Re: Aibu kubwa kwa baraza la mitihani(necta)

By
Raiamwematz
Kama vile ni udaku, hebu weka chanzo cha hii habari tujue.
Hata kama kuna ukweli, naweza fanya conclusion kwamba hayo ni matokeo ya kisiasa. Ambayo yametolewa kutokana na agizo la katibu mkuu. Hao wakuu wa shule za kiislamu hawajui utaratibu wa kukata rufaa kama shule zao zimefanya vibaya hata waamue kumwandikia barua katibu mkuu. Bila shaka katibu mkuu amemwagiza Ndalichako alegeze kidogo msimamo ili kuwabeba hawa wasiokuwa na uwezo wa darasani. Kwa imani yangu kama kweli haya matokeo ni halali na si ya kisiasa, basi kutakuwa na madudu makubwa mno hata katika shule nyingine: za serikali, za private na za seminary.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Follow Us Here