Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 39 of 39
    1. #1
      dottoz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 407
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Wadau mie nimetokea sana kumpenda huyu kinara wa tanzania wa matokeo ya form 6 FAITH P ASSENGA
      Nataka mawasiliano nayo.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,620
      Rep Power : 920
      Likes Received
      575
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By King'asti
      Iunafikiri twenye maakili ya hivi huwa tunashobokea wavulana? Mshika mbili moja humponyoka, huyu unafukuzia akiwa 2nd year halafu unakubaliwa wakati anamalizia mwaka wa 3. Kumuangusha dhambini baada ya kumeet wazazi wake akiwa likizo ya kusaka kazi! All the best.
      wapo wengi tu,tena huwa wanashobokea wanaume na kupata sup kozi ya kwanza tu! Ukifuatilia wale wote wanaokuwa macho juu juu wiki ya kwanza tu ni hawa. Huwa wanapigwa mti fasta fasta na viongozi na wafanya supaafu anaachiwa washkaji wengine waendelee kumbuluza.

    4. #22
      Zemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 422
      Rep Power : 643
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Hicho ni kichwa kwa sec, ila akija huku chuo especially SUA tena asome BVM lazima atambae, hapa ni mziki menene, unapiga masomo yapatayo 8 kwa miezi 3 tena yamasheheni minotice, unapigwa assignment, practical report, presentation na mi CAT, wakti form 6 unasoma masomo 5 kwa mwaka, weeeee acha aisee.

    5. #23
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Quote By tedo
      We hujui kama wachagga ndo tuna run hii Tanzania?
      Ndio maana Tanzania wizi mtupu! nilikuwa sijui kwanini, sasa nimepata jibu. Kwi kwi kwi teh teh teh!

    6. #24
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By tedo
      We hujui kama wachagga ndo tuna run hii Tanzania?
      mmeanza maringo..

    7. #25
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Quote By anonimuz
      Attachment 53598

      Umependa nini hapo kijana?
      Kapenda bichwa hilo na hiyo mimacho utafikiri mjusi kabanwa na mlango!

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By Mohammed Shossi
      Hasa kipindi cha awamu ya tatu mlikirun vizuri sana
      hili nalo neno wadau

    10. #27
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,337
      Rep Power : 701
      Likes Received
      226
      Likes Given
      172

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Quote By anonimuz
      Attachment 53598

      Umependa nini hapo kijana?
      Sasa alishindaje paper huyu na hii mikarorite?

    11. #28
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By Zemu
      Hicho ni kichwa kwa sec, ila akija huku chuo especially SUA tena asome BVM lazima atambae, hapa ni mziki menene, unapiga masomo yapatayo 8 kwa miezi 3 tena yamasheheni minotice, unapigwa assignment, practical report, presentation na mi CAT, wakti form 6 unasoma masomo 5 kwa mwaka, weeeee acha aisee.
      hata huku state university lazima arudishwe kwao mwaka wa kwanza..ngoja tuone ataenda wapi..

    12. #29
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,831
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      208

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Mfuate hapa Faith Assenga
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    13. #30
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By King'asti
      Iunafikiri twenye maakili ya hivi huwa tunashobokea wavulana? Mshika mbili moja humponyoka, huyu unafukuzia akiwa 2nd year halafu unakubaliwa wakati anamalizia mwaka wa 3. Kumuangusha dhambini baada ya kumeet wazazi wake akiwa likizo ya kusaka kazi! All the best.
      mbona me nimeisha mlamba mmoja,tena hawa ndo huwaga wana shobo za kijinga zinazowapelekea kuvuliwa chup* kiulaini sana.

    14. #31
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,831
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      208

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Quote By Zemu
      Hicho ni kichwa kwa sec, ila akija huku chuo especially SUA tena asome BVM lazima atambae, hapa ni mziki menene, unapiga masomo yapatayo 8 kwa miezi 3 tena yamasheheni minotice, unapigwa assignment, practical report, presentation na mi CAT, wakti form 6 unasoma masomo 5 kwa mwaka, weeeee acha aisee.
      Quote By Leonard Robert
      hata huku state university lazima arudishwe kwao mwaka wa kwanza..ngoja tuone ataenda wapi..
      Acheni wivu wa kijinga, hizo won't get you anywhere, just give her credits bana, nyie wakati mpo level yake ilikuwaje? what makes you so sure that hataweza akija huko? I've got doubt on how you guys reached whichever stage you are right now.
      Miafrika ndivyo tulivyo..
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    15. #32
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By Mbimbinho
      Acheni wivu wa kijinga, hizo won't get you anywhere, just give her credits bana, nyie wakati mpo level yake ilikuwaje? what makes you so sure that hataweza akija huko? I've got doubt on how you guys reached whichever stage you are right now.
      Miafrika ndivyo tulivyo..
      uliza ma TO wenzio wako wapi ndugu yangu..tuna uhakika tunayonena hapa,huyo dada ni kilaza kakalilishwa matango hana lolote.. Kama akienda kati ya hivyo vyuo hapo juu nitakupa mrejesho.usiwaze

    16. #33
      Twinky's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th June 2010
      Posts : 70
      Rep Power : 468
      Likes Received
      14
      Likes Given
      44

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Quote By Ribosome
      Kapenda bichwa hilo na hiyo mimacho utafikiri mjusi kabanwa na mlango!
      Ndugu, hii sio vyema kuandika hivi. Huyu ni binadamu na kazaliwa kama wewe. so pls tumia lugha nzuri....

    17. #34
      kaka h's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 12
      Rep Power : 443
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      acha shobo kisa amefaulu
      kaka!

    18. #35
      Pilitoni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th July 2011
      Posts : 431
      Rep Power : 0
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ribosome
      Kapenda bichwa hilo na hiyo mimacho utafikiri mjusi kabanwa na mlango!
      mazee inatosha salute!

    19. #36
      dottoz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 407
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By anonimuz
      Attachment 53598

      Umependa nini hapo kijana?
      i love her so much,
      ila one day nitaonana naye nakumpa ukwel wangu wa moyoni
      uzuri co xura jaman bali uzuri ni tabia na ukarimu pia na busara ya mtu.mie nimempenda jinc alivyo na co xura.

    20. #37
      dottoz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 407
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      I need you faith p assenga mwenye mawasiliano naye anisaidie.

    21. #38
      tujebway's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 350
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By dottoz
      i love her so much,
      ila one day nitaonana naye nakumpa ukwel wangu wa moyoni
      uzuri co xura jaman bali uzuri ni tabia na ukarimu pia na busara ya mtu.mie nimempenda jinc alivyo na co xura.
      upo sahihi, ni mzuri sana tu. Bt hii njia uliyotumia, kah!.

    22. #39
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,708
      Rep Power : 945
      Likes Received
      852
      Likes Given
      1312

      Default Re: Nimetokea kumpenda faith p assenga.

      Unamuonea tamaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....

    23. Study Abroad
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...