mdau unazijua taratibu au unasema,,,utaratibu upo hivi
i.hatua ya kwanza necta hutuma barua kwa shule husika wakitaka walim wa kusahihisha,kigezo cha kwanza awe mwalim wa somo na kingine ni uzoef wa miaka mi3
ii.walim wanaoenda ku-mark hula kiapo cha kutotoa sii yeyote ile,then mchakato wa kum-mark unaanza chini ya utaratibu maalum,kila somo huwa na pannel yake,na hugawanywa mikoa tofauti,kama vile mbezi beach dar es salaam(maeneo ya jogoo).
iii.Data entry ndo mchakato unaofata afta marking,,,,walim wanapoondoka kazi ya upangaji wa matokeo ni ya NECTA,,,,,,sasa hapa ndipo panapolaumiwa sana,lakini pia kwanini matokeo haya yamebadilika wakati re-marking haijafanyika????je ni kweli wamewaridhisha waislam?????ili iweje????ina maana wanawaogopa?????
MY take:NECTA wana tatizo kwenye upangaj wa matokeo,,,,,hivi una habar kwamba kuna kipindi wanaposema mtu ana A kwao wao ile A huanzia na ya 70!!!!!!????au F huanzia na 10??????mambo mengine yaache tu
*MCHAKATO HUU HUFANYWA CHINI YA WATU WA USALAMA WA TAIFA,NDO WALOJAA NECTA PALE,,,KUANZIA UTUNGAJI,USAMBAZAJI,USIMAMIZ,U SAHIHISHAJI,UINGIZAJI DATA,kote wanahusika huko,,,,,......
Follow Us Here