Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,677
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      nani akachafuke chaki na kupiga kelele kutwa nzima halafu mshahara kidogo.......,fupa lililomshinda fisi mi sitaliweza,.......Bora niendelee na biashara yangu ya vitumbua inanilipa zaidi ya ualimu

    4. #3
      MotoYaMbongo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,289
      Rep Power : 0
      Likes Received
      145
      Likes Given
      0

      Default re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Nani mwenye shahada yake atakubali aje alipwe laki mbili wewe? Hapo wamechemka.

    5. #4
      Njaare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 568
      Rep Power : 660
      Likes Received
      92
      Likes Given
      167

      Default re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Quote By Tume ya Katiba
      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
      Hizo nafasi mbona zipo tu hata kabla ya walimu kugoma na walikosa watu?

    6. #5
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Kama wengi wa walimu wa sasa hawajalipwa mishahara/kuongezewa mishara baada ya kupandishwa daraja, unategemea serikali itawalipa nini hawa waalimu wapya??

    7. Miaka 50

    8. #6
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Hao wasio na shahada za ualimu wao wako tayari kufanya kazi kwa kujitolea bila malipo?
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    9. #7
      GKassanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 68
      Rep Power : 369
      Likes Received
      27
      Likes Given
      0

      Default

      Huu ni upuuzi mwanana, hivi kwani pale Lugalo si kuna wanajeshi ambao hutumiwa pia kama madaktari wa akiba wakati wa migomo ya madaktari raia? Basi tuwatumie TPDF wetu wakati huu ambapo hakuna vita, JWTZ ni wepesi sana kujifunza na kufunza wenzao... Nchi hii tutasikia mengi!!!

    10. #8
      Swae24's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 370
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Quote By Tume ya Katiba
      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali kisivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
      upo siriaz kweli..............serkali sikivu kiaje!?

    11. #9
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Mtoa mada uana mtindio wa ubongo angalia haya mambo jinsii yalivyo kwanza
      ishu sio kazi ishu ni hela wewe
      kazi za ualimu zimedharauliwa kitambo na ndio maana wanataka kiifanya fani kuwa
      dampo

    12. #10
      Sema Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 309
      Rep Power : 422
      Likes Received
      21
      Likes Given
      20

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Hii mada haina utafiti wowote mkuu HAIWEZEKANI MILELE NA MILELE

    13. #11
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 2,865
      Rep Power : 946
      Likes Received
      362
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By harakat
      Mtoa mada uana mtindio wa ubongo angalia haya mambo jinsii yalivyo kwanza
      ishu sio kazi ishu ni hela wewe
      kazi za ualimu zimedharauliwa kitambo na ndio maana wanataka kiifanya fani kuwa
      dampo
      Hoja hii imeungwa mkono mkuu.

    14. #12
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 2,865
      Rep Power : 946
      Likes Received
      362
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By Sema Chilo
      Hii mada haina utafiti wowote mkuu HAIWEZEKANI MILELE NA MILELE
      Hoja hii imeungwa mkono mkuu.

    15. #13
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      "Wewe ukikiona cha nini, wenzako wanasema nitakipata lini" Tunasubiri wafukuzwe nasi tuingie. Tunasubiri kauli ya mkuu wa kaya. "LIWALO NA LIWE"

    16. #14
      KISIMASA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 375
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Mwaka huu ni mwaka wa shetani kwa serikali dhaifu. Walisema madaktari ni wabinafsi na wana tamaa, watasema nini kuhusu waalimu. Bado wasubiri mgomo wa wafanyakazi wote kupinga marekebisho ya sheria ya mafao ya uzeeni. Anayelishauri taifa ana homa ya uti wa mgongo,au ebola anakaribia kukata roho. Kama mama magreth sita kasema waanzishe program ya kutoa mafunzo ya tiba kwa miezi sita,nadhani kwa waalimu anaweza kuanzisha emergency program ya wiki mbili kwa ajili ya kufundisha masomo marahisi kama sayansi kimu.

    17. SG8
      #15
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,553
      Rep Power : 4176
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Quote By Tume ya Katiba
      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
      K
      Kawaambie waheshimu mahakama basi kwani wanatoa ajira wakati mgogoro haujaisha? Tatizo la Walimu ni kubwa kwanini waliamua kusitisha ajira kwa Walimu wasiokuwa na taaluma ya Ualimu? Umekurupuka kajipange
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    18. #16
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Quote By Tume ya Katiba
      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
      mshahara sh.ngapi??

    19. #17
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Hao waatakaojipeleka wajitayarishe na mgomo hata kabla ya kuanza kazi!
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    20. #18
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,865
      Rep Power : 5952
      Likes Received
      801
      Likes Given
      227

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Hizo ni solutions za dhaifu.....
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    21. #19
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,460
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      457
      Likes Given
      932

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      serikali imekosa la kufanya inatapatapa haina jipya ngoja iaibike yaani walimu wanaivua nguo mpaka watoto wanaiona serikali ni kichaka cha wahuni wasiotakia mema maisha ya wanafunzi chuki inaongezeka kuliko hapo nyuma na hili ndio taifa la kesho sijui ccm itajificha wapi

    22. #20
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,342
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

      Quote By Tume ya Katiba
      Wadau,
      taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
      Acha Umbeya wewe, labda waajiri wasiojua kusoma na kuandika lakini si wasomi kufanya kazi ya ualimu kwa mshahara ule
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...