Re: Bajeti iliyowasilishwa haijali Maskini wa ukweli hata kidogo
ccm wameanza sarakasi, R.Ndansa anaunga mkono 100% budget, lakini analalamika bei ya pamba, matumizi hewa, miradi ya mabilioni imekuwa kama vichochoro za pesa kupitia, anafannanisha takukuru na vinyago vya kwenye majaruba, ndege wanakuja watua kwenye mabega kama hakitikisiki wanaanza kula mpunga.
pia anaponda usalama wa taifa.
Ajabu kweli, utaungaje mkono 100% arafu unalalamika zaidi ya 90%. aibu tupu
Arusha ni mwanga wa TUMAINI jipya
Follow Us Here