Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa kiislam. mfano shule ya UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO matokeo ya kwanza yalikuwa hivi DIV-I = 1 DIV-II = 11 DIV-III = 54 DIV-IV = 12 FLD = 3 ya sasa ni DIV-I = 4 DIV-II = 24 DIV-III = 47 DIV-IV = 5 FLD = 1. Sasa kwa matokeo haya napata maswali:
1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?
NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.
A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.
Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa kiislam. mfano shule ya UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO matokeo ya kwanza yalikuwa hivi DIV-I = 1 DIV-II = 11 DIV-III = 54 DIV-IV = 12 FLD = 3 ya sasa ni DIV-I = 4 DIV-II = 24 DIV-III = 47 DIV-IV = 5 FLD = 1. Sasa kwa matokeo haya napata maswali:
1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?
NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.
Kama vile ni udaku, hebu weka chanzo cha hii habari tujue.
............Attitude towards Change.................
kimsingi hayamuwezeshi... lakini hapa kuna mambo mengi yamejificha.. unaweza nijibu swali langu la pili apo juu. then rank ya shule kwa ufaulu imeongezeka...
A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.
sasa si mashehe waliwapa pepa rahisi ili mlazimishe hizo division3 badala ya 4 NECTA WAKASTANDADIZE sasa baada ya kulalama kama kawaida yenu wamewaachia mbaki na udini wenu
hivi hayo matokeo ya islamic knowledge yanamuwezesha kuingia chuo gani?
Vyuo vingi duniani kwa sasa vinajumuisha Islamic Shariah na Law (sheria kama somo moja), pia na Islamic Economics wanafanya somo moja na Economics. Utakuta mwanafunzi mwenye Islamic knowledge ana "edge" kuliko asiyonayo kwa dunia ya sasa. Islamic Banking zinazagaa duniani, hata kwetu zimeingia. Islamic Shariah ndio kama ujuavyo, hata Kenya wana Mahakama ya kadhi, na mwanasheria mwenye zote Shariah na Sheria ana demand kubwa zaidi kama ilivyo kwa economist. Funguka.
Mtoa mada nimekomfemu,,,matokeo yamebadilika,,,,shule nayofundisha kulikua na div II tisa,sasa kuna 13,issue ni kwamba hayana tija,ila kuna wakati wapo watu waliwah kutoa maoni juu yanecta'gazet la mwananchi'sasa kwa hili NECTA wanaweza kuwapa sauti wanaowalalamikia,mkumbuke tena hata wazee wa UAMSHO nao walilaumu sana abt NECTA,any way hapa pataleta msuguano sana jaman
hapa ndo nimesema hapo juu,,,,wazee wa muungano WATAWABEBAJE KWA HILI??????isije ikawa ni kweli huwa wanawachakachulia,,,,naangalia shule yangu nayofundisha kulikua na II 9,leo zipo 13
Vyuo vingi duniani kwa sasa vinajumuisha Islamic Shariah na Law (sheria kama somo moja), pia na Islamic Economics wanafanya somo moja na Economics. Utakuta mwanafunzi mwenye Islamic knowledge ana "edge" kuliko asiyonayo kwa dunia ya sasa. Islamic Banking zinazagaa duniani, hata kwetu zimeingia. Islamic Shariah ndio kama ujuavyo, hata Kenya wana Mahakama ya kadhi, na mwanasheria mwenye zote Shariah na Sheria ana demand kubwa zaidi kama ilivyo kwa economist. Funguka.
kweli kabisa,kwa sasa islamic banking inatanuka,,,nilifanya hiyo koz nganz ya certificate,ilikua inatolewa na SUZA hapa dar,jamaa alokua anafundisha ana mastaz yake ameibebea malaysia,na ndo mshauro wa Islamic window hapo NBC,yeye ndo aloi-structure,pia KCB na ndo yeye aloikuwepo kwenye jopo la kuanzisha AMANA BANK,,,,,so kama mtu ana pesa anaweza kwenda kusoma mbele ya safar,,,,juzi nimechungulia mtandao wa chuo fulani huko ulaya nao wanafundijsa islamic banking,nadhan ni uk
sasa si mashehe waliwapa pepa rahisi ili mlazimishe hizo division3 badala ya 4 NECTA WAKASTANDADIZE sasa baada ya kulalama kama kawaida yenu wamewaachia mbaki na udini wenu
hakuna cha kupuuza,,,hapa necta wanawajibika mdau......wanawajibika kwa uzembe,,,,,,hakuna cha standardization wala cha uislam,,,,NECTA wamecheza na elim za watu
kama ni kweli siwezi kushangaa jambo hili kwani kuna wanafunzi wengi sana wamepata matokeo ya kushtua lkn kwa vile baraza ndo mwamuzi basi wameishia kuumia.mi naamini kabisa kuwa kuna madudu mengi yanafanyika mule ila yanafukiwa kimya kimya bila kujali kuwa wanachezea maisha ya watu.
Kama vile ni udaku, hebu weka chanzo cha hii habari tujue.
Hata kama kuna ukweli, naweza fanya conclusion kwamba hayo ni matokeo ya kisiasa. Ambayo yametolewa kutokana na agizo la katibu mkuu. Hao wakuu wa shule za kiislamu hawajui utaratibu wa kukata rufaa kama shule zao zimefanya vibaya hata waamue kumwandikia barua katibu mkuu. Bila shaka katibu mkuu amemwagiza Ndalichako alegeze kidogo msimamo ili kuwabeba hawa wasiokuwa na uwezo wa darasani. Kwa imani yangu kama kweli haya matokeo ni halali na si ya kisiasa, basi kutakuwa na madudu makubwa mno hata katika shule nyingine: za serikali, za private na za seminary.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
HUU MJADALA WA UDINI TU,HAKUNA JIPYA HAPA!HIVI KWA NINI WAISLAMU NI WATU WA KUJIONA 'Superior' KULIKO WAUMINI WA DINI NYINGINE?HIVI HUWA MNAFUNDISHWA CHUKI TU HUKO MISIKITINI?AU MNATAKA KUANZISHA 'jihad'?MMEKUWA WATU WA KULALAMIKA TU KAMA WATOTO WADOGO!
Follow Us Here