Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ubaguzi wa kidini umebainika

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      Etairo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 234
      Rep Power : 416
      Likes Received
      42
      Likes Given
      104

      Default Ubaguzi wa kidini umebainika

      Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
      Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

      Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

      Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
      Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,411
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      1169
      Likes Given
      598

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Wewe ulifanya huo mtihani?? Mbona waliofanya pamoja na walimu wao walikwishaelewa na wameshamalizana siku nyingi?? Vilaza wa nchii hii shida sana kudeal nao.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    4. #3
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Swadakta!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #4
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,021
      Rep Power : 7642
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Quote By Etairo
      Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
      Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

      Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

      Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
      Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo
      Wewe una lako and you are a fundamentalist Moslem, I can guess! Sababu zilizotolewa siyo hizo unazozisema, it was not a mathematical calculator against a computer mathematical programme. dadisi zaidi utapata ukweli.

    6. #5
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Dr. Kawamba anasemaje kuhusu hilo?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Na ubaguzi gani wa kidini unaoongelea?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    9. #7
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,411
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      1169
      Likes Given
      598

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Sijui mkimaliza hili mtahamia wapi au ndo mtaanza kujilipua wenyewe??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    10. #8
      joely's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 317
      Rep Power : 496
      Likes Received
      84
      Likes Given
      15

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      naomba kujua kama mtu asipofaulu vizuri masomo yake ya combination , ila akapata "a" ya dini anaweza kwenda chuo kikukuu kwa mgongo wa dini?
      NAIPINGA CCM SI KWA SABABU NAICHUKIA BALI KWA SABABU NATAKA KUFAIDI NEEMA ZILIZOWEKWA NA MUNGU KATIKA TANZANIA YETU.

    11. #9
      RICH OIL SHEIKH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Location : NEWALA/QATAR/DAR ES SALAAM
      Posts : 800
      Rep Power : 533
      Likes Received
      123
      Likes Given
      40

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Quote By Etairo
      Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
      Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

      Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

      Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
      Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo

      Hili suala ni critical - taasisi nyeti kama NECTA haitakiwi kufanya makosa hasa kama haya - Inakuwaje kama ni mitihani mingine mambo yalikuwa hivi.
      Once more into the fray
      Into the last good fight I’ll ever know
      Live or die on this day
      Live or die on this day

    12. #10
      Zasasule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 929
      Likes Received
      76
      Likes Given
      48

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Nadhani dhumuni lake ni kuwapa taarifa wana jamii!! couse siyo wote wanaojua kuhusiana na suala hili!

      So stop crushing him, na pia nyinyi kama munajua hizo sababu ni vyema mukazifahamisha hapa kwenye jukwaa, na siyo kusemana wenyewe kwa wenyewe!! hii ni sehemu ya kupata taarifa na kueleweshana na cyo sehemu ya mabishano!!

      A runner must run with dreams in his heart, not money in his pocket

    13. #11
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Quote By RICH OIL SHEIKH
      Hili suala ni critical - taasisi nyeti kama NECTA haitakiwi kufanya makosa hasa kama haya - Inakuwaje kama ni mitihani mingine mambo yalikuwa hivi.
      kULIA LIA KAMA BINTI MACHOZI
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    14. #12
      adolay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 1,644
      Rep Power : 772
      Likes Received
      493
      Likes Given
      500

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Kinachoendelea ni chokochoko ilimradi ionekane imani fulani haitendewi haki.

      Ni mara ngapi tunashuhudia madreva barabarani wakifanyiana makosa kwa bahati mbaya wakaomabana msamaha yakaisha.

      Ni marangapi wazazi (baba na mama) hukoseana kwa bahati mbaya na wakaelewana.

      Ni wizara ngapi hufanya makosa ya bahati mbaya, wakajieleza na yakaisha.

      Ni wanafunzi wangapi hufeli mitihani yao ya F4 au F5 au university wakapewa nafasi ya kuirudia na wakafaulu yakaisha.

      Ni mara ngapi hata katika mapishi nyumbani mama hukosea chunvi ikazidi akatoa maelezo na akaeleweka.

      Ni mara ngapi........, Nimarangapi..........ni mara ngapi.......NI MARA NYINGI SANA.

      Hata wewe ulietoa maada hii hujawi kosea nakama ndio ni mara ngapi......... Na wamekusahe yakaisha!!!!!


      Tuwe wanyenyekevu na wenye kuelewa. kuendeleza chokochoko kwa kupotosha umma ni matatizo ya kifikra, watu wakuelewe wewe unaipenda sana dini? au unawapenda sana waliopatwa na matatizo au............Toa mawazo mbadala ya kuboresha mfumo na sio kuchochea matatizo zaidi na zaidi.

      Ningetaraji utumie uelewa wako kulete upatanisho katika jamii na sio kuleta hoja za kusambalatisha watanzania sometime tuwe wazalendo.
      Gamaha likes this.

    15. #13
      bumes's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 363
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      hukumsikia waziri wa elimu Mr Kawambwa alifafanua jana, mbona watu wegine vichwa vigumu kuelewa, sio kosa lote
      likitokea mnaagalia kwaudini.

      DINI LOLOTE HALITAOKOA MTU, AMKENI. SIOKUFATA MKUMBO TU.

    16. #14
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,419
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      589
      Likes Given
      405

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Ndiyo maana ninawashangaa waislamu kwa nini wanamshupalia Ndalichako peke yake na wanamwacha Kawambwa, huo nao ni ubaguzi wa kidini
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    17. #15
      Vodka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Nothern west Dar Es Salaam
      Posts : 727
      Rep Power : 517
      Likes Received
      54
      Likes Given
      30

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Sijaelewa tatizo ni ubaguzi au ni usahihishaji mbaya au ni kujumlisha vibaya.? Kama ni ubaguzi kwani nani anasahihisha mtihani wa dini? Kama usahihishaji mbaya basi tatizo ni la wote waliofanya mtihani walalamike si waislamu tu na kamaujumlishaji mbaya wa maksi basi warudie kujumlisha mitihani yote na si ya waislamu tu.Inaonesha viombo vitumiwavyo vimepitwa na wakati,basi kwa vifaa vya kisasa warudie mitihani yote kuhakiki.

    18. #16
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By Etairo
      Nachukua fursa hii kuwahabarisha wana wa adamu hususani wakristo kuwa yaliyobainika NECTA kupitia matokeo ya somo la IslamicKnowledge kwa kidato cha sita ni dalili tosha kuwa yaliyodaiwa na waislam kwa muda mrefu ni sahihi kabisa. Kuna dhuluma ya kidini. Iwapo tunashawishika kukubali kuwa kikokoteo (calculator) ya kawaida inatoa majibu tofauti na ile ya kompyuta, basi hatuna madaktari isipokuwa ni feki. Dr. Ndalichako (NECTA) na Kawambwa (WyEMU) wanaoona kilichosabbaisha hayo ni matumizi ya vifaa hivyo viwili, je kipi ni sahihi kutumika? Iweje mpaka leo kwa idadi kubwa ya wanafunzi tutumie calculator kujumulisha alama za wanafunzi ilihali excel ipo kwenye kompyuta kurahisisha hayo.
      Umefika wakati tuacha kudaganya mchana kweupe kana kwamba hakuna watu wanaojua matumizi ya vifaa hivyo. Ulimwengu wa JK Nyerere umepita wa kudanganya wengine.

      Ikiwa kweli NECTA imegundua makosa kwenye somo hilo kwa nini haikutamka kuomba radhi na kuujulisha umma kuhusu dosari hiyo mpaka wasubiri waislam watamke kuandamana?

      Nchi hii ni yetu sote, tunatakiwa tuishi kwa wema kabisa, lkn hali hii ikiendelea uvumilivu utawashinda watu na kuanza kutafuta mchawi, Hebu acheni, tendeni haki na matokeo yake ni amani sahihi.
      Ili liwe fundisho, mengine ya dhuluma yanayofanyika yaachwe ili kujenga jamii yenye ustawi sawa ambapo kila mwenye kujitahidi ataona manufaa yake, na si vinginevyo
      UnastailiBUN KWA KUCHOCHEA UDINI, WAHUSIKA WAMEPEWA TAARIFA NA KURIDHIKA LAKINI WACHOCHEZI KAMA WEWE NDO MNAONA NI UPENYO WA KUINGIZA ITIKADI ZA UDINI, WAISLAM WA UKWELI HAWAKO HIVYO. TENA ISHIA HAPA USILETE UDINI KABISAAA NCHI HII HAINA DINI WALA KABILA. USITUCHAFULIE NCHI YETU

    19. #17
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Nae siaondoke hapo anangangania nini sasa watu hawakutaki ondoka.Madaraka haya yataua mtu

    20. #18
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Kwa upande wangu nafikiri Dr Ndalichako angeondoka tu pale NECTA akafanye kazi zingine..na apewe Moslem kama mnavyodai ili kuondoa fedheha(Waziri Muslim and Pamoja na katibu wa NECTA) tuone kama hamjaanza kutafuta sababu nyingine ya kufanya vurugu. Maana Watanzania wanawazia mambo ya ajabu sana. Just imagine kufeli kwa Waislamu kunawezaje kumfaidisha Dr Ndalichako...yaani bado sijapata jibu la sahihi tena wengine wasomi wanakuwa na mawazo finyi namna hii..

    21. #19
      RICH OIL SHEIKH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Location : NEWALA/QATAR/DAR ES SALAAM
      Posts : 800
      Rep Power : 533
      Likes Received
      123
      Likes Given
      40

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Quote By MkimbizwaMbio
      kULIA LIA KAMA BINTI MACHOZI
      Kila jambo lina mwisho wake kaka. .....ucjari ....... ENJOY WHILE IT LASTS
      Once more into the fray
      Into the last good fight I’ll ever know
      Live or die on this day
      Live or die on this day

    22. #20
      obseva's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 74
      Rep Power : 532
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubaguzi wa kidini umebainika

      Nafikri sio vema kulaumu dini yoyote, hili ni swala la taasisi yenyewe na ambayo kimantiki ni kosa kubwa cna kwa NECTA kukosea matokeo ya mtihaniwa. Na hatutakiwi hata kidogo kushabikia makosa yanayapofanywa na Taasisi muhimu kama hii, jambo la msingi ni NECTA kufanya marekebisho yote sahihi na kuangali kwa kina kama kulikuwa na uzembe wowote basi wahusika wawajibike kwa maslahi na imani ya Taasisi.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...