Kwa mwenye taarifa kuhusu hizi selection za TCU naomba atujuze, maana walishwahi kusema kupitia gazeti la mwananchi kuwa selection ingefanyika trh 15/07/2012 ila mpaka leo naona kimya.
Majibu kwa anaejua.
Kwa mwenye taarifa kuhusu hizi selection za TCU naomba atujuze, maana walishwahi kusema kupitia gazeti la mwananchi kuwa selection ingefanyika trh 15/07/2012 ila mpaka leo naona kimya.
Majibu kwa anaejua.
Leo jioni.
Mmh na mimi ninataka kujua kilimokimenichosha wandugu
hawa jamaa chenga kweli, hawaaminiki bt naamini within this week mambo yatakuwa mtandaoni
Mtu aweke contacts zao tuwastue.
Selection bado sana,mpaka mwezi wa tisa mwanzoni,
yatakuwa tu! Hebu tembeleeni jukwaa la jokes na chit chat mpunguze presha
Tym z very near to true..just calm!
punguzeni mchecheto mbona huulizi second round ya application inaanza lini?????????? mwaka jana walifanya had 4th round
TCU Wameshafanya selection majina yako loanboard, najua kuna wabishi lakini habari niliyopewa ndo hiyo but siwalazimishi muamini.
usihofu unataka kunya kabla ya kukojoa? Vyuo vnaanza mwez wa 9 sahz mwez wa 7 tuliza mzuka,au result halivutii
Hawa jamaa(tcu) hawaaminiki,mwaka jana walianza early july,wakaja sometime in july,august... ma mambo mengne kama hayo. Kuweni wavumilivu mambo yatatoka tu.
1. +255-22-2772657
2. +255 22 2772869
3 FAX +255-22-2772891
4. E-mail [email protected].
5. [email protected]
6.TCU Website
NASHINDWA KUWEKA NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWASABABU ZOTE 5 HAZIPATIKANI LAKINI KAMA MTAHITAJI NITAZIWEKA NingaR
1. +255-22-2772657
2. +255 22 2772869
3 FAX
+255-22-2772891
4. E-mail
[email protected]
5. [email protected]
6.TCU Website
NASHINDWA KUWEKA
NAMBA ZA SIMU ZA
MKONONI
KWASABABU ZOTE 5
HAZIPATIKANI
LAKINI KAMA
MTAHITAJI
NITAZIWEKA NingaR
Selection ni siku yoyote.
nahisi kama mwaka jana walichelewa kuyaachia bas this year i thnk by the mid or starting of september watayatangaza....
Follow Us Here