Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada;Idadi ya course za kujaza kwenye CAS

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Don David's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Location : Arusha
      Posts : 173
      Rep Power : 405
      Likes Received
      24
      Likes Given
      80

      Default Msaada;Idadi ya course za kujaza kwenye CAS

      Poleni na Majukumu.
      Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo la saba wameniambia not eligible,,sasa ja naweza kuiacha hivyo hivyo au ni lazima kuibadilisha.
      William wa Ukweli likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By Don David
      Poleni na Majukumu.
      Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo la saba wameniambia not eligible,,sasa ja naweza kuiacha hivyo hivyo au ni lazima kuibadilisha.
      Sio lazima kubadirisha japokua ni MUHIMU

    4. #3
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Msaada;Idadi ya course za kujaza kwenye CAS

      Hyo ambayo ni not eligible ni kozi gani na ya chuo gani?

    5. #4
      Don David's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Location : Arusha
      Posts : 173
      Rep Power : 405
      Likes Received
      24
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Senetor
      Hyo ambayo ni not eligible ni kozi gani na ya chuo gani?
      ni BAF ya Mzumbe

    6. #5
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Don David
      ni BAF ya Mzumbe
      una division ngapi?

    7. Miaka 50

    8. #6
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 957
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      677

      Default Re: Msaada;Idadi ya course za kujaza kwenye CAS

      Quote By Don David
      ni BAF ya Mzumbe
      weka cursor penye neno NOT ELIGIBLE utaona ni kwa nini hu qualify then nenda kwenye Guide Book chagua kozi ingine unayo qualify - angalia cut off points na hasa level ya kufaulu kwa masomo (principals ngapi na katika masomo gani in particular) kunakotakiwa na chuo husika. unaweza badilisha kozi lakini sometimes unaweza ambiwa ku clear choice zote, logout, login na ujaze zote tena na usubirie ikiwa in progress ku check.

    9. #7
      Nyaluhusa87's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : KIMARA MWISHO
      Posts : 706
      Rep Power : 525
      Likes Received
      56
      Likes Given
      25

      Default Re: Msaada;Idadi ya course za kujaza kwenye CAS

      Quote By Don David
      Poleni na Majukumu.
      Mimi naomba kuuliza kuhusu idadi ya course za kujaza kwenye CAS sababukwenye kitabu cha TCU wameandika ziwe sita au zaid lakini zisizidi nane,,mimi hapa nilijaza saba na chaguo la saba wameniambia not eligible,,sasa ja naweza kuiacha hivyo hivyo au ni lazima kuibadilisha.
      Idadi ya course ni 8 ila unaweza ukapunguza kutokana na unavyopendelea....na kuhusu hiyo ya not eligible inamaana haujafikia vigezo na masharti yaliyowekwa so,inabidi uibadilishe kwa kuangalia tena tcu student guide book ili uangalie iliyoweza kukizi vigezo vyao kutokana na ufaulu wako ndo ujaze
      Goodluck

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...