Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 26 of 26
    1. #1
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      Wana jf nahitaji kumjua ni nani mtanzania kutunukiwa uprofesa na ni mwaka gani!

    2. Miaka 50

    3. #21
      kasumbaleza's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 376
      Rep Power : 0
      Likes Received
      48
      Likes Given
      58

      Default

      Sio kweli, najua mtabisha lakini find out na utakuta kuwa "huyo Malima wenu" hata hiyo Doctorate ya
      SABABU MUISLAM

    4. #22
      Mr. Wise's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd July 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 358
      Likes Received
      7
      Likes Given
      23

      Default Re: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      Quote By bampami
      Atleast kidogo wewe unaonekana una akili na upo serious.Mtu anauliza swali wengine kazi yao ni utani 2.
      Just to Remind......HOME OF GREAT THINKER,,,,Let us think Big and contribute,if u don't know read and leave it.

    5. #23
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      wana jf mbona hamtoi majibu ina mana wote hamjui? au ili swali nilihamishe jamii intelijensi

    6. #24
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      Ni swali gumu sanaaaa kujua inahitaji watu waliomaliza zamaniiii

    7. #25
      ngonani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th August 2012
      Posts : 221
      Rep Power : 383
      Likes Received
      44
      Likes Given
      28

      Default Re: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      Quote By mpigamsuli
      Wana jf nahitaji kumjua ni nani mtanzania kutunukiwa uprofesa na ni mwaka gani!
      Proffesor Kanywanyi-Miaka ya mwanzo ya sitini

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Kudi Shauri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st November 2007
      Posts : 146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

      Quote By ngonani
      Proffesor Kanywanyi-Miaka ya mwanzo ya sitini
      Professor wa kwanza Watanzania naamini walikuwa Professors Arnold Temu and Isaria Kimambo in History. I think they became professors in early 1970s [1971?]. Before 1973 UDSM had the ranks of full Professor/Reader/Senior Lecturer/Lecturer/Assistant Lecturer. However from July 1973 this was changed to Full Professor/Associate Professor/Senior Lecturer/Lecturer/ Assistant Lecturer/Tutorial Assistant. Quite a number of people who were promoted to Associate professpor were called Professors. Kwa hiyo kuna haja ya ku tofautisha kama huyo uliyemtaja alikuwa Associate Professor or full Professor. Kulikuwa pia katika miaka ya 1974 mpaka 1981 watu walifanywa ma-professor kwa sababu ya mishahara yao - wengi wao walikuwa ni ma PS waliohamishiwa UDSM kutoka serikalini [e.g. Professors Machunda/ Kombo etc]. Baada ya 1981 vijana wadogo waliokuwa wanarudi kutoka masomoni nje ya nchi na PhD zao walishinikiza mfumo huo wa kuajiri ufutwe.
      SG8 likes this.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...