Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,022
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

      katika hali isiyokuwa ya kawaida semina ya walimu wa sayansi na hesabu iliyokuwa ikiendelea jijin dsm imevunjika baada ya walimu hao kulipwa tsh 15,000 per badala ya 45,000 per day kama walaka unavyo elekeza,inasadikika kuwa ofisi ya REO imechakachua kiasi kikubwa cha pesa na kuwaacha walimu hao wakiambulia 15000 tu,sambamba na hilo semina hiyo ilikuwa ikiendeshwa katika mazingira magumu ikiwa ni pamoja nahuduma mbaya za chakula na vifaa duni vya kuendeshea mafunzo hayo.hivyo basi walimu wote kwa umoja wao waliamua kuyasusia mafunzo hayo huku uongozi wa elim wa mkoa usijue nini cha kufanya.
      my take;
      inchi hii inakwenda wapi uchakachuzi kila idara.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,763
      Rep Power : 1627
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default Re: semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

      Wapuzii walimu wamezidi kuhemea POSHO.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    4. #3
      kinya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2009
      Posts : 315
      Rep Power : 585
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

      Kibanga Ampiga Mkoloni toa hoja na njia mbadala si kutumia kauli kali au wewe ndio REO mnufaika na kinacholalamikiwa?

    5. #4
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

      Hebu tizama tofauti hii ya kutisha ya viwango vya mishahara kwa watumishi wa umma wa tz! (ajira mpya cheti) mwl 244,400/= afya 472,000/= kilimo/mifugo 959,400/= sheria 630,000/= diploma mwl 325,700/= afya 682,000/= klm/mfg 1,133,600/= sheria 871,500/= degree mwl 469,200/= afya 802,200/= klm/mfg 1,354,000/= sheria 1,166,000/= je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo ktk utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, teaching allowance, hardship allowance.
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    6. #5
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: semina ya walimu wa sayansi dar yavunjika.

      hiyo 30,000 itakua imekatwa kwene chakula/malazi n.k. ndio 'ujasiriamali' wa wabongo (utapeli)..mie sihudhurii semina-elekezi yeyote mpaka nikatiwe changu, hakuna sababu ya kuwa kitoweo cha 'wajasiriamali' uchwara bila sababu.
      Moola's the motive

    7. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...