Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baraza la mitihani wawajibishwe

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      dundula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 386
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Baraza la mitihani wawajibishwe

      wanajf juz kuna mtu alianzisha thread kuhusu baraza la mitihani kuwafanyia uhuni wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu ambao walifanya somo la maarifa ya kiislam lakini kwasababu ya ubaguzi wa kidini walionao baadhi yetu walimshambulia sana bila kujua kuwa jamaa alikuwa na uhakika, sasa imedhihirika necta tayari wamebadilisha matokeo hayo lakini tayari wameathiri mpangilio mzima wa matokeo ya mithani kwani baadhi ya shule zilionekana kuwa na div 0 na kwa sasa hazina kabisa,sasa kweli necta walishindwa kugawanya hizo alama au ni hila za kuwakatisha tamaa wanafunzi wa kiislam na kuchafua shule za kiislaam?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Kwa hiyo Mkuu Dunduswele, unataka kuniambia hizi habari mnazijua nyinyi tu?

      Mimi sijaelewa haya matokeo ya kwanza mliyaona wapi na haya ya pili mmeyaona wapi kiasi mjue nyinyi tu wawili (au pengine na wenzenu kadhaa). Cha msingi ni kufikisha malalamiko yenu mahali panapohusika na sio kulalama.

      Halafu sijaelewa kitu kingine, kwamba mtu unamaliza shule na 0 uokolewe na Islamic Knowledge! Sasa unapoenda kuomba kazi itakusaidia nini A yako ya Islamic Knowledge, au ndio mna mkakati wa kuona kuwa mashehe na maimamu wanakwenda na wakati?
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    4. #3
      dundula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 386
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By shizukan
      Kwa hiyo Mkuu Dunduswele, unataka kuniambia hizi habari mnazijua nyinyi tu?

      Mimi sijaelewa haya matokeo ya kwanza mliyaona wapi na haya ya pili mmeyaona wapi kiasi mjue nyinyi tu wawili (au pengine na wenzenu kadhaa). Cha msingi ni kufikisha malalamiko yenu mahali panapohusika na sio kulalama.

      Halafu sijaelewa kitu kingine, kwamba mtu unamaliza shule na 0 uokolewe na Islamic Knowledge! Sasa unapoenda kuomba kazi itakusaidia nini A yako ya Islamic Knowledge, au ndio mna mkakati wa kuona kuwa mashehe na maimamu wanakwenda na wakati?
      Dogo fuatilia kwanza uwe na uhakika acha kuropoka alafu we naona bado una ujima kichwani hujui kwa sasa kuna degree ya islamic studies? na kwasababu unawaza tu kuajiliwa hujui hata maana ya elimu shenz gete!

    5. #4
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 1353
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By shizukan
      Kwa hiyo Mkuu Dunduswele, unataka kuniambia hizi habari mnazijua nyinyi tu?

      Mimi sijaelewa haya matokeo ya kwanza mliyaona wapi na haya ya pili mmeyaona wapi kiasi mjue nyinyi tu wawili (au pengine na wenzenu kadhaa). Cha msingi ni kufikisha malalamiko yenu mahali panapohusika na sio kulalama.

      Halafu sijaelewa kitu kingine, kwamba mtu unamaliza shule na 0 uokolewe na Islamic Knowledge! Sasa unapoenda kuomba kazi itakusaidia nini A yako ya Islamic Knowledge, au ndio mna mkakati wa kuona kuwa mashehe na maimamu wanakwenda na wakati?
      Hii ni taarifa na si malalamiko ! Imeletwa kwa wale wasiofahamu kama wewe. Waliolalamikiwa wamefanya marekebisho. Umeelewa sasa eeehn !?

    6. #5
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By dundula
      wanajf juz kuna mtu alianzisha thread kuhusu baraza la mitihani kuwafanyia uhuni wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu ambao walifanya somo la maarifa ya kiislam lakini kwasababu ya ubaguzi wa kidini walionao baadhi yetu walimshambulia sana bila kujua kuwa jamaa alikuwa na uhakika, sasa imedhihirika necta tayari wamebadilisha matokeo hayo lakini tayari wameathiri mpangilio mzima wa matokeo ya mithani kwani baadhi ya shule zilionekana kuwa na div 0 na kwa sasa hazina kabisa,sasa kweli necta walishindwa kugawanya hizo alama au ni hila za kuwakatisha tamaa wanafunzi wa kiislam na kuchafua shule za kiislaam?
      itabidi baraza lijaze mashehe watupu ofisini ili kuondoa dhuluma hizi
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    7. Miaka 50

    8. #6
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By dundula
      wanajf juz kuna mtu alianzisha thread kuhusu baraza la mitihani kuwafanyia uhuni wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu ambao walifanya somo la maarifa ya kiislam lakini kwasababu ya ubaguzi wa kidini walionao baadhi yetu walimshambulia sana bila kujua kuwa jamaa alikuwa na uhakika, sasa imedhihirika necta tayari wamebadilisha matokeo hayo lakini tayari wameathiri mpangilio mzima wa matokeo ya mithani kwani baadhi ya shule zilionekana kuwa na div 0 na kwa sasa hazina kabisa,sasa kweli necta walishindwa kugawanya hizo alama au ni hila za kuwakatisha tamaa wanafunzi wa kiislam na kuchafua shule za kiislaam?
      Mimi ndio nlipost huo Uzi wakautoa.
      Na bado nalia na Invisible,
      Nimemtumia thread ya lalamiko juu ya kuiondoa thread yangu but hajajibu.

    9. #7
      MWENDAKULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2009
      Location : Partout
      Posts : 478
      Rep Power : 596
      Likes Received
      98
      Likes Given
      92

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By Shark
      Mimi ndio nlipost huo Uzi wakautoa.
      Na bado nalia na Invisible,
      Nimemtumia thread ya lalamiko juu ya kuiondoa thread yangu but hajajibu.
      Ukiona hivyo ujue kaona hauna hoja

    10. #8
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,685
      Rep Power : 913
      Likes Received
      237
      Likes Given
      356

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Kama mtu amefaulu, maksi zake haziwekwi, ni kosa na wawajibishwe,
      catch - mtu wa kuwawaibisha ndo hayupo sasa, ndo maana wala hawana wasiwasi,
      na wasingelalamika ingepita hivyo hivyo.
      Sijui kama ni hilo somo moja tu au kuna mengine pia, unafahamu?
      Maofisi ya serikali siku hizi !! Mhhhh!! Tukisema tutaambiwa mara wakritu au wailamu, mara ccm au chadema, mara mzbari au mbara, ngoja tunyamaze

    11. #9
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By MWENDAKULIMA
      Ukiona hivyo ujue kaona hauna hoja
      sina hoja na ushahidi ndio huu umeletwa???

    12. #10
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,966
      Rep Power : 1216
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Imefika wakati majina yasitumike kwenye mitihani tutumie tu namba ili kukomesha hila zozote zitakazo jitokeza.

    13. #11
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 1353
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By MkimbizwaMbio
      itabidi baraza lijaze mashehe watupu ofisini ili kuondoa dhuluma hizi
      Wagalatia mmejaa dharau na kejeli ! Na ndo maana mlimkejeli mpaka "Mungu" wenu: Luka 22:63-65.

    14. #12
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 1353
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By Haika
      Kama mtu amefaulu, maksi zake haziwekwi, ni kosa na wawajibishwe,
      catch - mtu wa kuwawaibisha ndo hayupo sasa, ndo maana wala hawana wasiwasi,
      na wasingelalamika ingepita hivyo hivyo.
      Sijui kama ni hilo somo moja tu au kuna mengine pia, unafahamu?
      Maofisi ya serikali siku hizi !! Mhhhh!! Tukisema tutaambiwa mara wakritu au wailamu, mara ccm au chadema, mara mzbari au mbara, ngoja tunyamaze
      Ile taarifa ya kwanza kuhusu jambo hili, ilibezwa na kutupiwa kila aina ya kashfa na kejeli ! Wasomi wa Kigalatia hawakujipa muda wa ku-reasoning ! Mara nyingi wanafunzi wengi wanaofanya mtihani huo "level" yao iko juu sana katika masuala ya dini, kwa mfano:
      Moja ya swali katika mtihani huo, unaulizwa; Kwa nini unaamini Mwenyezi Mungu yupo ? Jadili.
      Hapa unategemewa umahiri mkubwa katika kuzitoa "aya" na kuzisherehesha (kufafanua) kutoka katika Qur'an na hata zilizo "sahihi'' (salimika) katika Biblia. Hivyo hii sio bahari ya kuogelea mtu anaejua "multiple choice". Pia katika suala la matokea ni vizuri kutafiti, aidha yawe mazuri au mabaya.
      Watendaji hawa hawa walio serikalini, wamethibitika (kiutafiti) "kuwafaulisha" wanafunzi kwenda secondary ambao hawajui kusoma wala kuandika (zaidi ya 5,000 !). Je hili limetokeaje ? Angalia tunavyojenga hoja zetu !
      Last edited by Ally Kombo; 3rd June 2012 at 09:42.

    15. #13
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,037
      Rep Power : 3606
      Likes Received
      265
      Likes Given
      23

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      kwan c wamerekebisha ktk muda muafaka? mnalalamika nn?

    16. #14
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 1353
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By Ta Kamugisha
      kwan c wamerekebisha ktk muda muafaka? mnalalamika nn?
      Kwani ni nani kakuambia hapa kuna malalamiko !? Malalamiko walipewa baraza la mitihani na wao wamefanya marekebisho. Hapa kuna taarifa ya kilichojitokeza !

    17. #15
      dundula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 386
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By Ta Kamugisha
      kwan c wamerekebisha ktk muda muafaka? mnalalamika nn?
      Hapa suala sio kurekebisha matokeo km ni hivyo hata mawaziri waliotimuliwa juzi rais angewaacha wajirekebishe watendaji wa baraza la mitihani hawafai kuwepo kwenye ofisi inayohudumia watu wa dini mbalimbali kwani wameonyesha waziwazi walivyo wadini wakiachwa watalifikisha pabaya taifa hili kwani kwa sasa kila mtu anajua haki yake na yuko tayari kuidai pindi inapoonekana koporwa mr kamugisha una maneno ya kiccm2 amka boss watu kwasasa wamepiga hatua kubwa mno kuliko unavyojua!

    18. #16
      dundula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 386
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By MkimbizwaMbio
      itabidi baraza lijaze mashehe watupu ofisini ili kuondoa dhuluma hizi
      km wagala walivyojazwa humo na kuanza kuua hata shule za serikali na kupandisha chati shule zao kwa ulaghai na wiziwizi tu aminiusiamini wanafunzi bora na shule bora ni za serikali na sio shule zenu hizo za misheni

    19. #17
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default

      Quote By dundula
      km wagala walivyojazwa humo na kuanza kuua hata shule za serikali na kupandisha chati shule zao kwa ulaghai na wiziwizi tu aminiusiamini wanafunzi bora na shule bora ni za serikali na sio shule zenu hizo za misheni
      Dundula itabidi upewe kazi baraza la mitihani ili uwasaidie hao waislam. Mi ningekuwa wewe ningewahimiza waislam wenzangu kutilia maanani elimu dunia. Hata wakipewa A kama kichwa ni zero brain haisadii ndugu yangu. Mara zote nawakumbusha mnapokuja hapa jamii forum msiache akili zenu masjid.

    20. #18
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,522
      Rep Power : 1754
      Likes Received
      2376
      Likes Given
      166

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By MkimbizwaMbio
      Dundula itabidi upewe kazi baraza la mitihani ili uwasaidie hao waislam. Mi ningekuwa wewe ningewahimiza waislam wenzangu kutilia maanani elimu dunia. Hata wakipewa A kama kichwa ni zero brain haisadii ndugu yangu. Mara zote nawakumbusha mnapokuja hapa jamii forum msiache akili zenu masjid.
      Ndugu yangu kibri si maungwana adabu ni sifa njema labda haya huenda haya yakakusaidia japo kidogo na utakaporudi tena utarudi na heshima :

      "In 1987 the then Minister for Education and Culture the late Professor Kighoma Malima discovered that deserving Muslim candidates were deliberately being denied access to secondary education.(It is curious to note that throughout his 25 - year rule, Nyerere had always appointed a Christian to head the Ministry of Education and a Muslim to head the Ministry of Home Affairs.)

      The trick used by the Christian dominated panel was to select the candidates after decoding their examination numbers. Professor Malima directed the panel to select and announce the results using examination numbers only. In that year the percentage of selected Muslim candidates rose by 40 per cent! He alerted the president about the matter and suggested a thorough investigation be carried out. He was branded “Mujahidina” and removed from that portfolio and the selection panel reverted to its old system. He repeated those charges at a public rally in Dar es Salaam in 1995. Any government which is “fiercely secular” would certainly wish to know the truth of the matter.

      Apparently there was no need for the government to investigate the obvious. On July 7, 1999 Muslim leaders paid a courtesy call to President Mkapa at the State House in Dar es Salaam. In the course of their informal discussions Muslims raised the issue of decoding examination numbers. According to my informant the president was clearly surprised. When he asked his Minister for Education and Culture who also attended the talks, the minister confirmed the Muslims’ account. As a result one of the numerous but supposed “isolated” cases came to light in January 1999.

      A Muslim candidate one Adam Ramadhani Kindenge of Gilman Rutihinda primary school was not selected.

      His father disputed the fairness of the selection process and demanded to be shown the scripts. It was anembarrassing case. Christian candidates with lower points were selected and Adam who had higher points was left out. No one in the ministry could hazard an explanation. The case was disconcerting in view of Kitwana Kondo’s question in Parliament. But it was a case which like others in the past the ministry managed to suppress. For details see Ramadhani Kindenge’s two letters to the Ministry of Education and Culture (1999).

      Despite protests from Muslims, the same ministry had also successfully managed to hide from many unsuspecting Tanzanians another discomfiting letter bearing Ref. No. E10/MMC-1/183 of 9 June, 1998 from the Morogoro Municipal Education Officer directing all Headteachers to submit to that office the names of all Standard Seven Catholic students! When a weekly Muslim newspaper An-Nuur confronted the ministry with that letter the spokesperson was too embarrassed to comment. He promised however to investigate the matter. A time-tested device of dropping a hot potato!

      Adam Kindenge’s case above is not an isolated one. Muslims have a long list of such cases. The name of a selected Muslim candidate, Kopa Abdallah of Kichangani primary school, in Kilosa was in 1983 unfairly cancelled out in favour of a Christian, Mr. Anthony Samirani who scored less points. Mr. Kopa is today employed as a driver. Was it merely a case of corruption? In his long career as a Secondary School Headmaster and later as a high ranking civil servant, Mr. Bori Lilla was twice confronted with incredible discoveries of religious discrimination in the country. Mr. Bori Lilla is today one of the highly respected Muslim elders in the country and is affectionately referred to as “Mzee Lilla”.

      He told me and he has repeated this account to many others that he was once in the marking and selection committee and was mistaken for a Christian. After marking the scripts he decoded and recorded the names according to their pass marks, and there were as many Muslims as there were Christians. A fellow panelist who was a Christian saw the list and was very furious, he said in a loud voice, “Wewe huoni kama orodha yako ina Waislamu wengi sana, au wewe ni mgeni nini hapa?” (Don’t you see that your list has so many Muslims, or could it be that you are a new comer here?). Mzee Lilla says that he responded in an equally loud voice, “Mimi siyo mgeni, mimi ni Muislamu”. The room was gripped with an eerie silence.

      Mzee Lilla witnessed the second revelation of deliberate religious discrimination when he was in the selection panel for allocating High School places for deserving Ordinary Level candidates. It was during the Islamic holy month of Ramadhan and they had almost finished their task when Christian panelists broke for lunch. The panel had only two Muslims who stayed behind. The other Muslim panelist, Mr. Abdulrahman Mwalongo, was writing something and needed a ruler which was in the Chairperson’s draw.

      When he opened it he found along with the ruler, a list of 25 First class Muslim candidates who had not yet been allocated any place in High Schools while all their Christian counterparts had already been placed.

      And the panel’s chairperson who was also a Reverend had not even hinted that there was such a list.

      Mwalongo is from the Hehe ethnic group. And the Hehe are known in Tanzania as fierce warriors. When their colleagues returned, Mwalongo reminded the chairperson about the list in his draw. He brushed aside Mwalongo’s concern saying that those candidates would be taken care of later.

      Quite unexpectedly,Mwalongo banged his table so forcefully that all members were taken aback. Shaking with rage Mwalongo told the chairperson no business would take place in that room before the allocation of the 25 Muslim students. The chairperson backed down and those students were placed. In July 1997 I cross-checked Mzee Lilla’s account with Mwalongo himself. He confirmed the story. As I am writing this book, both of them are still alive and can easily be contacted for further details."

      Baada ya kuonekana ukweli huu katika kitabu cha Prof. Njozi serikali ya Benjamin Mkapa ilikipiga marufuku. Kuwa na kitabu hicho ni kosa la jinai.
      Last edited by Mohamed Said; 3rd June 2012 at 20:29.

    21. #19
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 4,522
      Rep Power : 1754
      Likes Received
      2376
      Likes Given
      166

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By dundula
      km wagala walivyojazwa humo na kuanza kuua hata shule za serikali na kupandisha chati shule zao kwa ulaghai na wiziwizi tu aminiusiamini wanafunzi bora na shule bora ni za serikali na sio shule zenu hizo za misheni
      "In 1987 the then Minister for Education and Culture the late Professor Kighoma Malima discovered that deserving Muslim candidates were deliberately being denied access to secondary education.(It is curious to note that throughout his 25 - year rule, Nyerere had always appointed a Christian to head the Ministry of Education and a Muslim to head the Ministry of Home Affairs.)

      The trick used by the Christian dominated panel was to select the candidates after decoding their examination numbers. Professor Malima directed the panel to select and announce the results using examination numbers only. In that year the percentage of selected Muslim candidates rose by 40 per cent! He alerted the president about the matter and suggested a thorough investigation be carried out. He was branded “Mujahidina” and removed from that portfolio and the selection panel reverted to its old system. He repeated those charges at a public rally in Dar es Salaam in 1995. Any government which is “fiercely secular” would certainly wish to know the truth of the matter.

      Apparently there was no need for the government to investigate the obvious. On July 7, 1999 Muslim leaders paid a courtesy call to President Mkapa at the State House in Dar es Salaam. In the course of their informal discussions Muslims raised the issue of decoding examination numbers. According to my informant the president was clearly surprised. When he asked his Minister for Education and Culture who also attended the talks, the minister confirmed the Muslims’ account. As a result one of the numerous but supposed “isolated” cases came to light in January 1999.

      A Muslim candidate one Adam Ramadhani Kindenge of Gilman Rutihinda primary school was not selected.

      His father disputed the fairness of the selection process and demanded to be shown the scripts. It was an embarrassing case. Christian candidates with lower points were selected and Adam who had higher points was left out. No one in the ministry could hazard an explanation. The case was disconcerting in view of Kitwana Kondo’s question in Parliament. But it was a case which like others in the past the ministry managed to suppress. For details see Ramadhani Kindenge’s two letters to the Ministry of Education and Culture (1999).

      Despite protests from Muslims, the same ministry had also successfully managed to hide from many unsuspecting Tanzanians another discomfiting letter bearing Ref. No. E10/MMC-1/183 of 9 June, 1998 from the Morogoro Municipal Education Officer directing all Headteachers to submit to that office the names of all Standard Seven Catholic students! When a weekly Muslim newspaper An-Nuur confronted the ministry with that letter the spokesperson was too embarrassed to comment. He promised however to investigate the matter. A time-tested device of dropping a hot potato!

      Adam Kindenge’s case above is not an isolated one. Muslims have a long list of such cases. The name of a selected Muslim candidate, Kopa Abdallah of Kichangani primary school, in Kilosa was in 1983 unfairly cancelled out in favour of a Christian, Mr. Anthony Samirani who scored less points. Mr. Kopa is today employed as a driver. Was it merely a case of corruption? In his long career as a Secondary School Headmaster and later as a high ranking civil servant, Mr. Bori Lilla was twice confronted with incredible discoveries of religious discrimination in the country. Mr. Bori Lilla is today one of the highly respected Muslim elders in the country and is affectionately referred to as “Mzee Lilla”.

      He told me and he has repeated this account to many others that he was once in the marking and selection committee and was mistaken for a Christian. After marking the scripts he decoded and recorded the names according to their
      pass marks, and there were as many Muslims as there were Christians. A fellow panelist who was a Christian saw the list and was very furious, he said in a loud voice, “Wewe huoni kama orodha yako ina Waislamu wengi sana, au wewe ni mgeni nini hapa?” (Don’t you see that your list has so many Muslims, or could it be that you are a new comer here?). Mzee Lilla says that he responded in an equally loud voice, “Mimi siyo mgeni, mimi ni Muislamu”. The room was gripped with an eerie silence.

      Mzee Lilla witnessed the second revelation of deliberate religious discrimination when he was in the selection panel for allocating High School places for deserving Ordinary Level candidates. It was during the Islamic holy month of Ramadhan and they had almost finished their task when Christian panelists broke for lunch. The panel had only two Muslims who stayed behind. The other Muslim panelist, Mr. Abdulrahman Mwalongo, was writing something and needed a ruler which was in the Chairperson’s draw.

      When he opened it he found along with the ruler, a list of 25 First class Muslim candidates who had not yet been allocated any place in High Schools while all their Christian counterparts had already been placed. And the panel’s chairperson who was also a Reverend had not even hinted that there was such a list.

      Mwalongo is from the Hehe ethnic group. And the Hehe are known in Tanzania as fierce warriors. When their colleagues returned, Mwalongo reminded the chairperson about the list in his draw. He brushed aside Mwalongo’s concern saying that those candidates would be taken care of later.

      Quite unexpectedly,Mwalongo banged his table so forcefully that all members were taken aback. Shaking with rage Mwalongo told the chairperson no business would take place in that room before the allocation of the 25 Muslim
      students. The chairperson backed down and those students were placed. In July 1997 I cross-checked Mzee
      Lilla’s account with Mwalongo himself. He confirmed the story. As I am writing this book, both of them
      are still alive and can easily be contacted for further details."

      Baada ya kuonekana ukweli huu katika kitabu serikali ya Benjamin Mkapa ilikipiga marufu

    22. #20
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Baraza la mitihani wawajibishwe

      Quote By Mohamed Said
      "In 1987 the then Minister for Education and Culture the late Professor Kighoma Malima discovered that deserving Muslim candidates were deliberately being denied access to secondary education.(It is curious to note that throughout his 25 - year rule, Nyerere had always appointed a Christian to head the Ministry of Education and a Muslim to head the Ministry of Home Affairs.)

      The trick used by the Christian dominated panel was to select the candidates after decoding their examination numbers. Professor Malima directed the panel to select and announce the results using examination numbers only. In that year the percentage of selected Muslim candidates rose by 40 per cent! He alerted the president about the matter and suggested a thorough investigation be carried out. He was branded “Mujahidina” and removed from that portfolio and the selection panel reverted to its old system. He repeated those charges at a public rally in Dar es Salaam in 1995. Any government which is “fiercely secular” would certainly wish to know the truth of the matter.

      Apparently there was no need for the government to investigate the obvious. On July 7, 1999 Muslim leaders paid a courtesy call to President Mkapa at the State House in Dar es Salaam. In the course of their informal discussions Muslims raised the issue of decoding examination numbers. According to my informant the president was clearly surprised. When he asked his Minister for Education and Culture who also attended the talks, the minister confirmed the Muslims’ account. As a result one of the numerous but supposed “isolated” cases came to light in January 1999.

      A Muslim candidate one Adam Ramadhani Kindenge of Gilman Rutihinda primary school was not selected.

      His father disputed the fairness of the selection process and demanded to be shown the scripts. It was an embarrassing case. Christian candidates with lower points were selected and Adam who had higher points was left out. No one in the ministry could hazard an explanation. The case was disconcerting in view of Kitwana Kondo’s question in Parliament. But it was a case which like others in the past the ministry managed to suppress. For details see Ramadhani Kindenge’s two letters to the Ministry of Education and Culture (1999).

      Despite protests from Muslims, the same ministry had also successfully managed to hide from many unsuspecting Tanzanians another discomfiting letter bearing Ref. No. E10/MMC-1/183 of 9 June, 1998 from the Morogoro Municipal Education Officer directing all Headteachers to submit to that office the names of all Standard Seven Catholic students! When a weekly Muslim newspaper An-Nuur confronted the ministry with that letter the spokesperson was too embarrassed to comment. He promised however to investigate the matter. A time-tested device of dropping a hot potato!

      Adam Kindenge’s case above is not an isolated one. Muslims have a long list of such cases. The name of a selected Muslim candidate, Kopa Abdallah of Kichangani primary school, in Kilosa was in 1983 unfairly cancelled out in favour of a Christian, Mr. Anthony Samirani who scored less points. Mr. Kopa is today employed as a driver. Was it merely a case of corruption? In his long career as a Secondary School Headmaster and later as a high ranking civil servant, Mr. Bori Lilla was twice confronted with incredible discoveries of religious discrimination in the country. Mr. Bori Lilla is today one of the highly respected Muslim elders in the country and is affectionately referred to as “Mzee Lilla”.

      He told me and he has repeated this account to many others that he was once in the marking and selection committee and was mistaken for a Christian. After marking the scripts he decoded and recorded the names according to their
      pass marks, and there were as many Muslims as there were Christians. A fellow panelist who was a Christian saw the list and was very furious, he said in a loud voice, “Wewe huoni kama orodha yako ina Waislamu wengi sana, au wewe ni mgeni nini hapa?” (Don’t you see that your list has so many Muslims, or could it be that you are a new comer here?). Mzee Lilla says that he responded in an equally loud voice, “Mimi siyo mgeni, mimi ni Muislamu”. The room was gripped with an eerie silence.

      Mzee Lilla witnessed the second revelation of deliberate religious discrimination when he was in the selection panel for allocating High School places for deserving Ordinary Level candidates. It was during the Islamic holy month of Ramadhan and they had almost finished their task when Christian panelists broke for lunch. The panel had only two Muslims who stayed behind. The other Muslim panelist, Mr. Abdulrahman Mwalongo, was writing something and needed a ruler which was in the Chairperson’s draw.

      When he opened it he found along with the ruler, a list of 25 First class Muslim candidates who had not yet been allocated any place in High Schools while all their Christian counterparts had already been placed. And the panel’s chairperson who was also a Reverend had not even hinted that there was such a list.

      Mwalongo is from the Hehe ethnic group. And the Hehe are known in Tanzania as fierce warriors. When their colleagues returned, Mwalongo reminded the chairperson about the list in his draw. He brushed aside Mwalongo’s concern saying that those candidates would be taken care of later.

      Quite unexpectedly,Mwalongo banged his table so forcefully that all members were taken aback. Shaking with rage Mwalongo told the chairperson no business would take place in that room before the allocation of the 25 Muslim
      students. The chairperson backed down and those students were placed. In July 1997 I cross-checked Mzee
      Lilla’s account with Mwalongo himself. He confirmed the story. As I am writing this book, both of them
      are still alive and can easily be contacted for further details."

      Baada ya kuonekana ukweli huu katika kitabu serikali ya Benjamin Mkapa ilikipiga marufu
      Too much copy and paste
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...