ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
We ni ngeke kweli,wasomi wa udsm ndio walioliingiza taifa kwenye umaskini,wewe ndio umechaguliwa chuo mwaka huu sie tulikuwepo hapo tangia 2003 tena kozi za maana sio uliyochaguliwa wewe hyo ya kulamba stempu!! Mafisadi wote wamesoma udsm kuanzia wale wa epa,richmond,kagoda,sakata la uda,chenji ya rada,mtakula nyasi ndege inunuliwe,kama vipi piga mbizi,mkaa hapa,jei kei wote hao product za udsm
Naunga mkono hoja, mfano mdogo angalia mhitimu yeyote aliyetoka hapo UDSM akianza kazi tu anataka amiliki gari, nyumba katika muda mfupi sana kiasi kwamba huwa najiuliza ndivyo walivyofundishwa huko chuoni. Hao wakifika makazini kitu cha kwanza ni kutafuta mitandao ya kifisadi, wale wenzao wanoongeza 000 na 10% kwenye manunuzi ya umma na mashirika. Kama mnabisha fanyeni uchunguzi. Tena cha kushangaza wengi waliohitimu hapo wanajisikia ndio wamesoma chuo bora kiasi hata mimi binafsi naogopa kujitambulisha kama nilisoma hapo kabla sijasepa kuja ughaibuni.
Umeanzisha thread na unaimiliki 99%
IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT
UDSM forever, for life
Sign of Victory - R. Kelly
Features of UDSM reject!!
Mnh
Mnh
Tundu Lissu,Halima Mdee,John Mnyika ni product ya wapi vile?
inaonyesha hatujui tatizo la nchi yetu liko wapi udsm haihusiki hata kidogo
tatizo ni tumeunda uongozi wa nchi kwa kuweka mihimili mitatu ya uongozi.
bila kujua au kwa kujua tukaiua mihimili miwili ambayo ni bunge na mahakama kwa kuifanya kama taasisi ndani ya mhimili mmoja ambao ni serikali.
serikali ikawa inafanya kazi bila kusimamiwa.
ukiwa na duka ukamweka mfanyakazi bila kumkagua na akikosea bila kumuwajibisha duka ataligeuza lake
hatua ya kwanza ni kufanya mahakama ijitegemee wachaguane wao kwa wao, bunge liwe ndicho chombo kikuu cha maamuzi chenye rungu la kusimamia na kushauri serikali uozo mwingi utapungua kwani mihimili hii imewekwa ili kusimamiana ila ikishirikiana utendaji wanaoutegemea wananchi hauwezi kuwepo
ukifanya kauchunguzi flani,mara nyingi wanaoiponda udsm ni wale waliodisco pale.
uliomba ukapigwa chini nini!!!!pole
Follow Us Here