Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 63
    1. #1
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,133
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2009

      Default Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Baraza kuu la Waislamu nchini (Bakwata) limeendelea kumng'ang'ania katibu mkuu mtendaji wa baraza la mitihani Dr.Joyce Ndalichako,likimtaka kujiuzulu ili kulinda heshima ya serikali.


      Baraza hilo limesema limepoteza imani na Necta na hivyo kutaka serikali iunde tume huru kuchunguza utendaji kazi wa baraza hilo katika kipindi cha miaka kumi iliyopita.


      ya kiislamu (islamic knowledge),ambapo takribani asilimia 70 walifeli kwa kupata daraja F. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapa jana,Sheikh mkuu tanzania Mufti issa shaabani simba alisema hatua hiyo inatokana na waislamu nchini kutoridhishwa na matokeo ya mitihani ya kidato cha sita yaliyotangazwa Mei Mosi mwaka huu katika somo la elimu ya dini.


      Kwa habari zaidi soma nipashe la leo tarehe 7/6/2012 ukurasa wa 5.
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 606
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Hakuna binadamu aliekamilika. Hawezi kuwajibishwa kwa shinikizo la kidini.
      sulphadoxine and Kifulambute like this.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    4. #3
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      The best thing kama wanaona wanaonewa waunde baraza lao watunge mitihani yao ya Islamic knowledge, na wasahihishe wenyewe na wawe na vyuo vyao. baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa asi
      sulphadoxine and Lokissa like this.
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      ..kwa nini isiwe kawambwa? ama kikwete ama bilal>?
      NECTA walishafafanua kuwa mwaka jana kulikuwa na paper 3 za islamic knowledge na waligawanya maksi zote kwa 3 na mwaka huu kukawa na paper tu wakawa wamegawanya kwa 3 vile vile kama mwaka jana...ila ndio hivyo wamerekebisaha ...BAKWATA wanashindwa kuelewa nini hapa?
      Last edited by Saint Ivuga; 7th June 2012 at 12:00.
      mizambwa and sulphadoxine like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,133
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2009

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Quote By Saint Ivuga
      ..kwa nini isiwe kawambwa? ama kikwete ama bilal>?

      Bakwata inasema tatizo sio mitihani kusahihishwa na walimu wenye sifa ,wao wanahoji nani aliwachagua walimu hao na mfumo wa usahihishajiuliotumika tatizo lamsingi ni kufelishwa kwa makusudi kwa wanafunzi wa kiislamu katika somo husika wakatio wakati nakala za mitihani yao zinaonesha wamefaulu,alifafanua mufti simba alisema kutokana na hali hiyo inaitaka serikali kuwawajibisha mara moja watendaji wakuu wa baraza hilo(kwanini sio waziri wala naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi) wa kitengo cha kompyuta sambamba nakutaka hatua za kisheria na kinidhamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa baraza hilo.

      Saint Ivuga likes this.
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    7. Miaka 50

    8. #6
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 606
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Quote By sulphadoxine
      Bakwata inasema tatizo sio mitihani kusahihishwa na walimu wenye sifa ,wao wanahoji nani aliwachagua walimu hao na mfumo wa usahihishajiuliotumika tatizo lamsingi ni kufelishwa kwa makusudi kwa wanafunzi wa kiislamu katika somo husika wakatio wakati nakala za mitihani yao zinaonesha wamefaulu,alifafanua mufti simba alisema kutokana na hali hiyo inaitaka serikali kuwawajibisha mara moja watendaji wakuu wa baraza hilo(kwanini sio waziri wala naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi) wa kitengo cha kompyuta sambamba nakutaka hatua za kisheria na kinidhamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa baraza hilo.

      Kitengo cha kompyuta kinasahihisha mitihani????
      sweke34 and sulphadoxine like this.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    9. #7
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4736
      Likes Given
      2652

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Quote By sulphadoxine
      Bakwata inasema tatizo sio mitihani kusahihishwa na walimu wenye sifa ,wao wanahoji nani aliwachagua walimu hao na mfumo wa usahihishajiuliotumika tatizo lamsingi ni kufelishwa kwa makusudi kwa wanafunzi wa kiislamu katika somo husika wakatio wakati nakala za mitihani yao zinaonesha wamefaulu,alifafanua mufti simba alisema kutokana na hali hiyo inaitaka serikali kuwawajibisha mara moja watendaji wakuu wa baraza hilo(kwanini sio waziri wala naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi) wa kitengo cha kompyuta sambamba nakutaka hatua za kisheria na kinidhamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa baraza hilo.


      Hizi nakala mlizipata wapi?

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    10. #8
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,133
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2009

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Quote By MkimbizwaMbio
      Kitengo cha kompyuta kinasahihisha mitihani????
      Hayo maswali anatakiwa aulizwe mufti.
      anders batta likes this.
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    11. #9
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 606
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Quote By sulphadoxine
      Hayo maswali anatakiwa aulizwe mufti.
      Nikimuuliza atasema namuonea!!!! haaha aaaaa.
      sulphadoxine and majorbuyoya like this.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    12. #10
      Watu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,045
      Rep Power : 772
      Likes Received
      232
      Likes Given
      134

      Default BAKWATA joins exam result protest fray

      THE National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA) has asked the Executive Secretary of the National Examinations Council of Tanzania (NECTA), Dr Joyce Ndalichako, to resign immediately for what it described as "undermining the welfare of muslim youths".

      The Mufti, Sheikh Issa Shaaban bin Simba, told a news conference here on Wednesday that the NECTA chief's image has been irreparably tarnished by inconsistency in this year's Form Six Examination results for the Islamic subject.

      Sheikh Simba said NECTA had earlier indicated that 70 per cent of the candidates had failed the subject, but later after complaints by some Islamic institutions and review of the results it was established only 30 per cent had failed.

      "This proves that there is a hidden agenda in NECTA to frustrate and block Muslim youths from accessing higher education," he said, adding:

      "This is a serious problem, I praise the Islamic institutions which revealed the matter... because even muslim teachers who were marking the examinations were astonished by the results".

      He said Dr Ndalichako should choose to resign or wait to be sacked by the government.Commenting on recent developments in Zanzibar, the Mufti said those who were involved in violence, theft and vandalism were mere hooligans and not muslims.

      He said Islam always promotes love and peace.The Mufti said the government must swiftly deal with all those who were involved and let the law take its course before the matter got out of control.

      Source : DailyNews Online Edition - Bakwata joins exam result protest fray

    13. #11
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,414
      Rep Power : 993
      Likes Received
      776
      Likes Given
      261

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Leo bakwata imesahau kwamba ni ccm c? Au labda kwa kuwa huyu mama wa necta haitwi HALIMA ndalichako, hivyo si mwenzao?
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    14. #12
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Hivi jamani hawa watu wameathiriwa ubongo zao na mdudu gani jamani? Nachukia sana kuishi nchi kama hii ambayo watu wanatafuta sababu kufunika ujinga wao wa kuzaliwa...

      Haiingii akilini kuwa kuna mtu kakaa huko baraza hata hakufahamu anakufelisha bila sababu za msingi. Acheni mambo ya kipuuzi for once ujinga wenu huu utaisha muda si mrefu.

    15. #13
      ng'wabuki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 399
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Quote By Watu
      THE National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA) has asked the Executive Secretary of the National Examinations Council of Tanzania (NECTA), Dr Joyce Ndalichako, to resign immediately for what it described as "undermining the welfare of muslim youths".

      The Mufti, Sheikh Issa Shaaban bin Simba, told a news conference here on Wednesday that the NECTA chief's image has been irreparably tarnished by inconsistency in this year's Form Six Examination results for the Islamic subject.

      Sheikh Simba said NECTA had earlier indicated that 70 per cent of the candidates had failed the subject, but later after complaints by some Islamic institutions and review of the results it was established only 30 per cent had failed.

      "This proves that there is a hidden agenda in NECTA to frustrate and block Muslim youths from accessing higher education," he said, adding:

      "This is a serious problem, I praise the Islamic institutions which revealed the matter... because even muslim teachers who were marking the examinations were astonished by the results".

      He said Dr Ndalichako should choose to resign or wait to be sacked by the government.Commenting on recent developments in Zanzibar, the Mufti said those who were involved in violence, theft and vandalism were mere hooligans and not muslims.

      He said Islam always promotes love and peace.The Mufti said the government must swiftly deal with all those who were involved and let the law take its course before the matter got out of control.

      Source : DailyNews Online Edition - Bakwata joins exam result protest fray
      Peace ipi mnayopromote nyie hamnazo? Popote mlipo ni kujitahidi kupunguza wakristo tu. Idara ngapi zinazoongozwa na waislamu wenzenu zinaangalia kuhubiri na kupanua uislamu hata kama wanatakiwa wafanye kazi za umma?

      Ndalichako hapo mnamwonea tamkeni hadharani mnamtaka wa dini gani akae hapo mfanikishe lengo lenu. Higher education gani inayotoa bachelor ya islamic knowledge?

      Na kuhusu hao mnao waita wahuni, mbona kiongozi wenu alinukuliwa na vyombo vya habari kuwa wamefanya mihadhara zaidi ya 100 na yote napata shaka kama ulieleza hata siku moja mada zilizomo humo kama ni za kupromote amani. Kwa nini hao wahuni walichoma makanisa tu na hawakugusa misikiti?
      anders batta likes this.

    16. #14
      KALAMAZOO1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 402
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Quote By mkaliwakitaa
      Hivi jamani hawa watu wameathiriwa ubongo zao na mdudu gani jamani? Nachukia sana kuishi nchi kama hii ambayo watu wanatafuta sababu kufunika ujinga wao wa kuzaliwa...

      Haiingii akilini kuwa kuna mtu kakaa huko baraza hata hakufahamu anakufelisha bila sababu za msingi. Acheni mambo ya kipuuzi for once ujinga wenu huu utaisha muda si mrefu.
      Sasa unakataa kitu kilichotokea? Wanafunzi Waislamu walifelishwa walipolalamika baraza likarekebisha na hivyo division zero zikapungua na 1 zikaongezeka katika shule za kiislamu.Hii sio mara ya kwanza waislamu wamekuwa wakipewa alama za chini katika masomo yote.Sasa kama huamini ngoja majibu ya tume itakayoundwa ndo utajua dhulma hii.Hat hivyo kama wewe ni mmojawapo wa madhalimu lazima utawaunga mkono

    17. #15
      KALAMAZOO1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 402
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Quote By Power
      Leo bakwata imesahau kwamba ni ccm c? Au labda kwa kuwa huyu mama wa necta haitwi HALIMA ndalichako, hivyo si mwenzao?
      Bakwata bila shaka watakuwa wameshauriwa na ccm ili wateke ajenda maana waislamu kwa pamoja tumekasirishwa sana na hivyo serikali ya ccm inahofu ya nini kitatokea ndio maana unaona hawa jamaa wameingia lakini hawana lolote la kuwatetea waislamu.
      baba koku likes this.

    18. #16
      Adrian Stepp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 1,573
      Rep Power : 714
      Likes Received
      438
      Likes Given
      2560

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Hivi Mufti ana elimu gani huyu maamuma???
      Fang likes this.
      Watu wakimya wamejaliwa busara, ufahamu na midomo inayonuka!

    19. #17
      KALAMAZOO1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 402
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Quote By ng'wabuki
      Peace ipi mnayopromote nyie hamnazo? Popote mlipo ni kujitahidi kupunguza wakristo tu. Idara ngapi zinazoongozwa na waislamu wenzenu zinaangalia kuhubiri na kupanua uislamu hata kama wanatakiwa wafanye kazi za umma?

      Ndalichako hapo mnamwonea tamkeni hadharani mnamtaka wa dini gani akae hapo mfanikishe lengo lenu. Higher education gani inayotoa bachelor ya islamic knowledge?

      Na kuhusu hao mnao waita wahuni, mbona kiongozi wenu alinukuliwa na vyombo vya habari kuwa wamefanya mihadhara zaidi ya 100 na yote napata shaka kama ulieleza hata siku moja mada zilizomo humo kama ni za kupromote amani. Kwa nini hao wahuni walichoma makanisa tu na hawakugusa misikiti?
      Unaweza kutoa mifano ya idara zinazoongozwa na waislamu na namna wanavyopromote uislamu katika hizo idara? Unajua kabisa kwamba kama kuna idara zinazoongozwa na waislamu hazizidi asilimia 5 ya idara zote za serikali.Lakini angalia sehemu zote zisizoongozwa na waislamu ndo utaona jinsi wanavyopromote dini yao,nenda TRA kwa mfano fungua computa ya kila mfanyakazi uone.Subiri sikukuu zao uone namna pesa zetu walipa kodi zinavyotumika kupamba taasisi za serikali,kununuliana kadi na kusherehekea!

    20. #18
      Baba Mkali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2011
      Posts : 57
      Rep Power : 431
      Likes Received
      9
      Likes Given
      2

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Quote By mkaliwakitaa
      Hivi jamani hawa watu wameathiriwa ubongo zao na mdudu gani jamani? Nachukia sana kuishi nchi kama hii ambayo watu wanatafuta sababu kufunika ujinga wao wa kuzaliwa...

      Haiingii akilini kuwa kuna mtu kakaa huko baraza hata hakufahamu anakufelisha bila sababu za msingi. Acheni mambo ya kipuuzi for once ujinga wenu huu utaisha muda si mrefu.
      Mbona ufafanuzi umetolewa?kuna thread humuhmu jf imetoa/ime-qoute source (gazeti la leo-sikumbuki alitaja gazeti gani). Kama ni kweli kulikuwa na makosa tajwa (kutumia mfumo wa 3papers wa mwaka jana badala ya 2papers wa mwaka huu) basi mkurugenzi lazima awajibike katika hili. Siamini kuwa kila wanacholalamika waislamu ni uzushi na ujinga wao (kama sakata hili linavyoelekea kuwa) na tusiwe na mawazo hasi, mapenzi na upofu katika suala la imani. Asilimia tisini ya waTZ wapo katika dini husika kwa kurithi (kutoka kwa wazazi) na si kwa matakwa/mapenzi yao wala ubora wa dini fulani. Ndugu mkaliwakitaa,naamini ww ni great thinker hivyo utafikiri mara mbili next tym kabla hujawashambulia watu wengine.

    21. #19
      kibol's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,167
      Rep Power : 590
      Likes Received
      295
      Likes Given
      190

      Default Re: Dr.Joyce Ndalichako atakiwa kujiuzulu.

      Mbona watanzania tumeanza kupoteza uelekeo kiasi,tunaanza kushikana uchawi kwasababu ya dini zetu?ama kweli vichwa vyetu vimepoteza kabisa uelekeo na uwezo wa kufikir,mtu km amekosa asahihishiwe amepata?tusitafute majibu rahisi kw maswal magumu na yanayohitaji tafakar ya kina.

    22. #20
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,973
      Rep Power : 1080
      Likes Received
      469
      Likes Given
      575

      Default Re: BAKWATA joins exam result protest fray

      Mtihani unasahihishwa kutumia namba za mitihani sio majina, wanachagua vipi hawa waislam tuwafelishe na wale wakristo tuwafaulishe...????!!
      Huyu ni muislam wa kumfelisha upo kwenye kitu gani, kama ni jina mbona kuna wakkristo wengi wanaitwa juma/hassan na wao hao utasemaje wakifaulu??

      TATIZO ni UONGOZI wa JUU legege usioweza kukemea mambo kama haya ya KIJINGA!!!!!!!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...