n kwamba cuttof sio tja ila uwezo wako 2 ilmrad uwe na uwezo wakufaulu coz na uwezo utapatkana ka utamalza coz na kama ukdisco bac utakua hauna uwezo hucka. Jaman 2futen mawazo ya ki tz kwamba coz zenye cutoff kubwa ndo ngum mfano kama sheria n coz ya kwanza kwa ugum na inafuatiwa na bvm(bachelor vetelan medicin) lakn kwa kua kuna vyuo vng bac sheria hapa tz ina cutoff ndogo, kwahyo wadau swala la cutoff kubwa n kwa7bu ya uhaba wa vyuo na c ugum wa coz. Nawaslsha
      Mada isihame...suala sio ugumu...medicine ni noble profession...unashikilia uhai wa watu aisee...cut off points yake ni kubwa si tu tanzania bali duniani kote hata huko kwenye vyuo vingi mfano marekani hata hapa nilîpo mimi kwasababu tunataka kumpa chance mwanafunzi aliye serious na mara nyingi ni wale wenye maksi za kuridhisha...mtu mwenye div 4 umakini wake unatia shaka kuliko wa yule mwenye angalau 3...sio mara zote tutapatia ila mara nyingi ni hivyo...kuwa daktari ni rahisi kuliko wa2 wasio katika md school wanavyofikiri ila kila daktari atakiri kuwa daktari mzuri ni suala lingine

    15. #54
      La Cosa Mia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 404
      Likes Received
      81
      Likes Given
      161

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      2.5 inastua hata wagonjwa mkuu,sio kwamba wanatia shaka uwezo wako wa kumudu masomo ila wanawasiwasi afya zao kuwa mikononi mwa makanjanja....iko hivyo duniani kote...aisee nimefunga huu mjadala kwa upande wangu...gud luck mdau hapo juu...

    16. #55
      Bob Lee Swagger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 797
      Rep Power : 546
      Likes Received
      284
      Likes Given
      322

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Quote By enoc View Post
      Jaman wadau mnajua coz ya bachelor of vetelan medicin(BVM) kua n ngum sana kulko md? Kwa tanzania hyo coz hpo SUA na cutoff yake n 3.5 ka csahau ambayo n nusu ya hle ya md ya MUHAS ambayo n 7.5 hyo coz tz ndo ya kwanza kwa kua na wa2 weng wanaodisco na sap za maana hyo inafahamka kwa wote, je kwann hawachukui wa2 wenye cutoff kubwa na kuendelea kwa7bu n ngum? Jbu n kwamba cuttof sio tja ila uwezo wako 2 ilmrad uwe na uwezo wakufaulu coz na uwezo utapatkana ka utamalza coz na kama ukdisco bac utakua hauna uwezo hucka. Jaman 2futen mawazo ya ki tz kwamba coz zenye cutoff kubwa ndo ngum mfano kama sheria n coz ya kwanza kwa ugum na inafuatiwa na bvm(bachelor vetelan medicin) lakn kwa kua kuna vyuo vng bac sheria hapa tz ina cutoff ndogo, kwahyo wadau swala la cutoff kubwa n kwa7bu ya uhaba wa vyuo na c ugum wa coz. Nawaslsha
      Hapo kwenye ubluu mkuu,neno sahihi ni veterinary!

      Hapo pekundu mkuu, hivi unatumia vigezo gani kuaminisha watu kuwa eti kozi moja ni ngumu zaidi kuliko nyingine?!
      Kwa hiyo kwa uelewa wako watu wengi wakisap kozi flani ndo inaonesha ugumu wa kozi au?!

      Naomba nikuulize, Kwa kuwa huna utafiti wowote kuthibitisha uliyosema, unaweza kubisha nikisema kuwa kusap kwao kwa wingi, inatokana na cut-off point ndogo walizochukuliwa nazo, ambazo kwa ujumla wake zinaonesha uwezo wao kimasomo kwa haraka haraka?!
      Victory loves preparation

    17. #56
      enoc's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 361
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Mkuu nashukuru kwa malekebsho yako na swala c kwamba kwa7bu ya kusap kwan sheria idad ya wa2 kusap inazd coz zote kwa7bu nmesema yenyewe n ya kwanza? Jbu n hapana mkuu ila hvo vgezo haviangaliwa kwa sap o disco bal kwa quality na cotent kaka na swala la cutoff tena naona bora ungesemea kua n sua ndo mana wanadsco kwa sana lakn ilo cutoff na elm ya tanzania yan advanc haisian na chuo mkuu nawaklsha

    18. #57
      Fortunatus James's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: 4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

      Mwisho line kutuma maombi?

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...