Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kazi ipo tcu mwaka huu!!!

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 69 of 69
    1. #1
      Perry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 1,337
      Rep Power : 724
      Likes Received
      177
      Likes Given
      14

      Default kazi ipo tcu mwaka huu!!!

      kuna kozi moja ya sua inaitwa agro-economics and busness,jumla ya wanafunz walio aply ni 3391,ambao wako eligible ni 2896,walio iweka kama 1st choice ni 890.....kazi ipo hapo mwaka huu.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Perry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 1,337
      Rep Power : 724
      Likes Received
      177
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By zenmoster
      WEWE kijana.. hujasalimika bado coz watu walio apply kama second choice nao watakuwa considered.. ni ivi kama mtu aliye apply 2nd choice hakuweza ku withstand competition.. atashushwa kwenye hiyo course yako ashindane na nyie mlioapply kama 1st choice... hivyo hivyo na kuendelea mpaka watu wote wapate course zao kwa vugezo sawa ambavyo ni SURVIVAL FOR THE FITTEST...
      mkuu,mim nilikua nadhan kama kozi inahitaji watu let say 100,na walio omba kama 1st choice ni 100,mimi nadhani hapo hapatakua tena competition kwa sababu watachukuliwa hao 100 walio weka kozi huska kama 1st choice na mchezo unaishia hapo!

    4. #62
      elank54's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Posts : 427
      Rep Power : 477
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By NingaR
      Jamani hali ni tete kuna jamaaa ana II.10 kaomba Civil UDSM na ARDHI sasa hiyo competition yake ni nowma
      UDSM ni 24xx aplicants While 18xx wako eligible na walio eligible na kuweka 1st choice ni kama 8xx while admission capacity ni 160,
      sasa ARDHI ndo nisiongelee kabisaaaa sababu hali ni mbaya zaidi ya UDSM.
      Walio omba UDOM wanauwezekano mkubwa wa kupata Nimeangalia kozi kama mining engineering kuna 465 applicants, 386 eligible, 163 1st choice na admission capacity ni 45
      pia Petroleum engineering kuna 328 aplicants, 138 eligible, 6 1st choice na admission capacity ni 45. hapa mtaona jinsi gani UDOM ambavyo haipendwi but walio omba wana uwezekano mkubwa wa ku pata admission.
      TUMUOMBE MUNGU JAMANI, hali ni TETE
      Ebana eeeh!!! Naanza sala mara 7 kwa siku sasa

    5. #63
      Geofrey_1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 271
      Rep Power : 481
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default Re: kazi ipo tcu mwaka huu!!!

      Quote By zenmoster
      huyo mwenye div2.10 sijui kwakweli UDSM??? yuko kwenye hati hati course hadi sasa scul kwangu PCM walio apply civil ni 58 na kati ya hao 52 wana div 1... shule ziko kibao na PCM wengi wamepata div 1...hata ARDHI daaa ni balaa tupu... amuombe mungu amsaidie ndicho kilichobaki
      hiv mwenye one ya 8 anaweza kukosa finance udsm kweli
      !!gams "G" baby!!

    6. #64
      sop sop's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 522
      Rep Power : 422
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: kazi ipo tcu mwaka huu!!!

      heb nisaidien jinsi ya kujua hzo idadi ya competitors kwenye coz uliyojaza

    7. #65
      ze duduz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 590
      Rep Power : 473
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default Re: kazi ipo tcu mwaka huu!!!

      Mmh mi kimya nasubilia hiyo selection maana hali b'ado tete kwa vyuo nilivyo apply

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: kazi ipo tcu mwaka huu!!!

      vijana kazi mnayo,naona ngoma nzito kabisa...

    10. #67
      ze duduz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 590
      Rep Power : 473
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Leonard Robert
      vijana kazi mnayo,naona ngoma nzito kabisa...
      kweli kaka kwa maana hizo people zilivyo apply ni kwikwi kweli leo nimeamini ule msemo unaosema 'Dar-es-salaam' kunapendwa

    11. #68
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By zenmoster
      huyo mwenye div2.10 sijui kwakweli UDSM??? yuko kwenye hati hati course hadi sasa scul kwangu PCM walio apply civil ni 58 na kati ya hao 52 wana div 1... shule ziko kibao na PCM wengi wamepata div 1...hata ARDHI daaa ni balaa tupu... amuombe mungu amsaidie ndicho kilichobaki
      Hali ni tete Mkuu!! ngoja tusubiri tuone

    12. #69
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By elank54
      Ebana eeeh!!! Naanza sala mara 7 kwa siku sasa
      Fanya mara 9 kabisa!! ila kama. umefaulu fresh Tegemea selection.

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...