Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Barinasyo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Wapendwa kwa mwenye taarifa anijulishe kama wizara ya mifugo na uvuvi imetangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo mwaka huu msaada tafadhali

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,194
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1232
      Likes Given
      313

      Default

      Halafu baadaye mnaanza kulalsmika ooh kazi hakuna wakati mnaenda kusoma mambo ya kupe na ndorobo..someni mambo ya fedha

    4. #3
      Dine's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 365
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Huko huko kwenye kupe na ndorobo ndiko kwenye ajira za moja kwa moja kuliko huko kwenye fedha ambako mpaka mtoe rushwa ndo mpate ajira

    5. #4
      kapistrano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 961
      Rep Power : 6799
      Likes Received
      315
      Likes Given
      463

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Quote By Barinasyo
      Wapendwa kwa mwenye taarifa anijulishe kama wizara ya mifugo na uvuvi imetangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo mwaka huu msaada tafadhali
      majina ya kujiunga na masomo kwa ngazi gani?

    6. #5
      Barinasyo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 346
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kapistrano
      majina ya kujiunga na masomo kwa ngazi gani?
      ngazi ya diploma rafiki

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,314
      Rep Power : 613
      Likes Received
      116
      Likes Given
      139

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Quote By Kigogo
      Halafu baadaye mnaanza kulalsmika ooh kazi hakuna wakati mnaenda kusoma mambo ya kupe na ndorobo..someni mambo ya fedha
      na kama una degree,nahis uliipata kwa ku-desa!!! hapa ndugu ume kurupuka toka kwenye usingiz wa juzi!!! ndugu haya ni mawazo MGANDO!!! inaonyesha ni kiasi gani ulivyo na mawazo finyi kama tundu la sindano ya kushonea nguo!!!!!!

    9. #7
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 382
      Likes Received
      21
      Likes Given
      9

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      kama uliomba majina bado hayajatoka,ila kama bado dedline ilikuwa tar 30 juni so imeshapita.

    10. #8
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 382
      Likes Received
      21
      Likes Given
      9

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Quote By Kigogo
      Halafu baadaye mnaanza kulalsmika ooh kazi hakuna wakati mnaenda kusoma mambo ya kupe na ndorobo..someni mambo ya fedha
      hivi wewe kigogo akili yako ndo imeishia hapo, unataka watu wasome mambo ya fedha? fedha zenyewe zipo wapi? mafisadi wametafuna zote.. mifugo sasa hivi ndo fan inayotoa ajira za moja kwa moja kama ualimu. vyuo hivi vinaitwa LITI. vipo mpwapwa, songea,Arusha,tanga na moro. usidanganye watu kila fani ina umuhimu wake.

    11. #9
      Asu tz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 408
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      mkuu bado hawajatoa, hata mm mwnyw nasubiria.

    12. #10
      myasis's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 371
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Mifugo for life. Ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku nk. Ndo wanao2weka mjini. Nabadilisha majani kuwa maziwa au nyama

    13. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,902
      Rep Power : 5058
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      Je Chuo cha nyuki yametoka?

    14. #12
      Mr.genius's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 368
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba kujua kuhusu vyuo vya mifugo

      namalizia general agriculture yangu nisome rasmi diploma ya mifugo

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...