Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
PSPA,sociology,language,philos ophy,archaelogy,Hrm na history,ila mkopo utausikilizia kwenye bomba tu.
Dogo kweli kilaza yani umesoma Horizontal Gaining Education lkn umepiga CCB? Jipangeeeeee
Acheni zereu asee., wengine tulipiga III mnatufanya tujisikie vibaya asee..!
Mkuu omunga don't mention, humu JF kuna milembe JF, muhimbili jf, so mentality sio kitu cha ajabu humu. Find someone ambaye alisoma hiyo combination may be atakusaidia..!
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Ndo tatizo la hili jukwaa la elimu watu humu huwa wanazarau sana na wakati wenyewe ni vilaza sana, mtu anapata 1 w unaanza kumponda! Huo ni upumbavu na ukike kabsa ndio maana hili jukwaa huwa lina wachangiaji wachache kwa ajili wengi hawapendi kwa ajili ya upumbavu kama huu wa dharau za kimavi.
aisee HGL unapata 3 sasa ungekua PCB si ungepata zero watu kama nyinyi mlitakiwa hata chuo msipate
Wote mliochangia kwa kuponda hamna maana. Kijana kauliza apate msaada mnaanza kuleta mbwembwe zenu.
Jamani tuacheni majungu yaani HGL unapata div 1 pts 8 upewe mkopo,
Na wewe uliepata div 3 hgl ungekaa kimya tu,
Kuna combinations and jobs for gals tu as wana majukumu mengi as kuzaa, kupika na kulea familia so vitu virahisi like sociology, pspa, hr and other tuwaachie wake zetu jamani, mwanaume kamili hawezi kusoma hgl halafu akapata div 3 na bado akajisifia,
Watu kama nyinyi ni kuwapa mkopo wa majembe na mbolea muende shamba mkalime
Rafiki yangu tunafanya nae dili flani hapa mjini za kisheria ana ushuhuda ufuatao and i beg to quote(yeye hajajiunga jf)..
Nilipata div 1 ya point 8 nlikuwa hgl..nilitaka law.udsm nikapata pspa(political science and public administration),udom nikapata pspa pia,ila mzumbe sikupata awali nikapata sheria baadae sana and it was too late kwny second selection(wajuzi watakubaliana namm kuna kujuana/rushwa pale sababu nin classmate walipata div 2 na 3 na wakapata tena law!!)
Anyways,nikaaply st Augustine,Mwanza na mkopo nilipata nimemaliza last year na sasa nakula hela mjini..law school nimeenda nasubiria kuapishwa kama wakili tu which is not so long from now..
Sheria sikushauri sana maana kwasasa kila aliyesoma Arts ni mwanasheria,utasugua soli ya kiatu mpaka ukome mtaani,Law school pale UD na kwenyewe ndiyo hivyo tena kumaliza mpaka uwe na roho ya paka!
utakuwa mwalimu mzuri tu, usiogope mdogo wangu, sera ndio zimebadilika tena
KIKUPACHO UTAMU.... NA UCHUNGU KITAKUPA!!
Follow Us Here