Habari wanajf naomba mnisaidie tofauti kati ya msomi na mwanazuni na ili mtu aitwe msomi au mwanazuoni anatakiwa awe na elimu kiasi gani?
Habari wanajf naomba mnisaidie tofauti kati ya msomi na mwanazuni na ili mtu aitwe msomi au mwanazuoni anatakiwa awe na elimu kiasi gani?
Wanazuoni ni mashekhe wa kiislamu au mtu mwenye elimu ya doctorate(dr) au professor(wakufunzi wa elimu) msomi ni mtu yeyote aliyesoma na kubobea katika fani fulani(wengi huchukulia kuanzia first degree).
Follow Us Here