Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      Kijamba Koti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 353
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Haya haya wadau,nimeamua kuleta mada hii baada ya kujitokeza kaubishani kidogo somewhere juu ya nani zaidi katika sekta ya ICT kati ya IT geek,injinia wa computer,mwanasayansi wa computer au injinia wa mawasiliano(telecom)!Kama wewe ni mmoja wapo hapo au una mchango wowote,hebu funguka with SCHOOLED FACTS and tell me who's the best and why?

    2. Miaka 50

    3. leh
      #2
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 682
      Rep Power : 773
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM) na nilichagua hii course coz ninajua zaidi kuhusu hardware (ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) na nilikwepa Electronic Science and Communication mainly coz mitandao na minara dont interest me
      nina hata mmoja that i think ni better than nyingine?? hapana, i think zote more or less ni the same ni branches tofauti tu za ICT. ni sawa na kufananisha corporate na criminal law. ziko tofauti, lakini huwezi sema moja ni ngumu kuliko nyingine kwasababu basics ni the same
      i hope nimesaidia
      ommy15 likes this.
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    4. #3
      Cheche Mtungi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th November 2010
      Location : POPOTE NIPO
      Posts : 737
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7
      Likes Given
      6

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Quote By leh
      nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM) na nilichagua hii course coz ninajua zaidi kuhusu hardware (ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) na nilikwepa Electronic Science and Communication mainly coz mitandao na minara dont interest me
      nina hata mmoja that i think ni better than nyingine?? hapana, i think zote more or less ni the same ni branches tofauti tu za ICT. ni sawa na kufananisha corporate na criminal law. ziko tofauti, lakini huwezi sema moja ni ngumu kuliko nyingine kwasababu basics ni the same
      i hope nimesaidia
      Mbona haeleweki mtu mwenyewe?
      1.ANASEMA - nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM)- ambayo more than 80% ni software
      2.ANASEMA-(ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) sawa
      SASA SWALI LAKO NI LIPI?

    5. #4
      amkawewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 747
      Rep Power : 525
      Likes Received
      119
      Likes Given
      534

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Miye nafikiri muhimu ni mtu akitoka hapo anaenda kudeliver nini kwenye market. Watu wengine wamesoma pharmacy but wana passion na programming wakaanza kujisomea na akawa gwiji. It depends on individual interest, exposure to the market, nature of job that person is assigned to do.
      blackberry m likes this.

    6. #5
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Angalia hii copy and paste unaweza kupata jibu maana inaonekana haujui unazunumzia kitu gani...
      ***************
      IT vs ICT

      IT (Information Technology) refers to an entire industry that uses computers, networking, software and other equipment to manage information. Modern IT departments in large companies are equipped with computers, DBMS (Database Management Systems), servers and security mechanisms for storing, processing, retrieving and protecting information of the company. ICT (Information Communications Technology) is a term widely used in the context of education. Even though there is no universally accepted definition for ICT, it mainly refers to utilizing digital technologies such as computers, television, email, etc to help individuals or organizations to use information.

      What is IT? IT refers to an entire industry that uses computers, networking, software and other equipment to manage information. Generally, IT departments are responsible for storing, processing, retrieving and protecting digital information of the company. For achieving these tasks, they are equipped with computers, DBMS, servers and security mechanisms, etc. Professionals working in IT departments range from system administrators, database administrators to programmers, network engineers and IT managers. When executing a business, IT facilitates the business by providing four sets of core services. These core services are providing information, providing tools to improve productivity, business process automation and providing means to connect with customers. Currently, IT has become an essential part in business operations and has provided lot of job opportunities worldwide. Knowledge in IT has become essential to succeed in the workplace. Typically, IT professionals are responsible for a range of duties including simple tasks such as installing software to complex tasks such as designing and building networks and managing databases.

      What is ICT? As mentioned earlier, ICT is a term widely used in the context of education. Even though there is no universally accepted definition for ICT, it mainly refers to utilizing digital technologies such as computers, television, email, etc to help individuals or organizations to work with digital information. ICT can be seen as an extended synonym for IT. Therefore, ICT can be seen as an integration of IT with media broadcasting technologies, audio/ video processing and transmission and telephony. The term ICT first came in to picture in 1997 in a report prepared by Dennis Stevenson for the UK government. Recently, the term ICT has been used to refer to integrating telephone and audio/ visual networks with computer networks. This integration has provided large savings of costs due to the elimination of telephone networks.

      What is the difference between IT and ICT? IT refers to an entire industry that uses computers, networking, software and other equipment to manage information, whereas ICT can be seen as an integration of IT with media broadcasting technologies, audio/ video processing and transmission and telephony. Therefore, ICT can be seen as an extended acronym for IT. The term ICT is widely used in the context of education, whereas IT is a term widely used in the industry. In addition, recently, ICT is also used to refer to the integration of telephone and audio/ visual networks with computer networks. In simplest terms, ICT can be seen as the integration of information technology with communication technology.



      Mr.Professional and stephot like this.

    7. Study Abroad

    8. #6
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,042
      Rep Power : 691
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Easy young one: Kichwa katika fani yoyote duniani ni yule atakayetumia KNOWLEDGE aliyopata kubuni SOLUTION itakayoipeleka jamii yake na akaunti yake mbele.
      blackberry m likes this.

    9. #7
      Kwetu Iringa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 339
      Rep Power : 465
      Likes Received
      54
      Likes Given
      595

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Quote By mbara
      Mbona haeleweki mtu mwenyewe?
      1.ANASEMA - nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM)- ambayo more than 80% ni software
      2.ANASEMA-(ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) sawa
      SASA SWALI LAKO NI LIPI?
      Ameeleweka vizuri sana tena sana, labda wewe ndiyo tatizo!!!

    10. #8
      Sunshow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 517
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Unaposema ICT unaongelea IT pamoja na Telecomunication. Hivyo mtu akisoma computer science basically anasoma sehemu mojawapo ya ICT kama computer programing, networking n.k na kuna course kama MODULATION na SIGNAL PROCESSING ambazo pia ni sehemu ya ICT na hazifundishwi kwa wanasayansi wa computer bali Telecom engineer pekee. Hivyo hakuna zaidi.
      Last edited by Sunshow; 10th June 2012 at 16:30.

    11. #9
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,885
      Rep Power : 5055
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      2627

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      bingwa wa ict ni mtu wa certificate ya computer wa veta.

    12. #10
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      mie nimechukua bsc in comp science pale udsm na kwa kweli kwa kozi za ict tuko juu sana ukilinganisha na computer engineering ambao wako kimadesa zaidi.. ndio maana kulikua na mpango wa kiziunganisha hizi kozi kwa sababu imeonekana comp enginnering is no more engineering ila ni kuzalisha wataalamu makaratasi
      il akiukweli ukiwachukua watu wa comp engineering wengi wao ni weupe mno hata katika mazingira ya kazi kutokana na kuwa watu wa kucrame sana..

      ki ujumla comp science ni balaa mukubwa..
      telecom hamna kitu pale siku hizi hata kwenye kazi hakuna sehemu wanayo fit wengi wanafanya kazi za ku install untivirus tu mtaani hawana jipya

      sory for biasy

    13. #11
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      wataalamu na Software Engineering Mnaidadavua vipi?

    14. #12
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 455
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By NingaR
      wataalamu na Software Engineering Mnaidadavua vipi?
      Engineers Registration Board wanaitambua hii?Isije ikawa kama Bcom ya UDOM

    15. #13
      Mr.Professional's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Location : Dar
      Posts : 1,491
      Rep Power : 735
      Likes Received
      206
      Likes Given
      92

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Bora ni yule anayeweza kutumia alichopata darasani kwa ajili ya kutatua matatizo anayokutana nayo katika jamii inayomzunguka.
      for further assistance please press "CTRL + W"

    16. leh
      #14
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 682
      Rep Power : 773
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Quote By mbara
      Mbona haeleweki mtu mwenyewe?
      1.ANASEMA - nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM)- ambayo more than 80% ni software
      2.ANASEMA-(ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) sawa
      SASA SWALI LAKO NI LIPI?
      yeah, mi mwenyewe nimepitia post yangu nikaona kosa na nilikitaka nijirekebishe. ndio, ninafanya comp science coz ya interest in software not hardware. samahani kwa any misunderstanding iliyotokea. haraka haraka za kuchapa alafu unasahau kuproof read
      thanx mbara kwa kuliona kosa
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    17. #15
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,082
      Rep Power : 41561
      Likes Received
      5982
      Likes Given
      1051

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      GIGO ROTFL.

      Why can't I post in all caps by default when it's appropriate?

      Kichwa wa IT nipe jibu hapo.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    18. #16
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Mtaniwia rdha wanaJF, sidhani kama JF iko katika kiwango cha mada hii, nadhani mada haina tija yoyote, hata mantiki tu hakuna; Kila mtu ni muhimu katika eneo alosomea hakuna bora au nusu bora kama unavyotaka kuiweka mada yako.

    19. #17
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Quote By leh
      nafanya Bsc. in Computer Science (UDSM) na nilichagua hii course coz ninajua zaidi kuhusu hardware (ningefanya Computer Engineering and Information Technologies kama nilitaka hardware) na nilikwepa Electronic Science and Communication mainly coz mitandao na minara dont interest me
      nina hata mmoja that i think ni better than nyingine?? hapana, i think zote more or less ni the same ni branches tofauti tu za ICT. ni sawa na kufananisha corporate na criminal law. ziko tofauti, lakini huwezi sema moja ni ngumu kuliko nyingine kwasababu basics ni the same
      i hope nimesaidia
      Huu ni Usharobaro wanaita watoto wa mjini.... Toa fact
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    20. #18
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Unamjua kichwa wa ICT?Hebu ingia hapa...

      Quote By Kijamba Koti
      Haya haya wadau,nimeamua kuleta mada hii baada ya kujitokeza kaubishani kidogo somewhere juu ya nani zaidi katika sekta ya ICT kati ya IT geek,injinia wa computer,mwanasayansi wa computer au injinia wa mawasiliano(telecom)!Kama wewe ni mmoja wapo hapo au una mchango wowote,hebu funguka with SCHOOLED FACTS and tell me who's the best and why?
      The term engineering means "to design something to resolve a problem" (no matter the type of problem).

      Read more: What is the difference between electronics and communication and electronics and telecommunication engineering
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    21. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...