ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
udsm wazee wa kuzurura mlimani city kwenda kununua pipi na karanga
Kingxvi, toka mwanzo wa thread nimeyasoma mawazo yako. Lipo tatizo ulilonalo, nalo ni hili hukuweza kuiruhusu akili yako kuangalia upande wa pili. Kwamba, ni viongozi gani mashuhuru au watu gani waliopigania ustawi wa watu wao lakini wenyewe wakafa maskini ambao na zao la UDSM.
Pili, sidhani kama wanaosoma sasa UDSM ni wazee. By the time hao wazee wanasoma Mlimani City haikuwepo. Na kwa taarifa yako zama zile viwanja vya kutembelea havikuwa hivyo.
Follow Us Here