Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 112
    1. #1
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita na sasa ni mhadhiri chuo kimoja hapa TZ. Ukweli ni kwamba GPA nzuri (ambayo sasa mi naiita mbaya!) ndio iliyonifanya nishawishiwe na kushawishika kubaki hapo nilipo!, Nikapata nafasi ya kwenda kusoma masters then PhD kwa takriban miaka kama 6 hivi. Tulipomaliza Undergrad kama kawaida watu/classmates tulitawanyika kila mtu kutafuta maisha kwa namna yake. Sasa kwahiyo miaka sita niliyopoteza kwa kusoma, wenzangu walibaki nchini wengine walipata kazi serikalini, wengine kampuni binafsi ambapo huko ni watu wenye vyeo na experience nzuri sana. Ukiachana na hayo ukweli ni kwamba wenzangu wapo mbali sana kimaisha kiasi kwamba nahisi mimi kama vile nilipotea au ile GPA niliyopata ndio iliniponza ingawa kwa wakati ule nilijihisi mi ndio mwenye bahati, lakini naona ni tofauti kabisa hasa nikijilinganisha na wenzangu na hiyo miiaka sita nimefanya maendeleo gani, wenzangu wana mengi sana ambayo mi ndio nafikiria kuanza.

      Mbaya zaidi uhadhiri haulipi kabisa, yani ni kutegemea mshahara tu!. Na nikiangalia masenior wangu (Professors etc) hawana maendeleo yoyote, wanalia na njaa tu, wapo wanahangaika na vibiasharabiashara vidogo ambavyo kweli vinachangia kwa wahadhiri wengi kutojiandaa vizuri wanapoingia madarasani kufundisha. Maisha na heshima ya mwalimu wa chuo ni vitu viwili tofauti kabisa (sivyo vile watu wanavyofikiria)!.

      Kweli uwalimu ni wito!, lakini kama hauridhiki na unachokipata na hauwezi kujikwamua na maisha magumu na majukumu ambayo unayo kila siku, kweli uwezekano wa kufunza tu ilimradi siku ziende utakuwepo tu miaka yote, sababu utakuwa unatumia muda mwingi kufanya madili mengine nje na kazi ya kufundisha.

      Je ni Kweli GPA kubwa iliniponza!! Niache hii kazi nitafute nyingine!!.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    2. Miaka 50

    3. #21
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9578
      Likes Given
      683

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Aaah wasomi nyie mna mambo!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #22
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By odinyo
      Mkuu,

      Kama kweli ww ni msomi mwenye GPA kubwa na umeendelea kama ulivyoadithia basi
      usitupotoshe wenzio na wengine wenye nia nzuri ya kufanya/kusoma kwa jitihada kupata marks nzuri,
      kwako ww si tu uhaziri bali ndio uliandikiwa kua na maisha hayo. je hujaona mtu akawa na mali kibao then akarudi kua hana kitu?!!

      acha kudidimiza watu. ndg zangu tusome tena kwa jitihada kubwa, hiyo ndio funguo ya maisha
      Ufunguo wa maisha kwenda wapi!!!.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    5. #23
      Malikauli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd March 2012
      Posts : 42
      Rep Power : 372
      Likes Received
      12
      Likes Given
      23

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Kaka shukru Mungu kwamba unayo hiyo elimu ya kutosha na unao huo mshahara uanouita mdogo.Kupata GPA kubwa hakukufanyi uwe tajiri wala maskini.Mimi kwa mtazamo wangu ukiwa na kazi ya uhadhiri na bado ukawa maskini ni kama unajitakia vile...uhadhiri ni moja ya ajira chache Tz zenye mshahara wa kueleweka zaidi ya hapo wahadhiri mnakuwa na muda mwingi sana free kuweza kuendesha miradi yako binafsi../.Natamani ningekuwa na hizo GPA nipate kazi ya uhadhiri.Buni miradi itakulipa,kuenedelea kujilinganisha na wenzako kutakuletea pressure bure...
      pono likes this.

    6. #24
      Malyenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Posts : 702
      Rep Power : 631
      Likes Received
      116
      Likes Given
      158

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Goodrich hujamwelewa!! katika maelezo yake hajasema kama PhD alikuwa na malengo nayo. Alijikuta amefika huko baada ya undergraduate kupata GPA kubwa. maana yake hakuwa na malengo ya hivyo....Yeye alitaka kufanikiwa kwa kupata kazi nzuri ama biashara inayomwingizia kipato kikubwa. soma vizuri maelezo yake utagundua hata kufundisha si kazi aliyoichagua.

    7. #25
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By ZeMarcopolo
      Unaposema wenzako wako mbali kimaisha unamaanisha nini?

      Je, ulipokubali kuingia kwenye uhadhiri ulikuwa na mipango gani kimaisha?

      Je, unafahamu kuwa academicians hupata mapato zaidi kwa kupitia grants za tafiti na miradi mbalimbali, je umewahi kuapply grants ngapi? Je, umebuni projects ngapi?

      Baada ya kujibu haya maswali jiulize kama cha kulaumu ni GPA, uhadhiri au your own lack of creativity?!!!
      Ni sawa lakini si TZ yetu ukilinganisha na nchi zingine nyingi!!. kwenye hilo labda nitoke nje ya nchi, na ndio wengi walivyofanya baada ya kukata tamaa na Maisha na Mambo ya TZ, wengine wanakimbilia siasa.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,896
      Rep Power : 5057
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      2627

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Mafanikio uja kwa kupenda kile unachofanya-ielewe mitaa

    10. #27
      Congo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 454
      Rep Power : 661
      Likes Received
      49
      Likes Given
      39

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Usidanganyike ndugu. Kama kuna uliyemwacha kakuzidi basi kaiba au kala rushwa. Kwa kiwango ulichonacho ni uvumilivu na kufanya private research na consultance nyingi ili kuongeza kipato. Kwa phd huku haja ya kufuga kuku au kununua daladala.

    11. #28
      Jamco_Za's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2007
      Posts : 1,238
      Rep Power : 853
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default

      Huyu ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wala hana PHD kama anayo basi ya kwenye mtandao. Maisha na kufahuru wapi na wapi, wangapi hawajasoma kabisa na ni matajiri

      Na mvivu maana maprof. siku hizi wanatengeneza pesa nzuri sana kwa kufundisha vyuo mbali mbali

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    12. #29
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By Jamco_Za
      Huyu ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wala hana PHD kama anayo basi ya kwenye mtandao. Maisha na kufahuru wapi na wapi, wangapi hawajasoma kabisa na ni matajiri

      Na mvivu maana maprof. siku hizi wanatengeneza pesa nzuri sana kwa kufundisha vyuo mbali mbali

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Pesa nzuri kiasi gani!!. Funguka zaidi kabla hujahitimisha hivyo!.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    13. #30
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Kama ni msomi uliyekubuhu na kufikia kiwango cha PhD ambacho si wengi walio-bahatika kufikia. Inabidi uwe na ufahamu wa kuwa, fedha na mali sio kila kitu.

      Achievement bora zaidi ni kuwa na furaha ya moyoni kuridhika na ukifanyacho. Kama unaona huridhiki na kufundisha fanya utachoona kinakuridhisha satisfaction), lakini, usifikiri kuwa achievement ya usomi ni kipato, ungekuwa unataka kipato ungeachana na kusoma ukajiingiza kwenye biashara, unakumbuka kisa cha Bill Gates?

      Fanya unachoona kitakupa wewe "tranquility" au inner self happiness.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #31
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,141
      Rep Power : 5028
      Likes Received
      2393
      Likes Given
      2216

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By BIG Banned
      Ni sawa lakini si TZ yetu ukilinganisha na nchi zingine nyingi!!. kwenye hilo labda nitoke nje ya nchi, na ndio wengi walivyofanya baada ya kukata tamaa na Maisha na Mambo ya TZ, wengine wanakimbilia siasa.
      BIG Banned, quite opposite! Ukiwa katika nchi masikini ni rahisi zaidi kupata grants za miradi na tafiti. Wewe umebobea kwenye field gani? Nijulishe ili nikutafutie links za opportunities za kutengeneza mamilioni. Kuna watu kibao all over the world wanatafuta reliable professional partners katika nchi zilizoendelea. Kama uko affiliated na higher learning institution it makes everything easier.
      Moony likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    15. #32
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,974
      Rep Power : 2633
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      499

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By Bazazi
      GPA = Grade Point Average ukiwa na daraja la kwanza hongera. Wengine tuliondoka na Likikwete na tunapeta maishani.

      Tuyaacha mapuuza. Tumia elimu yako na mashahara wako kidogo upatao kuanzisha mradi uliokatikafani yako naamini utafanikiwa.
      Yaani umaniacha nacheka mbavu sina wewe baba Mwanaasha!!! Acha uchokozi wewe. Mwenzio nina GPA kali na maisha makali tu na sasa ninasoma ninataka first class ya 4.9!!! Yaani A zote na B plus moja tu nimepata somo moja but hili nilikosa maksi 2.5 nipate A (nimeamua kusoma masters moja of my choice to enhance my areas of expertise). Katika vyote elimu yangu imenisaidia niko mitaani jambo nilipomaliza IDS walinitaka nibaki pale (japo nilisoma idara nyingine si IDS) as researcher na mwalimu. Nikautizame mshahara weee wa 324, 000 basic enzi hizo nikakatimka kufanya private kwa mshahara wa zaidi ya dola 1500 enzi zile na nimeamua kubaki huku huku mitaani tu. Ninachokiona chuo sasa through maongezi na lecturers mbalimbali tatizo ni utitiri wa wanafunzi, mwalimu hana muda wa kutosha wa consultancies and research kama ilivvyokuwa enzi zetu nakumbuka darasa langu tulikuwa wanafunzi 30 tu!! Kweli hata mimi nigekuweko huko ningeshaondoka. Hailipi!!! Omba UN organisations mkuu kule salary dola 7 na kuendelea!!! Mimi naangalia life now!!! At the same time hiyo pension ya wahadhiri ndani ya PPF ni balaa bora wangehamishiwa PSPF!! So sad!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    16. #33
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,126
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      .....elimu siyo sawa na utajiri. Na tafiti nyingi zinaonesha, kwa mfano, mwenye elimu ya biashara (MBA) hawezi leta mafanikio ktk kampuni tofauti na wasio kuwa na elimu ya biashara, ni experience ndiyo yenye umuhimu. Kwa hiyo huo muda unaopoteza ukiwa shule wenzako wanapata experience ya kutengeneza pesa, kwa hiyo ukirudi inabidi uanze kujifunza jinsi ya kutengeneza pesa. Ukikubali kujifunza unaweza kuja wapita, ila ukibaki unajiona elimu yako ni bora basi wenzako utawasikia tu!! na hili ndilo huwaponza wasomi wengi, kwa kuiona wao eti wasomi.
      jamii01 likes this.
      Mimi siyo mwana siasa!

    17. #34
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Quote By Maane
      Yaani umaniacha nacheka mbavu sina wewe baba Mwanaasha!!! Acha uchokozi wewe. Mwenzio nina GPA kali na maisha makali tu na sasa ninasoma ninataka first class ya 4.9!!! Yaani A zote na B plus moja tu nimepata somo moja but hili nilikosa maksi 2.5 nipate A (nimeamua kusoma masters moja of my choice to enhance my areas of expertise). Katika vyote elimu yangu imenisaidia niko mitaani jambo nilipomaliza IDS walinitaka nibaki pale (japo nilisoma idara nyingine si IDS) as researcher na mwalimu. Nikautizame mshahara weee wa 324, 000 basic enzi hizo nikakatimka kufanya private kwa mshahara wa zaidi ya dola 1500 enzi zile na nimeamua kubaki huku huku mitaani tu. Ninachokiona chuo sasa through maongezi na lecturers mbalimbali tatizo ni utitiri wa wanafunzi, mwalimu hana muda wa kutosha wa consultancies and research kama ilivvyokuwa enzi zetu nakumbuka darasa langu tulikuwa wanafunzi 30 tu!! Kweli hata mimi nigekuweko huko ningeshaondoka. Hailipi!!! Omba UN organisations mkuu kule salary dola 7 na kuendelea!!! Mimi naangalia life now!!! At the same time hiyo pension ya wahadhiri ndani ya PPF ni balaa bora wangehamishiwa PSPF!! So sad!
      Nakushukuru sana, umeongeza kitu muhimu sana. Ni ngumu sana mtu kuelewa namaanisha nini. Nadhani soln ni hiyo. kutafuta kazi nyingine inayolipa. Wengine siasa hatuwezi.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    18. #35
      javascript's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 152
      Rep Power : 410
      Likes Received
      35
      Likes Given
      6

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      vyeti vyako vitakuwa urithi kwa watoto wako

    19. #36
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,223
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      546
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By BIG Banned
      Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita na sasa ni mhadhiri chuo kimoja hapa TZ. Ukweli ni kwamba GPA nzuri (ambayo sasa mi naiita mbaya!) ndio iliyonifanya nishawishiwe na kushawishika kubaki hapo nilipo!, Nikapata nafasi ya kwenda kusoma masters then PhD kwa takriban miaka kama 6 hivi. Tulipomaliza Undergrad kama kawaida watu/classmates tulitawanyika kila mtu kutafuta maisha kwa namna yake. Sasa kwahiyo miaka sita niliyopoteza kwa kusoma, wenzangu walibaki nchini wengine walipata kazi serikalini, wengine kampuni binafsi ambapo huko ni watu wenye vyeo na experience nzuri sana. Ukiachana na hayo ukweli ni kwamba wenzangu wapo mbali sana kimaisha kiasi kwamba nahisi mimi kama vile nilipotea au ile GPA niliyopata ndio iliniponza ingawa kwa wakati ule nilijihisi mi ndio mwenye bahati, lakini naona ni tofauti kabisa hasa nikijilinganisha na wenzangu na hiyo miiaka sita nimefanya maendeleo gani, wenzangu wana mengi sana ambayo mi ndio nafikiria kuanza.

      Mbaya zaidi uhadhiri haulipi kabisa, yani ni kutegemea mshahara tu!. Na nikiangalia masenior wangu (Professors etc) hawana maendeleo yoyote, wanalia na njaa tu, wapo wanahangaika na vibiasharabiashara vidogo ambavyo kweli vinachangia kwa wahadhiri wengi kutojiandaa vizuri wanapoingia madarasani kufundisha. Maisha na heshima ya mwalimu wa chuo ni vitu viwili tofauti kabisa (sivyo vile watu wanavyofikiria)!.

      Kweli uwalimu ni wito!, lakini kama hauridhiki na unachokipata na hauwezi kujikwamua na maisha magumu na majukumu ambayo unayo kila siku, kweli uwezekano wa kufunza tu ilimradi siku ziende utakuwepo tu miaka yote, sababu utakuwa unatumia muda mwingi kufanya madili mengine nje na kazi ya kufundisha.

      Je ni Kweli GPA kubwa iliniponza!! Niache hii kazi nitafute nyingine!!.
      mkuu fundisha hata tuition itakulipa.kuna jamaa mmoja anaitwa kamanija a.k.a wagi,a.ka.a son of africa.huyu ni mjasiriamali vibaya,pamoja na kuwa lecturer pale Turdaco akifundisha law,lakini jamaa anapiga tution kuanzia a level mpaka chuo watu wa open university jion pale buguruni malapa na anapiga hela ndeeeeefu kuliko hata huo mshahara anaolipwa huku anatozwa makodi kibaaaaao.ni kujipanga tu kaka.baba yangu mdogo ni prof kuna ndugu yangu mwingine ye ni lecturer wote wapo haposua,but ukilinganisha maisha yao ni tofaut mwenye masters kapiga maendelea mbayaaaaa,yaani kupitia maendeleo ya bwana mdogo dingi mdogo leo hii ndo anstshuka.kwa hiyo mkuu haya mabo ya GpA kubwa au ndogo sio ishu ishu ni wewe mwenyewe umejipangaje,unatumiaje fursa ulizonazo na zinazokuzunguka. Hujaona watoto wa kichaga na kikinga darasa la saba wanapiga biashara china,dubai,korea india na bongo na wanamkwanja mrefu tu? Hyo nayo ni gpa?
      BIG Banned likes this.

    20. #37
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,223
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      546
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By Maane
      Yaani umaniacha nacheka mbavu sina wewe baba Mwanaasha!!! Acha uchokozi wewe. Mwenzio nina GPA kali na maisha makali tu na sasa ninasoma ninataka first class ya 4.9!!! Yaani A zote na B plus moja tu nimepata somo moja but hili nilikosa maksi 2.5 nipate A (nimeamua kusoma masters moja of my choice to enhance my areas of expertise). Katika vyote elimu yangu imenisaidia niko mitaani jambo nilipomaliza IDS walinitaka nibaki pale (japo nilisoma idara nyingine si IDS) as researcher na mwalimu. Nikautizame mshahara weee wa 324, 000 basic enzi hizo nikakatimka kufanya private kwa mshahara wa zaidi ya dola 1500 enzi zile na nimeamua kubaki huku huku mitaani tu. Ninachokiona chuo sasa through maongezi na lecturers mbalimbali tatizo ni utitiri wa wanafunzi, mwalimu hana muda wa kutosha wa consultancies and research kama ilivvyokuwa enzi zetu nakumbuka darasa langu tulikuwa wanafunzi 30 tu!! Kweli hata mimi nigekuweko huko ningeshaondoka. Hailipi!!! Omba UN organisations mkuu kule salary dola 7 na kuendelea!!! Mimi naangalia life now!!! At the same time hiyo pension ya wahadhiri ndani ya PPF ni balaa bora wangehamishiwa PSPF!! So sad!
      we mhaya au myakyusa? Mbona unajimwambafai kiasi hiki mazeee!
      mtanzania1989 likes this.

    21. #38
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,223
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      546
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By Ng`wanakidiku
      .....elimu siyo sawa na utajiri. Na tafiti nyingi zinaonesha, kwa mfano, mwenye elimu ya biashara (MBA) hawezi leta mafanikio ktk kampuni tofauti na wasio kuwa na elimu ya biashara, ni experience ndiyo yenye umuhimu. Kwa hiyo huo muda unaopoteza ukiwa shule wenzako wanapata experience ya kutengeneza pesa, kwa hiyo ukirudi inabidi uanze kujifunza jinsi ya kutengeneza pesa. Ukikubali kujifunza unaweza kuja wapita, ila ukibaki unajiona elimu yako ni bora basi wenzako utawasikia tu!! na hili ndilo huwaponza wasomi wengi, kwa kuiona wao eti wasomi.
      na wasomi wengi sio marisk taker/not enterprenuer kwa sababu wao huonza na analysis ya setback kwanza.
      BIG Banned likes this.

    22. #39
      SR senior's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 270
      Rep Power : 415
      Likes Received
      24
      Likes Given
      18

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      ama kweli nature ya mtu haibadiliki ht kama amesoma vp..yaani we ukipewa kitengo utaiba mbaya kwa tamaa uliyokua nayo.
      BIG Banned likes this.

    23. #40
      babuwaloliondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 286
      Rep Power : 471
      Likes Received
      100
      Likes Given
      613

      Default Re: Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

      Uliondika hapa ni ukweli mtu, uhadhiri katika vyuo vyetu ni sifa tu za kujinga, kwa ujumla watu wamechoka sana, sema ile status quo wanajaribu kuimaitain kwa kulazimisha.
      Waadhiri wengi wana msongo wa mawazo na work load kubwa, na bado lawama.
      BIG Banned likes this.
      The hottest places in hell are reserved for those who in times of great moral crisis maintain their neutrality.- JFK

    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...