Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Qualifications

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Fredy James's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Lightbulb Qualifications

      Kuna tofauti gani kati ya Academic qualification na Professional Qualification? Na zinafanyaje kazi kwenye nchi yetu ya Tanzania?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mtanzania makini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 50
      Rep Power : 368
      Likes Received
      3
      Likes Given
      16

      Default Re: Qualifications

      Quote By Fredy James
      Kuna tofauti gani kati ya Academic qualification na Professional Qualification? Na zinafanyaje kazi kwenye nchi yetu ya Tanzania?
      Academic qualification ni ile inayopatikana kutoka shule au chuo (inatokana na performance katika masomo ya fani husika - First class, Upper Second, ..............Pass). Professional qualifications ni ile inayotokana na utendaji wako katika fani husika. Mfano kama wewe ni engineer ni kazi gani umezifanya na kwa muda gani. Kwa upande mwingine professionalism inaangaliwa kwa jinsi chama/taasisi ya wataalamu husika (professional board) imekupa usajili i.e. Registered Engineer, Architect, Nurse, Doctor, Planner, e.t.c.

      Katika nchi yetu (na duniani kwa ujumla) academic qualification inatumika kama entry point ya ajira kutokana na mahitaji husika. mfano mwajiri anataka watu wenye Degree ya kwanza, ya pili, au ya tatu na atawachagua kuwapa kazi wale waliofaulu zaidi ya wenzao. Professional qualification inafuatia baada ya kuridhika na acedemic qualification i.e. muajiri atampa nafasi zaidi yule ambaye academically amefanya vizuri na ameifanya kazi husika kwa muda fulani (anaijua vizuri kazi yake tena kwa vitendo siyo nadharia).

      Mwajiri makini anahitaji mtu mwenye both 'good academic and professional qualifications'.

    4. #3
      Fredy James's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Qualifications

      Ebwana kweli ww ni mtanzania makini, ahsante sana kwa jibu zuri na nimelizika nalo kabisa.

      Lakini swali lingine la nyaongeza hapohapo. Kwenye nchi yetu sasa hivi kuna watu wanokwenda kuanza moja kwa moja professional Board baaada ya kumaliza form four alafu wakimaliza hadi kupewa usajili wanaajiriwa na kupewa priority kuliko mtu aliyemaliza form six na degree, wakidai kwamba huyu aliyesajiliwa na board yupo competent zaidi yaani kimatendo kuliko wa degree(Nadharia ya darasani). Hii inakuwaje? Mkuu!
      Last edited by Fredy James; 7th June 2012 at 21:44.

    5. #4
      Mtanzania makini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 50
      Rep Power : 368
      Likes Received
      3
      Likes Given
      16

      Default Re: Qualifications

      Quote By Fredy James
      Ebwana kweli ww ni mtanzania makini, ahsante sana kwa jibu zuri na nimelizika nalo kabisa.

      Lakini swali lingine la nyaongeza hapohapo. Kwenye nchi yetu sasa hivi kuna watu wanokwenda kuanza moja kwa moja professional Board baaada ya kumaliza form four alafu wakimaliza hadi kupewa usajili wanaajiriwa na kupewa priority kuliko mtu aliyemaliza form six na degree, wakidai kwamba huyu aliyesajiliwa na board yupo competent zaidi yaani kimatendo kuliko wa degree(Nadharia ya darasani). Hii inakuwaje? Mkuu!
      Fredy hapo sijakuelewa, hao wanaoanzia na professional board ni boards zipi hizo ambazo zinawapokea baada ya kumaliza form 4. Kwa sababu ninavyojua mimi professional boards zinatoa usajili kwanza baada ya muhusika kupata academic qualifications zinazokubalika na hiyo board (mfano uwe na Degree, Diploma, ......). Hii ya kuingia board moja kwa moja toka form four naomba nifafanulie zaidi halafu nitachangia tena.

    6. #5
      Fredy James's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Qualifications

      Mkuu, yaani namaanisha professional board wanakuwa na Levels zao ambazo zinakuwa na link na academic professional kwahivyo watu wenye Degree kuna level ya juu wanaanza lakin wale wa form four wanaanzia level ya chini na baadae kama akifaulu anapanda taratibu ngazi moja hadi nyingine na hatimaye kumaliza mpaka level ya mwisho hadi kusajiriwa.


    7. #6
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,262
      Rep Power : 28918
      Likes Received
      11742
      Likes Given
      4819

      Default Re: Qualifications

      Mtz makini ameelezea vizuri sana, lakini labda tutumie lugha ya 'formal qualification' kumaanisha hizo academic qualifications. Mfano nimeskia kuna Board of Materials Management wanafanya hiyo kitu, lakini inahusisha formal measurement if competency. Kuna mtihani, unafaulu kwa kiwango/viwango maalum na kupata cheti. Professional qualification sio lazma iambatane na cheti. Inaweza kuwa usajili tu ama short courses ulizohudhuria kujazia kwenye huo ujuzi wako na kukufanya bora zaidi. Inaweza kuwa historia ya kazi ulizowahi kufanya. Mfano kwa ajili ya u-director wa ofisi fulani, hata kama una phd (academic qualification) ama hiyo qualification ya board, hauwi competent unless professional qualification imesimama.

    8. #7
      Fredy James's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Qualifications

      Bwana King'ast, swali langu nilikuwa namaanisha Je ni sawa mtu kumaliza form four na kuingia board moja kwa moja na hatimaye kumaliza na kusajiriwa hadi kuajiriwa. Na hata baadaye akipata experiance ya kazi anaweza kujiunga na masters. wapo watu hapa Tanzania wanafanya hivyo MKUU

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...