Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 67
    1. #1
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Thumbs up Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa kiislam. mfano shule ya UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO matokeo ya kwanza yalikuwa hivi DIV-I = 1 DIV-II = 11 DIV-III = 54 DIV-IV = 12 FLD = 3 ya sasa ni DIV-I = 4 DIV-II = 24 DIV-III = 47 DIV-IV = 5 FLD = 1. Sasa kwa matokeo haya napata maswali:
      1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
      2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
      3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
      4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
      5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?

      NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.


    2. #2
      Raiamwematz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 378
      Likes Received
      18
      Likes Given
      6

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Quote By Muttaline View Post
      Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa kiislam. mfano shule ya UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO matokeo ya kwanza yalikuwa hivi DIV-I = 1 DIV-II = 11 DIV-III = 54 DIV-IV = 12 FLD = 3 ya sasa ni DIV-I = 4 DIV-II = 24 DIV-III = 47 DIV-IV = 5 FLD = 1. Sasa kwa matokeo haya napata maswali:
      1. Haya matokeo kwa nini yaliminywa mwanzo? kuna nini hapa?
      2. Hivi kama waliweza kuchakachua somo hili walishindwa kweli kuchakachua na masomo mengine?
      3. Hivi NECTA wanaweza kuuambia nini ummah kuuaminisha kama wanatenda uadilifu katika mchakato wa kutangaza matokeo?
      4. Hivi Dk Ndalichako na timu yako mnahisi kwa kukubali kutoa matokeo mengine ndo mmemaliza tatizo? me nahisi ndo mmeazisha vita..
      5. Nimetoa sample ya shule moja... vipi kwa matokeo ya shule zote za kiislam watoto walikuwa wamedhulumiwa kwa kiasi gani?

      NB: napata furaha kwa sababu nauona mwisho wako Ndalichako na timu yako.
      Kama vile ni udaku, hebu weka chanzo cha hii habari tujue.
      ............Attitude towards Change.................

    3. #3
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      unaweza kufungua site ya necta... utangundua mabadiliko haya.
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.

    4. #4
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,395
      Rep Power : 1390
      Likes Received
      973
      Likes Given
      182

      Default

      Quote By Muttaline View Post
      unaweza kufungua site ya necta... utangundua mabadiliko haya.
      hivi hayo matokeo ya islamic knowledge yanamuwezesha kuingia chuo gani?

    5. #5
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      kimsingi hayamuwezeshi... lakini hapa kuna mambo mengi yamejificha.. unaweza nijibu swali langu la pili apo juu. then rank ya shule kwa ufaulu imeongezeka...
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.


    6. #6
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1414
      Likes Received
      520
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Degedege View Post
      hivi hayo matokeo ya islamic knowledge yanamuwezesha kuingia chuo gani?
      mayb muslimu university.

    7. #7
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 462
      Likes Received
      74
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      sasa si mashehe waliwapa pepa rahisi ili mlazimishe hizo division3 badala ya 4 NECTA WAKASTANDADIZE sasa baada ya kulalama kama kawaida yenu wamewaachia mbaki na udini wenu

    8. #8
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      nina wasisi wasi hujui unachokiongea.. kuna wakati unatakiwa kuthink positive.
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.

    9. #9
      Codon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 489
      Likes Received
      75
      Likes Given
      21

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Namashaka sana kuwa secta hii imevamiwa!Simnasikia lile tangazo lashule janjajanja!

    10. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Quote By Degedege View Post
      hivi hayo matokeo ya islamic knowledge yanamuwezesha kuingia chuo gani?
      Vyuo vingi duniani kwa sasa vinajumuisha Islamic Shariah na Law (sheria kama somo moja), pia na Islamic Economics wanafanya somo moja na Economics. Utakuta mwanafunzi mwenye Islamic knowledge ana "edge" kuliko asiyonayo kwa dunia ya sasa. Islamic Banking zinazagaa duniani, hata kwetu zimeingia. Islamic Shariah ndio kama ujuavyo, hata Kenya wana Mahakama ya kadhi, na mwanasheria mwenye zote Shariah na Sheria ana demand kubwa zaidi kama ilivyo kwa economist. Funguka.
      Saint Ivuga and Muttaline like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #11
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Sasa nakubali kilio cha Wazanzibari kwa NECTA.
      Muttaline likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #12
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Mtoa mada nimekomfemu,,,matokeo yamebadilika,,,,shule nayofundisha kulikua na div II tisa,sasa kuna 13,issue ni kwamba hayana tija,ila kuna wakati wapo watu waliwah kutoa maoni juu yanecta'gazet la mwananchi'sasa kwa hili NECTA wanaweza kuwapa sauti wanaowalalamikia,mkumbuke tena hata wazee wa UAMSHO nao walilaumu sana abt NECTA,any way hapa pataleta msuguano sana jaman
      Muttaline likes this.

    13. #13
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By zomba View Post
      Sasa nakubali kilio cha Wazanzibari kwa NECTA.
      hapa ndo nimesema hapo juu,,,,wazee wa muungano WATAWABEBAJE KWA HILI??????isije ikawa ni kweli huwa wanawachakachulia,,,,naangalia shule yangu nayofundisha kulikua na II 9,leo zipo 13

    14. #14
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By zomba View Post
      Vyuo vingi duniani kwa sasa vinajumuisha Islamic Shariah na Law (sheria kama somo moja), pia na Islamic Economics wanafanya somo moja na Economics. Utakuta mwanafunzi mwenye Islamic knowledge ana "edge" kuliko asiyonayo kwa dunia ya sasa. Islamic Banking zinazagaa duniani, hata kwetu zimeingia. Islamic Shariah ndio kama ujuavyo, hata Kenya wana Mahakama ya kadhi, na mwanasheria mwenye zote Shariah na Sheria ana demand kubwa zaidi kama ilivyo kwa economist. Funguka.
      kweli kabisa,kwa sasa islamic banking inatanuka,,,nilifanya hiyo koz nganz ya certificate,ilikua inatolewa na SUZA hapa dar,jamaa alokua anafundisha ana mastaz yake ameibebea malaysia,na ndo mshauro wa Islamic window hapo NBC,yeye ndo aloi-structure,pia KCB na ndo yeye aloikuwepo kwenye jopo la kuanzisha AMANA BANK,,,,,so kama mtu ana pesa anaweza kwenda kusoma mbele ya safar,,,,juzi nimechungulia mtandao wa chuo fulani huko ulaya nao wanafundijsa islamic banking,nadhan ni uk
      zomba likes this.

    15. #15
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By cmoney View Post
      sasa si mashehe waliwapa pepa rahisi ili mlazimishe hizo division3 badala ya 4 NECTA WAKASTANDADIZE sasa baada ya kulalama kama kawaida yenu wamewaachia mbaki na udini wenu
      hakuna cha kupuuza,,,hapa necta wanawajibika mdau......wanawajibika kwa uzembe,,,,,,hakuna cha standardization wala cha uislam,,,,NECTA wamecheza na elim za watu

    16. #16
      myhem's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 791
      Rep Power : 565
      Likes Received
      248
      Likes Given
      79

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      kama ni kweli siwezi kushangaa jambo hili kwani kuna wanafunzi wengi sana wamepata matokeo ya kushtua lkn kwa vile baraza ndo mwamuzi basi wameishia kuumia.mi naamini kabisa kuwa kuna madudu mengi yanafanyika mule ila yanafukiwa kimya kimya bila kujali kuwa wanachezea maisha ya watu.

    17. #17
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      nafurahi baadhi ya wadau wameelewa kitu gani nazungumzia... nafikiri huu ni mwanzo wa mapambano ya kuisaka haki..
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.

    18. #18
      Muttaline's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      56

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      hawa baraza wanaweza kuwaambia watoto hawa walitumia kigezo kani mtu kapata A wao wanampa D... yaani ni mchezo mchafu
      A gentle hand may lead even an elephant by a single hair.

    19. #19
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 4,087
      Rep Power : 7082
      Likes Received
      2227
      Likes Given
      1695

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      Quote By Raiamwematz View Post
      Kama vile ni udaku, hebu weka chanzo cha hii habari tujue.
      Hata kama kuna ukweli, naweza fanya conclusion kwamba hayo ni matokeo ya kisiasa. Ambayo yametolewa kutokana na agizo la katibu mkuu. Hao wakuu wa shule za kiislamu hawajui utaratibu wa kukata rufaa kama shule zao zimefanya vibaya hata waamue kumwandikia barua katibu mkuu. Bila shaka katibu mkuu amemwagiza Ndalichako alegeze kidogo msimamo ili kuwabeba hawa wasiokuwa na uwezo wa darasani. Kwa imani yangu kama kweli haya matokeo ni halali na si ya kisiasa, basi kutakuwa na madudu makubwa mno hata katika shule nyingine: za serikali, za private na za seminary.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    20. #20
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 459
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

      HUU MJADALA WA UDINI TU,HAKUNA JIPYA HAPA!HIVI KWA NINI WAISLAMU NI WATU WA KUJIONA 'Superior' KULIKO WAUMINI WA DINI NYINGINE?HIVI HUWA MNAFUNDISHWA CHUKI TU HUKO MISIKITINI?AU MNATAKA KUANZISHA 'jihad'?MMEKUWA WATU WA KULALAMIKA TU KAMA WATOTO WADOGO!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...