Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Div one -hgl point 8

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      omunga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 115
      Rep Power : 461
      Likes Received
      1
      Likes Given
      20

      Post Div one -hgl point 8

      Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Div one -hgl point 8

      PSPA,sociology,language,philos ophy,archaelogy,Hrm na history,ila mkopo utausikilizia kwenye bomba tu.
      omunga likes this.

    4. #3
      omunga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 115
      Rep Power : 461
      Likes Received
      1
      Likes Given
      20

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Quote By Senetor
      PSPA,sociology,language,philos ophy,archaelogy,Hrm na history,ila mkopo utausikilizia kwenye bomba tu.
      kwanini mkopo nisipate,wakati nina ONE

    5. #4
      Makete Kwetu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 412
      Likes Received
      45
      Likes Given
      33

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Quote By omunga
      Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
      HGL unapata point 8...vp ungepiga PCP...anyway chuo utapata ila mkopo sahau...fedha zimetengwa kwa ajili ya posho za wabunge tu na sherehe za uhuru

    6. #5
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Dogo kweli kilaza yani umesoma Horizontal Gaining Education lkn umepiga CCB? Jipangeeeeee

    7. Miaka 50

    8. #6
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By omunga
      kwanini mkopo nisipate,wakati nina ONE
      tatzo ulisoma masomo ya kuimba mashairi na ngonjera.

    9. #7
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Quote By King Kong III
      Dogo kweli kilaza yani umesoma Horizontal Gaining Education lkn umepiga CCB? Jipangeeeeee
      Acheni zereu asee., wengine tulipiga III mnatufanya tujisikie vibaya asee..!
      Mkuu omunga don't mention, humu JF kuna milembe JF, muhimbili jf, so mentality sio kitu cha ajabu humu. Find someone ambaye alisoma hiyo combination may be atakusaidia..!
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    10. #8
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Ndo tatizo la hili jukwaa la elimu watu humu huwa wanazarau sana na wakati wenyewe ni vilaza sana, mtu anapata 1 w unaanza kumponda! Huo ni upumbavu na ukike kabsa ndio maana hili jukwaa huwa lina wachangiaji wachache kwa ajili wengi hawapendi kwa ajili ya upumbavu kama huu wa dharau za kimavi.

    11. #9
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Mbimbinho
      Acheni zereu asee., wengine tulipiga III mnatufanya tujisikie vibaya asee..!
      Mkuu omunga don't mention, humu JF kuna milembe JF, muhimbili jf, so mentality sio kitu cha ajabu humu. Find someone ambaye alisoma hiyo combination may be atakusaidia..!
      asa we hutaki aambiwe ukweli?kama ni mkopo ausahau tu,afu na wewe utasomaje HGL then ukapata dv ¡¡¡ bana,nyie mngekua china mngenyongwa hadharani!

    12. #10
      bibliography's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 459
      Likes Received
      38
      Likes Given
      2

      Default Re: Div one -hgl point 8

      aisee HGL unapata 3 sasa ungekua PCB si ungepata zero watu kama nyinyi mlitakiwa hata chuo msipate

    13. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default

      Quote By Mchukia Magwanda
      Ndo tatizo la hili jukwaa la elimu watu humu huwa wanazarau sana na wakati wenyewe ni vilaza sana, mtu anapata 1 w unaanza kumponda! Huo ni upumbavu na ukike kabsa ndio maana hili jukwaa huwa lina wachangiaji wachache kwa ajili wengi hawapendi kwa ajili ya upumbavu kama huu wa dharau za kimavi.
      Dharau kwa kuambiwa ukweli? Je sisi tuliopata Div I point 3 ya PCM tumvumilie tu na pumb.a zake?

    14. #12
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      482
      Likes Given
      334

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Wote mliochangia kwa kuponda hamna maana. Kijana kauliza apate msaada mnaanza kuleta mbwembwe zenu.

    15. #13
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,803
      Rep Power : 734
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By Rogi
      Wote mliochangia kwa kuponda hamna maana. Kijana kauliza apate msaada mnaanza kuleta mbwembwe zenu.
      Watu wana mbwembwe za kwenye keyboard tu.Hamna kitu.
      Morinyo likes this.

    16. #14
      MKATA KIU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,378
      Rep Power : 768
      Likes Received
      906
      Likes Given
      27

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Jamani tuacheni majungu yaani HGL unapata div 1 pts 8 upewe mkopo,

      Na wewe uliepata div 3 hgl ungekaa kimya tu,

      Kuna combinations and jobs for gals tu as wana majukumu mengi as kuzaa, kupika na kulea familia so vitu virahisi like sociology, pspa, hr and other tuwaachie wake zetu jamani, mwanaume kamili hawezi kusoma hgl halafu akapata div 3 na bado akajisifia,

      Watu kama nyinyi ni kuwapa mkopo wa majembe na mbolea muende shamba mkalime

    17. #15
      Mtundu Kisu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 676
      Rep Power : 523
      Likes Received
      147
      Likes Given
      9

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Rafiki yangu tunafanya nae dili flani hapa mjini za kisheria ana ushuhuda ufuatao and i beg to quote(yeye hajajiunga jf)..

      Nilipata div 1 ya point 8 nlikuwa hgl..nilitaka law.udsm nikapata pspa(political science and public administration),udom nikapata pspa pia,ila mzumbe sikupata awali nikapata sheria baadae sana and it was too late kwny second selection(wajuzi watakubaliana namm kuna kujuana/rushwa pale sababu nin classmate walipata div 2 na 3 na wakapata tena law!!)

      Anyways,nikaaply st Augustine,Mwanza na mkopo nilipata nimemaliza last year na sasa nakula hela mjini..law school nimeenda nasubiria kuapishwa kama wakili tu which is not so long from now..

    18. #16
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 617
      Rep Power : 463
      Likes Received
      111
      Likes Given
      7

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Quote By omunga
      Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
      kasome education....mkopo asimilia 100,,kozi nzuli kwako ni law peke yake

    19. #17
      sugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2011
      Posts : 817
      Rep Power : 582
      Likes Received
      82
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By omunga
      kwanini mkopo nisipate,wakati nina ONE
      One ya hgl haikusaidii ki2,mkopo hatukupi,labda kasome education tukukopeshe nusu

    20. #18
      ITEGAMATWI's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,672
      Rep Power : 0
      Likes Received
      423
      Likes Given
      828

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Sheria sikushauri sana maana kwasasa kila aliyesoma Arts ni mwanasheria,utasugua soli ya kiatu mpaka ukome mtaani,Law school pale UD na kwenyewe ndiyo hivyo tena kumaliza mpaka uwe na roho ya paka!

    21. #19
      Jimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Location : ILALA
      Posts : 738
      Rep Power : 592
      Likes Received
      131
      Likes Given
      547

      Default Re: Div one -hgl point 8

      utakuwa mwalimu mzuri tu, usiogope mdogo wangu, sera ndio zimebadilika tena
      KIKUPACHO UTAMU.... NA UCHUNGU KITAKUPA!!

    22. #20
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 702
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: Div one -hgl point 8

      Quote By bibliography
      aisee HGL unapata 3 sasa ungekua PCB si ungepata zero watu kama nyinyi mlitakiwa hata chuo msipate
      Acha kukatisha watu tamaa

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...