Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      kiogopeni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 358
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Hawa ndio wanaohusika na kutengeneza Mitihani, kuteua watunzi wa mitihani na kuchagua wasahihishaji.


      s/n SOMO WARATIBU WAKRISTO WARATIBU WAISLAMU JUMLA
      1 UALIMU 5 2 7
      2 HISTORY 2 0 2
      3 GEOGRAPHY 1 0 1
      4 BIOLOGY 2 0 2
      5 ENGLISH 2 0 2
      6 PHYSICS 1 1 2
      7 CHEMISTRY 3 0 3
      8 KISWAHILI 1 1 2
      9 MATHS 3 0 3
      10 BIASHARA 0 1 1
      11 UFUNDI 4 3 7
      12 MAPISHI 1 0 1
      13 CIVICS 2 1 3

      Lazima tubadilishe hali hii. Edwin Mtei kasema maamuzi ya mtu huathiriwa na Imani yake. Hivi waislamu watapona kweli.
      Wakuu wa Idara Wapo Watano.

      1. Kitali –Mkristo
      2. Mafie- Mkristo
      3. Mbowe- Mkristo
      4. Haule- Mkristo
      5. Salim- Mwislamu


      Mkurugenzi – Ndalichako – Mkristo
      Mkurugenzi Msaidizi- Jina Limenitoka- Mkristo.

      Hata ukisikia wanadai kosa lilikuwa la kibinadamu la kuficha alama za waislamu, kwa mtazamo wangu naona hawa ni waongo.
      Haya wanajf kolezeni ili kuleta utengamano nchini. Changie kwa uangarifu na uerewa sana
      zomba and mfumo like this.


    2. #2
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 756
      Rep Power : 603
      Likes Received
      273
      Likes Given
      86

      Default re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      waislam huo ndio mwisho wenu wa kufikiri. Nipo na mwanangu wa miaka mitatu nimemuonyesha uzi huu ameshangaa sana. Amenishukuru kumlea kuwa mkristo la sivyo angekuwa na akili kama za alie post.

    3. #3
      king rockie ATL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 262
      Rep Power : 467
      Likes Received
      22
      Likes Given
      42

      Default re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Nenda na propaganda zako za uislamu,na ingefaa jf wamtoe kabisa huyu jamaa kazidi uchochezi! Think greatly!
      saimon111 likes this.

    4. #4
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,176
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      kiogopeni, mkuu ukilala ukiamka wewe ni udini tu,shughulisha hata ubongo wako kidogo

    5. #5
      Kamanda Moshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 549
      Rep Power : 473
      Likes Received
      224
      Likes Given
      52

      Default

      udini utakuua wewe.hapa si mahali pako nenda kwenye ile radio yenu ndo patakufaa.
      Kama ulidhan una hoja ungeanza kwa kuweka data idadi ya wasomi na wataalamu kwa dini zote mbili kisha ndio ungeuliza hili swali.waislamu kwa mtindo huu mtaendelea kulalamika miaka nenda miaka rudi.someni acheni kutengeneza chuki kwenye jamii.


    6. #6
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 960
      Rep Power : 693
      Likes Received
      116
      Likes Given
      145

      Default re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!

    7. #7
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,691
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      1159
      Likes Given
      1601

      Default re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Wakati nyie mwalalamika bila kufanya kazi, wenzenu wanazidi kufungua vyuo vikuu karibia kila mkoa sasa. Kuna jamaa aliwahi kutunga utenzi huu kuwa
      "Sitting and wishing does not make a person,
      God has thrown the bait,
      you must go fishing,
      If you go hungry do not blame anyone,
      It is because you are lazy!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    8. #8
      Kamanda Moshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 549
      Rep Power : 473
      Likes Received
      224
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Kilembwe View Post
      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!
      Mkuu nakupa Tano. Asante sana,mie nimesoma na Marafiki zangu 4 India ambao ni waisilamu, Je ndalichako na huu mfumo kristo anaousema hapa hawakujua mpaka wakawapa hizo nafasi za kwenda kusoma nje?remember hii nafasi tulipewa na serikali ya Tanzania through wizara ya elimu...kwa kifupi mkuu kama wasilamu wote wangewaza kama wewe Tanzania yetu ingesonga mbele kwa haraka zaid.asante mkuu kwa uelewa pasi na shaka!jamani tuache kueneza chuki kwa jamii!
      Mzalendo JR likes this.

    9. #9
      kiliochangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd February 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 391
      Likes Received
      11
      Likes Given
      8

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Quote By kiogopeni View Post
      Hawa ndio wanaohusika na kutengeneza Mitihani, kuteua watunzi wa mitihani na kuchagua wasahihishaji.


      s/n SOMO WARATIBU WAKRISTO WARATIBU WAISLAMU JUMLA
      1 UALIMU 5 2 7
      2 HISTORY 2 0 2
      3 GEOGRAPHY 1 0 1
      4 BIOLOGY 2 0 2
      5 ENGLISH 2 0 2
      6 PHYSICS 1 1 2
      7 CHEMISTRY 3 0 3
      8 KISWAHILI 1 1 2
      9 MATHS 3 0 3
      10 BIASHARA 0 1 1
      11 UFUNDI 4 3 7
      12 MAPISHI 1 0 1
      13 CIVICS 2 1 3

      Lazima tubadilishe hali hii. Edwin Mtei kasema maamuzi ya mtu huathiriwa na Imani yake. Hivi waislamu watapona kweli.
      Wakuu wa Idara Wapo Watano.

      1. Kitali –Mkristo
      2. Mafie- Mkristo
      3. Mbowe- Mkristo
      4. Haule- Mkristo
      5. Salim- Mwislamu


      Mkurugenzi – Ndalichako – Mkristo
      Mkurugenzi Msaidizi- Jina Limenitoka- Mkristo.

      Hata ukisikia wanadai kosa lilikuwa la kibinadamu la kuficha alama za waislamu, kwa mtazamo wangu naona hawa ni waongo.
      Haya wanajf kolezeni ili kuleta utengamano nchini. Changie kwa uangarifu na uerewa sana
      none sense! wawekee watu na data za CV za hao uliowaweka, ili wajue hata waliopo wamebebwa tu.
      endelea na Upumbavu wako, wenzako wako katika vikao vya kufungua vyuo vikuu zaidi ili kuongeza maarifa.
      Au umesahau ni dunia ya utandawazi huu, kinathaminiwa unachojua na kuweza kutenda na sio dini yako, Shame on you

    10. #10
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,577
      Rep Power : 42530
      Likes Received
      5091
      Likes Given
      4370

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Ndo matatizo ya kwenda CHUO ukiwa na miaka mitano! endeleeni kulia wenzenu wanatenda!

    11. #11
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,577
      Rep Power : 42530
      Likes Received
      5091
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By Kilembwe View Post
      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!
      Yuko wapi? AMEKIMBIA

    12. #12
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,555
      Rep Power : 1066
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      621

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Quote By Kilembwe View Post
      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!
      Unajua mie nimesoma na waislamu hadi chuo kikuu tumekuwa tukishirikiana nao vizuri na hata kazini sioni tofauti...Ninawashangaa hawa wa JF ...Nadhani wapo kuwaharibia waislamu wa ukweli waliosoma wakaelimika na ....Kuweni wakali kuwaambia wazi wasiidhalilishe dini yenu na kuwafanya muonekane kuwa hamna hata uwezo wa kufikiri....Nimependa msimamo wako if at all wewe ni muislamu...
      nkyalomkonza likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    13. #13
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Waisilamu kama wewe mleta mada mko na akili gani?? kuna mmoja wenu Facebook kapost eti waisilamu msishiriki sensa!! kweli hii ni akili kweli???
      Wakristo wanahangaika kubolesha elimu kwa kusomesha na kuleta taasisi za elimu ila nyie mmelalia kupeleka vijana madrasa kusoma kiarabu masaa 8 kati ya 24 mnategemea mfaulishe kweli??? Kama alivyo sema mchangiaji hapo juu weka na CV za hao waislamu tuone kama wanastaili kuwa hapo!! sio unaleta taarifa pungufupungufu!! Ishaaalah natumai ujumbe umefika

    14. #14
      king rockie ATL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 262
      Rep Power : 467
      Likes Received
      22
      Likes Given
      42

      Default

      [QUOTE=NingaR;4216248][b][color=purple]Waisilamu kama wewe mleta mada mko na akili gani?? kuna mmoja wenu Facebook kapost eti waisilamu msishiriki sensa!! kweli hii ni akili kweli???
      Wakristo wanahangaika kubolesha elimu kwa kusomesha na kuleta taasisi za elimu ila nyie mmelalia kupeleka vijana madrasa kusoma kiarabu masaa 8 kati ya 24 mnategemea mfaulishe kweli??? Kama alivyo sema mchangiaji hapo juu weka na CV za hao waislamu tuone kama wanastaili kuwa hapo!

      waambie bwana wanaboa!

    15. #15
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1394
      Likes Received
      977
      Likes Given
      182

      Default

      Quote By Kilembwe View Post
      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!
      umenena kaka huyo ni mpuuzi mmoja nina marafiki wengi waislamu nasoma nao chuo na natambua uwezo mkubwa

    16. #16
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 960
      Rep Power : 693
      Likes Received
      116
      Likes Given
      145

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Quote By Mkirua View Post
      Unajua mie nimesoma na waislamu hadi chuo kikuu tumekuwa tukishirikiana nao vizuri na hata kazini sioni tofauti...Ninawashangaa hawa wa JF ...Nadhani wapo kuwaharibia waislamu wa ukweli waliosoma wakaelimika na ....Kuweni wakali kuwaambia wazi wasiidhalilishe dini yenu na kuwafanya muonekane kuwa hamna hata uwezo wa kufikiri....Nimependa msimamo wako if at all wewe ni muislamu...
      Mkuu sina sababu ya kujisingizia Uislam, mimi ni Muislam wa "kuzaliwa" nikiwa na maana kuwa nimezaliwa kwa baba na mama Waislam na hata Madrasa nilisoma pia, so nilichokisema ni kweli kinatoka moyoni!

    17. #17
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1253
      Likes Given
      538

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Kwa elimu bora waliyo nayo wakristu watakuwa wanawaongoza mpaka muingie kaburini. Nyie mnabaki kupiga domo wao wanasonga mbele kufungua shule zenye vifaa kuanzia nursery hadi Chuo kikuu nyie mnawaza madrasa ambayo hadi sasa mtoto anatoka kaputi. Nimesoma na waislam na hawajawahi kunipita katika mtihani milele!!! Kwa usomi wa wakristu ni lazima taifa hili liongozwe na wakristu!!! Huoni ndugu yenu alipo loose step kwa kuwapachika kila kona ya taasisi na mambo ni dhaifu na hovyo tu? Ukweli uko wazi, badilisheni mtazamo na mtafanikiwa na si vinginevyo? Nilishawahi kuwaambia siku moja hapa kuwa nilisoma nje na darasa lile (Masters) lilikuwa na wanafunzi toka nchi za kiislam ikwemo Nigeria wanaojidai wajanja. Nakuambia kabla hatujamaliza wanafunzi zaidi wa 12 wote waislam walidisco na wengine waliondoka kabla ya mitihani!!!! Je kule nako kulikiwa na waalim wakristu? Wazungu wale hawana dini na sidhani kama kweli waliamua kuwapa F ili tu waondoke warudi makwao. Hadi mtu unajiuliza huyu kweli alisomaje kwao hadi A level na University (first degree????). Kazi kwenu mnabaki kujadili mambo dhaifu mnaacha kuadili namna ya kusonga mbele kielimu na kuchapa kazi, hata ofisini nyie ni legelege sana, yaani kazi za mitulinga hamuwezi ni laini laini tu kama kustadi!!!
      Mzalendo JR likes this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    18. #18
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1253
      Likes Given
      538

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Quote By Kilembwe View Post
      Jamani wana JF nauomba tuchangie mada hii kwa kumtazama mleta Thread kwa mapungufu yake na wala si uislam, mimi ni muislam na ninamshukuru Mungu ninaelimu nzuri tu tena sana na nimeipata katika mfumo huu huu, na hii iliwezekana tu kwa kufuata mafundisho ya Uislam kuwa "Itafuteni elimu hata kama ni Uchina"! So si kweli kuwa waislam wote tunamapungufu haya ni wachache tu ambao hawataki kushughulisha akili zao kufikiri na hao ndio wanaofanya UISLAM na WAISLAM tutukane kila wanapoleta mada zenye hoja za kitoto humu! hivi wameishajiuliza kwanini matokeo ya seminari ya kiislam ya Kilinjiko ni mazuri! au huyo Ndalichako hajui kama Kilinjiko ni seminari ya Kiislam? Tafadhali mleta mada hebu fanya homework yako kwanza kabla ya kuja kututukanisha hapa!
      Mkuu umesahau kuwa Kilinjiko iko Kilimanjaro na sifa ya mkoa huo kiakili inajulikana, wamezoa kusoma kwa tabu na kutumia ufahamu kwa mambo ya kujiendeleza. Kule Kilimanjaro hakuna kudekea elimu, wao wanaitafuta kwa kuwa walishajua kupitia maneno ya Mungu kuwa "Ikamateni sana Elimu.....). Nyie Quran inasemaje kuhusu elimu dunia?
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    19. #19
      saimon111's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 157
      Rep Power : 394
      Likes Received
      22
      Likes Given
      226

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      ndio hata kama mpo wachache we unataka nini....? tena if possible hata hao watolewe..
      shirikisha ubongo hata siku moja moja sio kila siku unapost pumba zako tu

    20. #20
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 447
      Likes Received
      123
      Likes Given
      39

      Default Re: Wahusika Katika shughuli nzima ya NECTA

      Duh!! Huu ni ukame wa mawazo.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...