Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili Udom panatisha

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 0
      Likes Received
      185
      Likes Given
      1

      Default Kwa hili Udom panatisha

      Leo kulikuwa na uchaguzi wa viongozi hapa katika chuo kikuu cha Dodoma lakini kwa jinsi ambavyo mwenendo wa uchaguzi ulivyokwenda hakika inasikitisha sana, hapa nazungumzia kwenye college ya Social science and humaties
      kuanzia katika uundwaji wa tume mambo yalianza kufumuka mara baada ya kugundulika katika tume ya watu kumi wajumbe tisa ni waisram, wapiga kura walitulia na hawakuona tatizo kumbuka tume hii imeundwa na spika Issa mohamed baada ya rais na makamu wa rais kuwa wamefukuzwa chuo tangia mgomo uliopita, mambo hayakuishia hapo wakati wa uchukuaji fomu nafasi ya urais walichukua watu wanne wawili waisramu na wawili wakristo na ubunge watu 56 wakristo 33 waisram 23 tatizo likaja mara baada ya tume kukaa na kuanza kuchambua wagombea katika ngazi ya urais wakristo wote wakatolewa na kubaki waisram 2 na ubunge waisram wote 23 wote wakapita pamoja na wakristo 17 ili kutimiza idadi ya wagombea 40. Mgombea urais bwana Nzamba Nasser aliamua kukata rufaa na bodi ilipokaa na kupitia hoja zake ikaamua kumrudisha na hivyo kutimiza wagombea 3 wa urais lakini cha kushangaza masaa takribani 12 ya uchaguzi kufanyika tume ikamwondoa tena bila hata kutaja sababu yeyote hasira kwa watu ziliongezeka kwani jamaa ndio alikuwa chaguo pekee hivyo kusababisha watu kupiga kura kwa hasira huku wengine wakisusia uchaguzi na wabunge wengine kuamua kujitoa kwenye uchaguzi hasa wa post za ubunge. Mara baada ya kura kuhesabiwa rais bwana Idd Muhammad amepatikana kwa kura 189 dhidi ya mwenzake bwana Zuberi aliyepata kura 81 huku kura zaidi ya 3000 kuharibika kwa watu kuandika kwamba wote hawafai huku zaidi ya 6000 hawakupiga kura kwa madai hawamwoni mtu wa kumpigia kura na wabunge kupatikana wengine kwa kura 10 na wengine hata chini ya hapo
      mytake
      kwa hali iliyopo udom panatisha kwani ukijaribu tu kuhoji PT 562 inakuja kukuchukua hivyo bora week 3 zilizobaki ziishe haraka tuondoke

    2. Miaka 50

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      acha udini umeenda dodoma kusoma ama kuangalia nani mwislamu nani mkristo? hujui kuna wakristo wanaitwa Juma
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 456
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Ubarikiwe kwa kutuletea habari motomoto kama hii.Ukipata nyingine uwanja ni wako.Kuhusu huo uchaguzi,tukubali tusikubali,hili linchi limeshakuwa corrupt kuanzia ngazi ya kaya mpaka huko walipo wenye nchi!Mambo yanaendeshwa ndivyo sivyo ili mradi yaishe na watu wasiostahili ndiwo washikao hatamu!

    5. #4
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 0
      Likes Received
      185
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      acha udini umeenda dodoma kusoma ama kuangalia nani mwislamu nani mkristo? hujui kuna wakristo wanaitwa Juma
      hata kama ni mdini potelea mbali lakini hali ni mbaya kwa wakrito kwani wanafukuzwa hovyo tu

    6. #5
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 456
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By DOMA
      hata kama ni mdini potelea mbali lakini hali ni mbaya kwa wakrito kwani wanafukuzwa hovyo tu
      Pepo la udini lishindwe katika JINA LA YESU.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 682
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Chomeni hiyo PT

    9. #7
      MCHUMIPESA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 413
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Mimi nilipost Ritz na wenzake wakajamba kumbe walikuwa wanaharisha.Ona sasa huu uchafu.

    10. #8
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,193
      Rep Power : 2430
      Likes Received
      947
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      acha udini umeenda dodoma kusoma ama kuangalia nani mwislamu nani mkristo? hujui kuna wakristo wanaitwa Juma
      Hujui kama ccm ndo wanakiharibu hiki chuo? Sidhani kama kitakuwa competitive ktk outlet zake sokoni nawahurtmia sana waliopo pale, ktk hili la udini inaonyesha serikali inawaogopa waislamu na kujaribu kuwabembeleza na wadhifa mbalimbali japo hawawezi na wengine hawana qualification na hili ndilo linalotuangamiza watz

    11. #9
      Kaseisi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 381
      Likes Received
      24
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Kama ni kweli basi kazi ipo

    12. #10
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 423
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Gomeni tena mwaya mrudi nyumbani. Mbona huzungumzii jinsi mlivyoshikishwa adabu na uongozi? Tunasikia siku hizi Social Science hakuna vichupi wala vimini, ni kweli ati?

      Tumesikia kwamba UDOM -College of Education kuanzia Block Leader ni Chadema mpaka ngazi za juu? Mbona U-vyama haulalamikiwi ilan Udini unalalamikiwa sana? Fanyeni mfunge chuo kwanza ili malalamiko ya UDOM yapungue.

    13. #11
      MAKOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 423
      Rep Power : 452
      Likes Received
      109
      Likes Given
      105

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Quote By DOMA
      hata kama ni mdini potelea mbali lakini hali ni mbaya kwa wakrito kwani wanafukuzwa hovyo tu
      kwa hyo lalamiko ni uchaguzi wa udini au kufukuzwa kwa wakristo? weka sababu za kufukuzwa.

    14. #12
      GABE100's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 50
      Rep Power : 371
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      tunalamimika 2 tuanze kupambana kwa vitendo. hatutafika kwa style hii bwashe. hivi huu si ni utahira chuo cha watu zaidi ya elfu kumi anatuongoza mtu aliyepata kura sizozidi mia tano. hivi nchi kuna wasomi kweli. tuamke kuanzia kesho tulianzishe.

    15. #13
      chief-mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 3,440
      Rep Power : 1545
      Likes Received
      994
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      raisi federation- mkristo
      Makamu-mkristo
      Raisi social-muislamu(idi)
      Makamu-mkristo(baraka)
      School representative social-mkristo(theonas)
      Wabunge wapo 10,
      1.kawiche bernard
      2.mjaka mjaka
      3.mwenda william
      4.mtono juma
      5.hassan kilingo
      6.madundo elizabeth
      7. Noel stanley
      8.rabson melodina
      9. Timu inlakunda
      10. Naal samwel.

      Jaman wana jf naamini nyie ni great thinkers hivi kuna udini hapo??

      Na kama upo nani anaebagua wenzie?

      Kati ya hao viongozi wa juu social 15 watatu tu ndio waislamu na 12 wakristo je kuna ubaguzi??

      Hii ina maana asilimia 80 ya viongozi wakristo na waislamu ni asilimia 20 tu jamani acheni kutuonea waisilamu.

      Kama kuna data ya uongo hapo juu naomba mtu alete zake na mwanzisha topic uache unafiki maana unajua unachoongea ni uongo then unaleta uhasama humu

    16. #14
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 599
      Likes Received
      221
      Likes Given
      186

      Default Re: Kwa hili Udom panatisha

      Walikuwa wanagombea kueneza dini chuoni?
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...