Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 45
    1. #1
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 0
      Likes Received
      193
      Likes Given
      1

      Default Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
      nawasilisha!
      Jimjuls likes this.


    2. #21
      king roja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 387
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Bodi itatoa mkopo kwa zile kozi wanazohitaji na nazan kabla kutaka kuomba mkopo bodi ilishauri mtu aangalie priority na non priority. Na kuhusu swali na kuzaa ni bora mtu apange uzazi wake kulingana na kipato chake na si kutegemea kila mtoto ana riski yake. But kwa upande mwengine wapo pia wazazi waliopata mtoto mmoja tu na bado wanashindwa kumsomesha elimu ya juu na hii ni kutokana na system mbovu ya uchumi ya nchi yetu ambao hauwezi kumsaidia mwananch wa kawaida licha ya kauli mbiu ya Taifa ya maisha bora kwa kila Mtanzania

    3. #22
      PARRIE KIJIKO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd July 2012
      Posts : 87
      Rep Power : 365
      Likes Received
      11
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By DOMA View Post
      Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
      nawasilisha!
      mkuu,kuna EGM wamepata enginearing&archtecture na zina loan priority,kuna HGE&HGL&HGK wamepata LMV na ina priority,agrbuznec ya sua the same
      na pili tutambue maana ya neno non priority na priority kwanza,hazimainishi hukuna mkopo bt hakuna kipaumbele ktk utoaji wa mikopo

    4. #23
      chaani's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Wa2 wanachanganya mambo kama una div1 kwa mvulana na div1&2 kwa msichana unapata mkopo bila wacwac ila km una matokeo chini ya hapo na umedahiliwa hapo ndipo suala la vipaumbele huangaliwa maana yake hata kma una div3 but umekuwa admitted kwenye hizo course zenye priority utapata mkopo kwa viwango walivyoanisha suala la priority litakuja km huna matokeo niliyotaja hapo juu huo ndio ufafanuzi niliopata toka ofisi za bodi

    5. #24
      Geezzle's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th July 2012
      Posts : 124
      Rep Power : 371
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Kaka criteria za mwaka gan huo?!na umeconfirm kwa nan bod?!!

    6. #25
      Victor Kisanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 354
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By DOMA View Post
      Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
      nawasilisha!
      Nikurekebishe kidogo kwenye koz za education upande wa arts bodi inasema watapata mkopo "of not less than 50%" maana yake usiopungua asilimia hamsini, Sasa wewe unasema "of not more than 50%" usiozid asilimia hamsini. Hakuna kitu kama hicho hebu kasome vizuri Guidelines and criteria.


    7. #26
      Apex's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 379
      Rep Power : 422
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By chaani View Post
      Wa2 wanachanganya mambo kama una div1 kwa mvulana na div1&2 kwa msichana unapata mkopo bila wacwac ila km una matokeo chini ya hapo na umedahiliwa hapo ndipo suala la vipaumbele huangaliwa maana yake hata kma una div3 but umekuwa admitted kwenye hizo course zenye priority utapata mkopo kwa viwango walivyoanisha suala la priority litakuja km huna matokeo niliyotaja hapo juu huo ndio ufafanuzi niliopata toka ofisi za bodi
      kaka mkopo hauna relation na matokeo yako,dv 1 or 2 cyo gurantee ya mkopo,kama umesoma vzr hicho kipengele kilishafutwa kitambo baada ya kupigiwa kelele bungeni.

    8. #27
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 588
      Rep Power : 462
      Likes Received
      62
      Likes Given
      2

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Majuta tcu na ccm na tcu wanata watu wacende vyuo ili kukwepa lawama za ajira na wajiunge na kilmo kwanza

    9. #28
      mnoel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 53
      Rep Power : 355
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Perry View Post
      Tatizo watanzania,nyerere aliwalea kwa kuwadekeza sana,iweje mtu atake kuoa achangiwe zaidi ya 20milions,alafu mtu atake kusoma elimu ya juu tushindwe kuchangishana?inabidi tukumbuke kwamba dunia ya leo ni tofauti na dunia ya miaka 50 iliyopita,sio mtu anazaa watoto 10 ategemee eti serikari itawasomesha,inabidi mzazi ajipange hata kabla mtoto hajazaliwa,amwandalie budget ya kumsomesha tangu nursery mpaka chuo kikuu,serikari ina uamuzi wa kufadhili makundi ya watu itakao ona wana uhitaji kwa taifa kama madaktar,engineers,walimu na kilimo.hzo kozi zingne kama mtu anataka kuzisoma ajigharamikie mwenyewe bana,na ikumbukwe kwamba tanzania ya sasa ni sawa na iko kwenye mfumo wa uchumi wa kibepari ambapo mambo mengi ya kimaendeleo kama elimu yanafanywa na wananchi wenyewe na serikari inabaki kuwa msimamizi tu.ebu jaribuni kutembelea baadhi ya nchi kama kenya,uganda nk muone kama mikopo ya elimu ya juu inatolewa ovyo ovyo kama hapa tanzania inavyofanyika sasa,kule kwa wenzetu mikopo inatolewa kwa kozi ambazo serikari inaona zna uhitaji kwa mataifa yao.
      uko sahihi sana mkubwa,, that is the way it supose 2 be!

    10. #29
      mnoel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 53
      Rep Power : 355
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      mi naona 2ngepewa 2 angalau 0% ya accomodation then ada 2jilipie wenyewe maana ada ni ya kawaida haina shida! Shida ipo kwenye ela ya ku2mia!
      Angalau wange equalize wa2 wote wapate zero then wajilipie wenyewe ada kuliko kuwapa wa2 100%, 90% wakati wengine no loan at all! Hii ingeleta usawa na kuondoa mambo ya usayansi¡,
      cku hzi wa2 wanasoma kuangalia mkopo na cyo kile wanachokiweza!
      Heslb inabdi kuangalia hlo, maana mkopo ni kwa ajili ya watanzania waciojiweza na cyo kwa wanafunzi wa sayansi!

    11. #30
      Mbute na chai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 134
      Rep Power : 374
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Victor Kisanga View Post
      Nikurekebishe kidogo kwenye koz za education upande wa arts bodi inasema watapata mkopo "of not less than 50%" maana yake usiopungua asilimia hamsini, Sasa wewe unasema "of not more than 50%" usiozid asilimia hamsini. Hakuna kitu kama hicho hebu kasome vizuri Guidelines and criteria.
      true, kwa kufeli kuelewa criteria barabara hata ufaulu wake una mashaka.

    12. #31
      mazegenuka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 349
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      usitutishe wewe

    13. #32
      Disgusted's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Hivi huyu mdau aliyeleta hoja hii ya wanafunzi kukosa mikopo kaitoa wapi? anafanya kazi HESLB? Taarifa yake inaonekana ni ya mtaani. Sisi tumefuatilia hadi sasa Bodi haijatoa majina ya wale wanaopata mikopo na hata mwongozo ule wa mikopo haujasema chochote kuhusu suala hilo. Tusiwekane roho juu jama!

    14. #33
      Mzee Dogo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th November 2010
      Location : Kwetonge
      Posts : 215
      Rep Power : 479
      Likes Received
      16
      Likes Given
      19

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Nafikiri si sawa kuomba course kwa sababu tu mtu atapata mkopo, hebu kila mtu asome kitu anachoona ndo kitamfikisha kwenye ndoto zake--
      Life is never easy; it is always simple - Mantesh

    15. #34
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,121
      Rep Power : 617
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By Mzee Dogo View Post
      Nafikiri si sawa kuomba course kwa sababu tu mtu atapata mkopo, hebu kila mtu asome kitu anachoona ndo kitamfikisha kwenye ndoto zake--
      Unachokisema ni kweli,lakini kumbuka tatizo ni Pesa. Hakika mimi mwenyewe kama sio wafadhili wa nje na ndani walinisaidia,pengine hata elimu ya form 4 nisingeipata kama alivyoikosa dada yangu. Siwezi kulaumu sana,lakini hali ya wazazi ndivyo ilivyo. Nilihitimu form 6 mwaka jana,ilinilazimu kukaa mtaani mwaka mzima kwa kukosa mkopo baada ya kuchaguliwa program ya biashara ambayo ndiyo lilikuwa tamanio langu. Mwaka huu imenilazimu kuomba education ili nipate loan,nikiona vipi baadae ntabadili.
      Mzee Dogo likes this.

    16. #35
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,121
      Rep Power : 617
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By mnoel View Post
      mi naona 2ngepewa 2 angalau 0% ya accomodation then ada 2jilipie wenyewe maana ada ni ya kawaida haina shida! Shida ipo kwenye ela ya ku2mia!
      Angalau wange equalize wa2 wote wapate zero then wajilipie wenyewe ada kuliko kuwapa wa2 100%, 90% wakati wengine no loan at all! Hii ingeleta usawa na kuondoa mambo ya usayansi¡,
      cku hzi wa2 wanasoma kuangalia mkopo na cyo kile wanachokiweza!
      Heslb inabdi kuangalia hlo, maana mkopo ni kwa ajili ya watanzania waciojiweza na cyo kwa wanafunzi wa sayansi!
      kaka umetumia kigezo gani kupima uwezo wa kila mtanzania aliyeomba hii mikopo? Naamini hukushirikisha ubongo wako vyema. Kwa taarifa yako ni kwamba,mimi binafsi kama sio misaada niliyoipata,hata elimu ya form 4 nisingeipata. Sasa leo unashauri kwamba tupewe tu ela ya matumizi,na hii ada ya mil 1.6 mtu kama mimi ntaipata wapi? Na sio mimi pekee,naamini kuna watanzania wengine kama mimi. Naomba ukae tena chini,na uandike mambo yenye tija katika jamii,na sio kuangalia tu uwezo binafsi.

    17. #36
      Mzee Dogo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th November 2010
      Location : Kwetonge
      Posts : 215
      Rep Power : 479
      Likes Received
      16
      Likes Given
      19

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Quote By Msafiri Kasian View Post
      Unachokisema ni kweli,lakini kumbuka tatizo ni Pesa. Hakika mimi mwenyewe kama sio wafadhili wa nje na ndani walinisaidia,pengine hata elimu ya form 4 nisingeipata kama alivyoikosa dada yangu. Siwezi kulaumu sana,lakini hali ya wazazi ndivyo ilivyo. Nilihitimu form 6 mwaka jana,ilinilazimu kukaa mtaani mwaka mzima kwa kukosa mkopo baada ya kuchaguliwa program ya biashara ambayo ndiyo lilikuwa tamanio langu. Mwaka huu imenilazimu kuomba education ili nipate loan,nikiona vipi baadae ntabadili.
      Kaka nakubaliana na wewe lakini najaribu kuona namna kesho yetu itakavyokuwa na watu wenye elimu kubwa kwa fani wasizozipenda na wala hawana wito nazo, mfano wewe na biashara kama fani yako pendwa uende kupigisha watoto shule lazima elimu yetu ishuke sababu najua ni lazima utatamani hiyo shule uieguze biashara ili utimize ndoto zako--
      Life is never easy; it is always simple - Mantesh

    18. #37
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,121
      Rep Power : 617
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By Mzee Dogo View Post
      Kaka nakubaliana na wewe lakini najaribu kuona namna kesho yetu itakavyokuwa na watu wenye elimu kubwa kwa fani wasizozipenda na wala hawana wito nazo, mfano wewe na biashara kama fani yako pendwa uende kupigisha watoto shule lazima elimu yetu ishuke sababu najua ni lazima utatamani hiyo shule uieguze biashara ili utimize ndoto zako--
      hapo sina cha kusema,ila haya mambo yameshakuwa usanii mtupu. Ila kwa upande wangu,kama nikiwa mwalimu,ntaifanya kazi yangu kwa uaminifu. Nikiona nimeingia choo cha kike,ntabadili fani. Unayoyasema ni kweli kabisa.

    19. #38
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,437
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      150

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Quote By mnoel View Post
      mi naona 2ngepewa 2 angalau 0% ya accomodation then ada 2jilipie wenyewe maana ada ni ya kawaida haina shida! Shida ipo kwenye ela ya ku2mia!
      Angalau wange equalize wa2 wote wapate zero then wajilipie wenyewe ada kuliko kuwapa wa2 100%, 90% wakati wengine no loan at all! Hii ingeleta usawa na kuondoa mambo ya usayansi¡,
      cku hzi wa2 wanasoma kuangalia mkopo na cyo kile wanachokiweza!
      Heslb inabdi kuangalia hlo, maana mkopo ni kwa ajili ya watanzania waciojiweza na cyo kwa wanafunzi wa sayansi!
      mkuu kama unavyoelewa hali halisi ya tz kwa sasa!! ni ngum sana kuwafinance watu wote...na wanachotaka sasa ni kuchek zile areas ambazo hatuna wataalam wa kutosha mf engineers,wanakilimo,teachers, na madokta!!! sio kwamba wanapenda iwe hivyo ila ndo hali halisi...serikali imefulia...

    20. #39
      LORDVILLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Location : Imaginary island
      Posts : 1,437
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      150

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Quote By Msafiri Kasian View Post
      kaka umetumia kigezo gani kupima uwezo wa kila mtanzania aliyeomba hii mikopo? Naamini hukushirikisha ubongo wako vyema. Kwa taarifa yako ni kwamba,mimi binafsi kama sio misaada niliyoipata,hata elimu ya form 4 nisingeipata. Sasa leo unashauri kwamba tupewe tu ela ya matumizi,na hii ada ya mil 1.6 mtu kama mimi ntaipata wapi? Na sio mimi pekee,naamini kuna watanzania wengine kama mimi. Naomba ukae tena chini,na uandike mambo yenye tija katika jamii,na sio kuangalia tu uwezo binafsi.
      well said!!!

    21. #40
      Bs Zungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 347
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

      Hamna cha kufulia serikali inao uwezo mkubwa tu wakuwasomesha raia wake,pesa ngapi zinaliwa na mafisadi mabilion kwa matrilion izo pesa zingesomesha watoto wangapi? Tatzo watanzania tunakubaliana na kila kitu bila kuhoji kuna taarifa kuwa viongozi wa bodi ya mikopo wanalipwa hadi milion 12..kwa kazi gani hasa,inauma sana ukitaka kufatilia vitu kwa undani pexa zenyewe ni hizi za baba walipa kodi kati kuna wafanyabiashara wakubwa na vigogo wanakwepa kulipa kodi..ndia maana watanzania wengne wakpata nafasi ya kwenda nchi za nje hawataki hata kurudi nchini mwao..

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...