Wakuu nani anayo au anaijua cv ya mwanahabari nguli hapa Tanzania Bwana Saed Kubenea???
Naomba kama kuna mwenzetu mmoja humu ndani anayo ama anaweza kuipataatuwekee ili tumfahamu shujaa wetu huyu ni wa namna gani.
Nawasilisha.
Wakuu nani anayo au anaijua cv ya mwanahabari nguli hapa Tanzania Bwana Saed Kubenea???
Naomba kama kuna mwenzetu mmoja humu ndani anayo ama anaweza kuipataatuwekee ili tumfahamu shujaa wetu huyu ni wa namna gani.
Nawasilisha.
Siyo lazima kuwa class monitor kwanza background ndio uje kua activist mzuri ukubwani. Tokeni hapa.
B.A IN UCHONGANISH
B.SC IN UNAFIKI
Phd in uongo zote amepatia chuo kimoja kilichopo jehanamu
Mtu mnafiki anayeandaa mazingira ya kuingizwa zizini baada ya kuwatetea akina nanihii utamjua tu!
Follow Us Here