Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Don David's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Location : Arusha
      Posts : 173
      Rep Power : 409
      Likes Received
      25
      Likes Given
      80

      Default Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

      jaman brothers and sister naomba mtu yoyote mwenye kuelewa tofauti kati ya hivi vitu viwili anieleweshe maana naona kama vinanichanganiya kidogo na ipi kati ya hizo ni nzuri zaidi..
      Asanteni.


    2. #2
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,500
      Rep Power : 862
      Likes Received
      392
      Likes Given
      79

      Default Re: Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

      Search hapa Jf kuna mtu aliuliza swali kama lako na kujibiwa kwa ufasaha zaidi.
      Kwa kifupi bachelor of engineering ina base kwenye practical zaidi na theory kidogo while bachelor of science in...........engineering ina base kwenye theory na practical kidogo. Bachelor of Engineering hutolewa katika technical colleges kama DIT,AIT na MIT.
      Last edited by NingaR; 30th June 2012 at 19:34.

    3. #3
      mtanzania1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2010
      Posts : 383
      Rep Power : 537
      Likes Received
      80
      Likes Given
      347

      Default Re: Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

      Quote By Don David View Post
      jaman brothers and sister naomba mtu yoyote mwenye kuelewa tofauti kati ya hivi vitu viwili anieleweshe maana naona kama vinanichanganiya kidogo na ipi kati ya hizo ni nzuri zaidi..
      Asanteni.
      Bsc in ina deal zaidi na WHY questions ( Theories na designing ) wakati B in eng ina deal zaidi na HOW questions ( How to operate vifaa )
      Kuhusu ipi ni bora , hiyo ni subjective issue , kila mtu ana preference yake , ila binafsi kwa maoni yangu ,bsc in zinazingua kibongo bongo sababu inahitaji ufundishaji bora na vifaa vingi ambavyo havitoshelezi katika vyuo vyetu unless uwe una struggle kivyako pembeni

    4. #4
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 459
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

      Kama unataka kuwa "engineer makaratasi"basi chukua Bachelor of science in...na kama unataka skilled hands,Bachelor of Engineering in...Tofauti imebase kwenye practicals and theories kama NingaR alivyosema hapo juu.

    5. #5
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 623
      Rep Power : 468
      Likes Received
      111
      Likes Given
      7

      Default Re: Msaada:tofauti kati ya bachelor of science in.. na bachelor or engineering in..

      bachelor of science ni engineer uchwala au maneno mengi na karatasi ila kazi huwezi
      bachelor engineer ni engineer ambaye yupo compitent both theory and practical utachagua mwenyewe


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...